Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Wewe njoo ujaribu hiyo number 4 huku UK uone kama hukuishia jela. Wenye nchi yao wameshaamka na wanaujua ujanja huu ndani nje. Siku hizi kuoa huku sio process rahisi kabisa.
Mkuu kwahiyo badala ya namba nne nini kifanyike? Tueleze ndicho tunachohitaji...

Hii ni kwaajili ya wengine si mimi maana kwa umri na nilipofika pananitosha.
 
Mkuu kwahiyo badala ya namba nne nini kifanyike? Tueleze ndicho tunachohitaji...

Hii ni kwaajili ya wengine si mimi maana kwa umri na nilipofika pananitosha.

Kwa sasa mimi sina ushauri kwa sababu mimi kwanza niko huku miaka mingi sana na sikujiripua, nilikuja kwa aina ya visa ambayo kwa sasa imefutwa, nilifanya kazi katika kampuni moja kwa miaka miwili na kwa bahati nzuri na kupendezewa na uzoefu wangu na uchapaji wangu wa kazi kampuni yangu iliniombea kuongezewa muda wa kuendelea kufanya kazi nao na nikakubaliwa. niliongezewa miaka 2 na niliombewa kuongezewa muda mara tatu na zote kukubaliwa na ghafla tu nikajikuta nimeshafanya kazi huku kwa miaka kumi na nikaweza kuomba indefinite leave, visa ambayo ndio niliyo nayo hadi sasa. Kama nilivyosema nimekuja huku zamani, wakati ule ilikuwa ni rahisi sana mwanafunzi kijana kutoka common wealth country kupata visa ya work experience na ilikuwa rahisi mno kuweza kuongezewa muda endapo kampuni ufanyayo kazi wakikupenda na kukuombea muda zaidi wa kukaa wakisisistiza ni namna gani wananufaika na utendaji wako wa kazi. Kwa ufupi nilibahatika kupata nafasi katika kampuni nzuri tu.

Kwa vile nimefanya kazi miaka mingi huku ndio nikasema kuwa ujanja wa ndoa za uongo ushagundulikana na watu wengi tu wamejikuta jela. Wapo wanaofanikiwa lakini ni wachache na siwashauri kufata njia hii.
 
Yeah, mkuu. Wanajua mtu ukifika ughaibuni hela uNaokota tu, sasa pale anavyo ona ndiyo sivyo ana amua kuaribu, unarudi kutoka kazini utakuta chumba kimesafishwa. Na ulaya ya sasa tofauti na yazamani, hali ya kiuchumi imebadirika duniani kote, kwa hiyo tunaenda kutafuta maisha, tuwe na negative mind, inaweza kutujenga kisaikolojia, pindipo pale mambo yanapoenda kinyume na matarajio.
 
Hahhahahahaha.... watu wamekata tamaa mno... hii hatari sana mkuu... hispania watu wanapungua wanaitaji ongezeko la watu watu ni mtaji ni rasilimari wewe una sema watabaki wazee (hahahahhahahaha....)
 
kama ni wanafunzi ni rahisi sana kupata na wale wanao omba offer letter online pia una pata as an attachment ya kuomba si zani kama kuna ugumu kama utaomba kwa academic issues ila kwa mambo mengine ni mlolongo wa serikali za mitaa kwenye kitu kidogo au kama ni mfanyakazi wa kanisa pia ni rahisi kupata... jambo la msingi kupata hii pass ni kuwa na sababu wao wanachotaka ni sababu na unaweza chukua ile form na ukawa unaijaza taratibu upatapo nafasi huku ukiwa unatafuta viambatanishi vyake... naimani unafanikiwa katika hilo... sababu zipo ndio maaana hata ukisoma kwenye mada pale juu wanasema wakenya na nigeria huwa wanatumiana barua za mualiko hii ina msaidia kupata visa na pass pia na huku kwetu inaitajika pia uwezi ruhusiwa kwenda nchi ya watu ukawe mzururaji....
Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
 
Wangefanya hivyo.siku nyingi ningekuwa sauzi.walinipa form zao zile.zina maswali hatari.zikazichoma moto.
ungetafuta mtu akusaidie usikate tamaa mapema... mimi nilianza tafuta nikiwa sekondari nilishindwa vigezo vingi nikajaribu tena nikashindwa mara ya tatu rafiki yangu alitoka likizo UDSM nami nimetoka likizo nikamwambia kuhusiana na pass akanieleza utalatibu mpaka yeye alivyofanikiwa na mimi nikiwa mwaka wa mwisho nikafanya vile so ikawa namaliza chuo na pigiwa simu kuchukua mzigo wangu....
 
Reactions: kpi
Nyerere alitupa kaeshima kidogo kipindi hicho tukaonekana na sisi tuna dharau kumbe tuna hitaji....
 
Kuna mtu nimeona anaulizia Agent, kuna mzee namfahamu kapeleka jirani zangu wengu uswizi na ndie najaribu kujipanga anipeleke. Ila bajeti yake ni $4000. Km yupo agent mnamjua ambaye ni cheap kiasi naomba tupeane connections
 
Kuna mtu nimeona anaulizia Agent, kuna mzee namfahamu kapeleka jirani zangu wengu uswizi na ndie najaribu kujipanga anipeleke. Ila bajeti yake ni $4000. Km yupo agent mnamjua ambaye ni cheap kiasi naomba tupeane connections
Kama anakufanyia na mpango wa long stay visa kabisa nenda hiyo hela ni ndogo but kama ni kwenda tu mengine ujijue mwenyewe hiyo hela kubwa usimpe.
 
Kuna mtu nimeona anaulizia Agent, kuna mzee namfahamu kapeleka jirani zangu wengu uswizi na ndie najaribu kujipanga anipeleke. Ila bajeti yake ni $4000. Km yupo agent mnamjua ambaye ni cheap kiasi naomba tupeane connections
Wekeni contacts za hao watu ili watu waweze kuwasiliana nao wenyewe na wajiridhishe pia
 
Reactions: Qj_
Kuna mtu nimeona anaulizia Agent, kuna mzee namfahamu kapeleka jirani zangu wengu uswizi na ndie najaribu kujipanga anipeleke. Ila bajeti yake ni $4000. Km yupo agent mnamjua ambaye ni cheap kiasi naomba tupeane connections

Uswisi tuu, au nchi yoyote? leta info zaid
 

najua yooooooote hayo, saikolojia yangu ya huu ubongo nimeshautrain kutochukulia vitu rahisi rahisi, i did not expect hayo uliyoyasema.
 
Kama anakufanyia na mpango wa long stay visa kabisa nenda hiyo hela ni ndogo but kama ni kwenda tu mengine ujijue mwenyewe hiyo hela kubwa usimpe.
Ukifika baada ya muda unajisalimisha polisi unaomba hifadhi ya ukimbizi
 
Wekeni contacts za hao watu ili watu waweze kuwasiliana nao wenyewe na wajiridhishe pia
Brother nadhani tahitaji ruhusa yake, ila kapeleka watu zaidi ya kumi naowafahamu na wameshaishi huko km miaka kumi sasa
 
Reactions: Qj_
Alipiga mbizi na mkopo.... hatari
Njoo basi inbox tuongee.

Kuna jamaa yupo korea. Alichukua mkopo ofisini kwake akapotea ila alipofika ikabidi ajirudi aombe msamaha akaulipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…