Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

NDIO NATAFUTA jinsi gani niondoke huku bado tunapambana, ma agents bongo hamna
Kwanza kbla cjaja anza kwanza na hyo nimesoma baadhi ya comment zikisema Malta hawana Ubalozi Tanzania ni kweli Malta wana balozi 6 tu ndani ya Africa ya karbu iko South Africa bt msiwe na shaka ndugu zangu kama tumeamua kusaidiana kupeana njia inabidi kusaidiane kweli ok kwanza someni hyo doc kwanza then ntakuja na ramani kabisaa View attachment 477522View attachment 477522

Daby
 

Attachments

  • Screenshot_2017-03-06-20-23-32.png
    51.1 KB · Views: 146
Asante nawasanganye maana mi nataka niimilik tuu muda wowote najilipua..na sijui gharama zake
We we uko wapi? Nenda Ofisi za Uhamiaji waambie unataka Fomu za Passport nadhani ni Elf 10 then unafatà maelekezo Majibu ya maswali mengine ili uwashawishi wakupe Pass...unatakiwa ujiongeze
 
Danya karibu uulize swali kuhusu kwa madiba.nakujibu kwa ufupi.kuhusu vyuo vimejaa kibao.university mpaka hivi vicollege ni wewe na pesa yako tu.kama ni university ni vyema uombe permit pale masaki ubalozi wa south africa hawana shida.pia jua kua huku ni gharama.vyumba bei rahisi au location ni kuanzia rand 800 kuendelea.student accomodation is super expensive yani utakuta hostel ni 1600 rands kwa mwez coz huku ni kodi kwa mwez hakuna vya miez sita hiyo ndo the cheapest one.so jipange sana,excuse mwandiko wangu
 
Ulifanya mtihani wa English proficiency tests kaka ama umedahiliwa bila hiyo?
 
Ahsante mkuu nilikua nawaza nikuite ktk uzi huu.... Karibu sana...
 

Nimeona hiyo doc mkuu
 
Thanks
 
Thanks mkuu
 
Mkuu mbona hii link haifunguki
 

Kaka yani hata Kama una nyundo 24 Ulaya inaonyesha haujafunguka kabisa,me nimekuja Ulaya nikiwa dogo sana,siwezi kukwambia kila kitu ndugu yangu,basi jua kitu kimoja kuna wa Italy wanafanya kazi ujeruman na wanaongea kijeruman,pia kuna wajeruman wanafanya kazi france na wanaongea French,na kuna wafaransa wanafanya kazi ujeruman na wanaongea kijeruman,wenzetu wanabebana kutokana na muungano wao wa Ulaya man,angalia history fupi ya Manuel Valls(waziri mkuu wa france)alikuja na familia yake akiwa na uraia wa hispania na wazazi wake walikuwa na uraia wao,wakawa wanafanya kazi france na manuel akasomea hapa mpaka baadaye akapata uraia wa France.Angalia pia waarabu wengi wanapita Italy wanapata uraia na wanaenda france au belgium kufanya kazi bila tatizo kabisa,sasa me nashindwa kukuelewa??sawa kuna agent ya serikali ambayo lazima ujiandikishe hili wakipata offer za kazi wanawasiliana na wewe kutokana na CV yako na wanafanya interview na wewe,wakiona unafaa wanakuunganisha na kampuni iliyotoa offer,na hawa jamaa hawakutafutii kazi bali wewe mwenyewe ndo unatafuta na ukipata unawajulisha hili wakuingize kwenye system yao kwamba unachangia(cotisation) Kama makataba wako ukiisha wanakuwa wanakulipa asilimia kuanzia 80 mpaka 65 kutokana na mshahara na kipindi ulichofanya kazi,nakujibu kuhusu mtu mwenye uraia wa Italy anaweza kufanya kazi ujeruman,yes ndiyo na akawa anakula kama kawaida pesa ya job center Kama hana kazi man,cha muhimu ajiandikishe tu....akiingia kutoka Italy atafute anuani hata kwenye association ambazo zinatoa anuani halafu aanze kufatilia hali zake Kama raia wa umoja wa Ulaya na haja ya kubadilisha kitambulisho,lakin kiukweli sijui kWa nchi za Scandinavia Kama anaweza kufanya kazi,na subiri nikwambia kitu sasa,kWa nchi za ulaya kuna kazi za manispaa wanachukua raia wa nchi yao na yoyote mwenye uraia wa nchi ambazo zipo umoja wa Ulaya,hawa jamaa wanabebana kaka na haya yote nayokwambia siyo stori za kijiweni.
 
Mkuu labda wewe unaweza kumwelewa DUBE maana hata mimi na kuishi kwangu kote Scandinavia nimeshindwa elewa ayasemayo.... Ndo maana nimemuuliza anaishi Sweden au anasimuliwa tuu?

Coz pale DK tulikua na raia wengi mno wa other EU countries na wanaishi na kupata fursa sawa na raia wa nchi husika sasa hiki asemacho huyo bwana namshangaa....
 
Kwanza kamweneee veyaaaa.....Then asante nimepata kwa kuanza kuulizia swali langu....Je kabla ya kufanya applications kwenye UNIVERSITY ni lazima niendee kwanza Ubalozini au Hakuna ulazimaa.....Then sijui nikufuate PM au maswali yangu yote ni ulizie hapa? Mimi Ghrama sio shida shida ni kupata admission tuuu hayo mengine nitajua!!! Najua applications zinaanza mwezi wa nne! Je nitajuaje matokea ya TZ niliyo nayo yanafaa na kuwa admitted South?
 

Wewe njoo ujaribu hiyo number 4 huku UK uone kama hukuishia jela. Wenye nchi yao wameshaamka na wanaujua ujanja huu ndani nje. Siku hizi kuoa huku sio process rahisi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…