Nitumie fursa hii nyingine ambayo ni adhimu sana kukushukuru mkuu izo namuomba Mungu afungue baraka juu yako kwa upendo wako kwetu Cc ndugu zakoNdugu zangu Watanganyika baada ya kuja na Option number one ya Malta sasa ni Option number 2 nia ni kutaka ndugu na jamaa zetu muweze kutimiza ndoto zenu za kutafuta maisha nje ya JPM empire ambako kumeonekana kama mwiba kwa ajira za vijana na maendeleo ya hasa vijana
Baada ya Option ya Malta kuonekana ni ngumu japo sijui ugumu wake ni nini lakini si mbaya kuna Option namba 2 mpaka 3 lakini leo tunaendelea na Option number 2
OPS (Mission)
Mission hii inahusu nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta
Kuhusu USA mm binafsi sipendelei mje US coz siasa za US dhidi ya wageni zimebadilika sana kumekuwa na siasa za utengano dhidi ya wageni
Ok tuendelee nimekuwa karibu na kufanya kazi na taasisi ktk nchi zote nilizozitaja taasisi hzo zinadeal na vijana ktk maswala ya culture exchange ambapo kila mwaka wamekuwa wakichukua vijana kwenda nchi mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni zingine na Lugha pia kubadilishana mawazo kama vijana umri wa vijana ni kuanzia miaka 18-30 vijana wa kiume na wakike sasa ni mm kuongea na taasisi hzo waanze kuleta vijana hao Tanganyika lakini utaratibu ni
1 Wanataka Host wa nchi wanayokwenda so kila kijana anapata Host wa nchi husika kwa ajili ya kumtembeza na kuwa mwenyeji wake
2 Kama unakuwa host wake atakaa kwako kwa kipindi chote ambacho ni kuanzia mwezi 1-3 so atakaa kwako si hotel au nyumba za wageni A.K.A (machinjioni)
3 Kila siku yeye atachangia dola 100 kama mchango wa chakula na malazi
4 Kumtembeza sehemu mbalimbali za ndani ya mkoa mfno DSM lakini akitaka kutoka nje ya dar gharama za wote wawili zitakuwa juu yake na gharama kama za kwenda disco na beach zitakuwa juu yake
5 kuhusu kukaa hata uwe na chumba kimoja ila yawe ni maeneo safe choo kiwe kizuri
MISSION YENYEWE
Kama ni mtoto wa kiume utakaa na mtoto wa kike kama ni wakike utakaa na wakiume lakini wenyewe hawajali.njinsia so kama utapenda kukaa na wajinsia yako pia ni sawa tu cha muhimu ni kutengeneza conection tu
ANGALIZO
Wazungu kitendo cha kulala kitanda kimoja na mtu wa jinsia tofauti kwao si tatizo kubdilisha nguo na kubaki na chupi mbele ya jinsia tofauti pia si jambo gumu kwao so hasije fanya hvyo ukaona kakuzimia au anakutega utakuwa wrong sana
Sasa bhasi kitendo cha mtu kukaa kwako miezi 2 au 3 usipo tengeneza conection naye utakuwa mpumbavu sana na kama utakuwa mjanja unaweza kuanzisha mahusiano ya kimapenzi naye kwani wengi ni vijana wa 18-25 lakini mission ni ww kutengeneza conecton kupitia huyo mgeni kwani mtaendelea kuwasiliana na yeye kukualika kwao ni vyepesi sana so nimekupa nyavu na mtumbwi kuvua samaki ni juu yako akili kumkichwa
CHANGAMOTO
Changamoto kubwa ya hii project ni usalama wa wageni kwani humu tunajuana kwa fake id so kumpa mtoto wa watu mtu ambae umjui ni swala la ujasiri na lenye kuitaji akili ya kuvukia barabara inaitaji ujitoe akili lakini ninauwezo wa kuwasiliana na hizo taasisi kwani tunafanyanazo kazi na kuheshimiana tatizo usalama wa hao wageni na hao unaowakabidhi mgeni huyo unamjua asije mchinja mtoto wa watu usiku dah
Kila mgeni na host mmoja na uhakika ni kupata wageni 20-30 kutoka nchi nilizotaja hapo juu kwa mwaka
Kumbuka wageni ni wakike na wakiume so chance ni kwa dada na wakaka wa Tanganyika
Mnaweza kuwatag member wengine wa thread hii na ambao wameonyesha nia ya kutoka na ambao wana michango yao kwenye thread hii ambao awajachangia achaneni nao
kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Kujibu swali lako kwa ufupi kwani hapa tumekuwa na Mission na Vision Mission ni kwenda kusaidia ndugu zetu Watanganyika kuja kutafuta maisha nje ya JPM empire so starting point ni nchi ya Malta tukaanza na Option number 1 now ni option number 2Mkuu izzo ningeomba ufafanue kuhusu suala la mchakato wa hao vijana wanaokwenda nchi mbalimbali kwaajili ya kutalii na kujifunza tamaduni,
je, kuna website maalumu ya kuwasiliana nao?(hii inaconsist kama watahitaji kuwatumia picha yako na mahali unaishi ili wajiridhishe)
Vilevile umesema kunauwezekano wa kuwaleta hata 30 kwa mwaka, je huwa wanakuja group au jopo la hao vijana wote kwa mkupuo, au kila mtu anasafiri kivyake?( hapa nataka nifahamu wakifika nchi husika kama watakuwa na tabia za kuwasiliana na kutambuana kwa ujumla)
Naomba ufafanue hayo kwanza na kama kuna vitu vya kuongezea basi itakuwa mwake
britanicca huyu jamaa anaogopeka kama ukoma ameliza watu wengi saana hapoa jamii forum kuna uzi alianzisha kwa kusaidia watu kama agent...Nimefanya utafiti ni kwamba huyu jamaa ndio alikuwa ni Agent lakin mtu wa mwisho kumpeleka ilikuwa mwaka 2015 na aliyempeleka anaitwa Hassan Baswale ambae alimfanyia mpango wa kwenda Spain bt jamaa hakufanikiwa kuingia alirudishwa airport palepale so toka mwaka huo jamaa ajapeleka mtu tena na leseni yake inaonyesha ameshapeleka watu 136 ni watu 56 tu ndo walifanikiwa kuingia wengi walirudishwa aidha airport au walikamatwa na kurudishwa na jamaa anamtandao Uturuki si nchi za ulaya sana na kumbuka Uturuki si mwanachama wa EU lakini pia kuna ukaribu sana na huyu jamaa na mtu aliyeanzisha thread hapa ambae anatumia id hizi
Britanicca ,DR RWEYENDERA, Katelelo so uamuzi ni wako Good luck kwa ushaidi au kujua kama ninachokisema ninauhakika nacho ukitaka ninaweza kukupatia kama utaiji coz siwez kuweka hapa jukwaani
Mcheki mkuu utanipa mrejesho..Tuweke malta kwenye plan aseeh.
Sema nimevutiwa na visa ya uchumba. izzo nafikir anapaswa kunifikiria juu ya hili.
Halafu Adams ngoja kesho nikamwone yule jamaa wa host nione anamwelekeo gani
Mkuu itabidi nikifika Tanganyika niwasiliane na wewe kuhusu hili la kuwapokea hao vijanaKujibu swali lako kwa ufupi kwani hapa tumekuwa na Mission na Vission Mission ni kwenda kusaidia ndugu zetu Watanganyika kuja kutafuta maisha nje ya JPM empire so starting point ni nchi ya Malta kutaanza na Option number 1 now ni option number 2
Kujibu swali lako kama nilivyosema nimekuwa na ushirikiano na taasisi za vijana katika nchi hzo yani Nonproft org ambazo wao wanafanya kitu kinaitwa culture exchange ambapo wanachukua vijana kwenda sehemu mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni na lugha za nchi mbalimbali duniani lakini hawajawai kuja Tanganyika so ninauwezo wa kuongea nao na kuwashawishi juu ya kuleta vijana Tanganyika lakini vigezo ni vile nilivyovitaja
Wanakuja kwa mafungu mafungu kwani wengine wanakwenda nchi nyingine so wanaweza kuja 5 then wakaja tena 6 lakini kwa mwaka wanaweza fika 20-30 huku Tanganyika lazima kuwepo na mtu ambae atawapokea na kuwapeleka kwa hao host kila host mgeni mmoja mmoja sema sasa project hii inachangamoto kama nilivyosema kwenye bandiko hapo juu
Mkuu expertise gani wanahitajika sanaaa huko??Sio kweli mpk ufuate utaratibu wao,na mtu ukipata residence hapa sweden huwezi kutamani kuhamia Denmark maana upatikanaji wa kazi Kati ya Denmark na sweden hapa ni easy mkuu
Umesaliti nchi mkuuHata nilivykua Dubai nilikua najitambulisha kama mkenya, maana kule wakenya wanawafahamu sijui walikua wanawauzia chai/kahawa Dubai miaka hiyo, so at least wanaelewa ila wengi ukiwatajia Tanzania hawaelewi
Mkuu tunashukuru kwa michango yako aise maana bongo imekua chenga sana aise ngoja nizidi kufuatilia huu uzi kuna maaarifa nayapata kutoka hapa.Kujibu swali lako kwa ufupi kwani hapa tumekuwa na Mission na Vision Mission ni kwenda kusaidia ndugu zetu Watanganyika kuja kutafuta maisha nje ya JPM empire so starting point ni nchi ya Malta tukaanza na Option number 1 now ni option number 2
Kujibu swali lako kama nilivyosema nimekuwa na ushirikiano na taasisi za vijana katika nchi hzo yani Nonproft org ambazo wao wanafanya kitu kinaitwa culture exchange ambapo wanachukua vijana kwenda sehemu mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni na lugha za nchi mbalimbali duniani lakini hawajawai kuja Tanganyika so ninauwezo wa kuongea nao na kuwashawishi juu ya kuleta vijana Tanganyika lakini vigezo ni vile nilivyovitaja
Wanakuja kwa mafungu mafungu kwani wengine wanakwenda nchi nyingine so wanaweza kuja 5 then wakaja tena 6 lakini kwa mwaka wanaweza fika 20-30 huku Tanganyika lazima kuwepo na mtu ambae atawapokea na kuwapeleka kwa hao host kila host mgeni mmoja mmoja sema sasa project hii inachangamoto kama nilivyosema kwenye bandiko hapo juu
Mkuu fani gani ya elimu inahitajika sanaaa huko, yaani hata kesho mtu akija anapata kazikaribuni Basel (uswizi)...ila huku ukitaka kula nchi uwe umepiga shule...niko swiss tropical inst....
....ulaya imekua chungu sana kwa waosha vyombo na wazamiaji....maana sharia za nchi za ulaya zimekua tight sana ...maana wana monitor terrorism....maana kumejaa waarabu ulaya....
.....sasa hivi ukitaka kuula....nenda shule tu....ili ukubalike kokote....
....Btw.....home is always better.....singewashauri watu wawe na mtizamo wa kukimbilia ng'ambo....kwani bado kuna ubaguzi mkubwa wa kimfumo(institutional racism).....kwa hiyo ni bora nyumbani TZ....ni bora kubanana nyumbani kuliko ng'ambo....
..madada zetu wengi wanaishia kupiga umalaya ng'ambo...na wanapigwa hadi nyuma...kisa eti maisha bora!!kuuza utu sababu ya maisha bora!!....ama kuoshea wazungu vyoo!!...no please....
Inawezakana mkuu!!Aisee hii pic umeweka kwa dp kama nakujua vile mkuu.....
Oyooo mkuu nami nikumbuke hapa nipate kamchuchu kutoka malta.So unataka kidemu cha Malta ila sharti ni moja je utaweza ?
Mkuu umeandika vyema sanaaa, napenda kuuliza mpaka nifike hapo Malta niandae sh ngap.Ndugu zangu Watanganyika mm nawambia nchi za Ulaya kila sehemu wamebana kuhusu wahamiaji hata zile ndoa zetu za usanii ni ngumu sana na hii inatokana na kuwa Raia wenyewe hawataki wageni tofauti na zamani ambavyo serikali ndio ilikuwa inakataa wageni wa magendo sasa inapofikia raia wenyewe hawataki wageni linakuwa ni tatizo kwa raia ndio wakukuficha dhidi ya serikali
Nakumbuka mwaka jana nilikuwa airport nchi flani nikakutana na mtu mmoja tukawa tunapiga story za hapa na pale si unajua wasafiri wakati tunapiga story kwenye TV wakawa wanaonyesha wahamiaji wale wa kutoka Libya kwenda Italy jamaa akanambia dah wanahatarisha maisha sana waafrica nikawambia na mm ni mwafrica kwani watu weusi wengi wa Ulaya au US ktendo cha kuitwa wanaasili ya Africa kwao wanaona kama ni kashifa wanataka waitwe blacks tu wanataka watambulike kwa race si Asili kitu ambacho kinatufanya watu weusi tuonekane tunamatatizo makubwa sana ya akili na ufahamu nimetembea sana nimekutana na watu wengi sana Ukmkuta mchina hata kama China hajawai fika anapenda kwanza atambulike kwa Asili yake kwanza watu wote weupe wanapenda kutambulika na Asili zao kwanza mm nawapenda sana wazanzibar wanajitambulisha kwa Asili zao mfano popote alipo mzanzibar anapenda atambulike kama Mzanzibar japo duniani hakuna nchi inayoitwa Zanzibar kuna Tanzania
Sasa katika mazungumzo yetu na yule dada tulitekutana nae Airport akanambia mm nimetokea Malta ni mfanyakazi wa serikalini akanionyesha passport yake ilikuwa ni Diplomatic pass kwa wenzetu weupe kupata Dip pass si kitu rahisi kama kwetu tu so akanambia kuhusu Malta kwamba wao ndio wenye Sheria rahisi sana kuliko nchi zote za ulaya na ukikaa Malta mwaka mmoja ukiomba uraia si RP wanakupa hasa kwa nchi zilizotawaliwa na waingereza nikashangaa sana akanambia hii ndio njia nyepesi ya Kuingia Ulaya na pia ndani ya kisiwa cha Malta wanataka sana wafanyakazi kutoka nchi zilizokuwa koloni la Uingereza nchi ina watu wachache sana so nguvu kazi ni ndogo sana Malta ina watu laki 4 na nusu tu sasa wanaitaji sana watu sasa njia hii ambayo watu wengi hawaijui kwani ni siri na watu wakijua wataingia kwa wingi na madhumuni yao yatakuwa ni kuingia ulaya baada ya kupata uraia na hii itapelekea Umoja wa Ulaya watawazingua so tukapiga story nying tu
Siku zote wanasema aiwezekani kwenda jela bila ya kupitia mahabusu kwanza mahabusu ni kama katikati ya Uraiani na jela so watu wengi wanataka kwenda Ulaya lakini Mm ningependekeza kabla ya kwenda Ulaya ni vizuri ukapitia nchi yeyote wanayoishi watu wa jamii ya Ulaya ili kupata uzoefu wa kuishi Ulaya moja wapo ni Malta
Faida ya Malta kwanza wanaongea kingereza na Lugha yao jeshini hawaamini ktk namba 3 Uraiani namba 3 ni kama namba ya kuruhusu kufanyika kwa kitu na namba tatu imekuwa namba kipenzi kwa Raia lakini namba tatu ni adui kwa watu au vyombo vya usalama na ulinzi kwa nini nimetumia mfano wa namba tatu kwanza ni ngumu sana kwa Ulaya kupata kazi bila kujua Lugha vizuri ya mwenyeji wenzetu kingereza ukijua au kuto kujua hakiwezi kukuletea mafanikio au kukupunguzia kitu kuanzia maendeleo au kijamii
Sasa unapokwenda nchi ambazo hawaongei kingereza inakuwa ni ngumu sana kumbuka nchi zote zinazoongea kingereza zina sheria kali ya uhamiaji kwa vile wahamiaji wamejaa kwani robo tatu ya dunia wanajifunza au kuongea kingereza na target yao ni kwenda nchi zinazoongea kingereza mfano UK,US ,Canada,Australia ,NZ ni nchi ambazo zimejaa wahamiaji na kufanya hata ajira kuwa ni ngumu sana kwa watu wanaokwenda huko
Tanganyika wanaojua kingereza vizuri ni wachache sana so unataji kwenda kwenye nchi inayoongea kingereza kwanza ukijue vizuri then ndio unahamia nchi ambayo hawaongei kingereza ndio maana nikasema Malta kwni kutafasiri Lugha kwa njia tatu ni Tatizo kwani ukienda Ujerumani kwanza utakitoa kijerumani kukiwekwa kwa kiswahili then ukipeleke kingereza kwanza utajikuta unapoteza maana ya neno husika kwanza ni vyepesi sana kutafasiri Lugha yeyote kutoka kwenye kingereza lakini ukishazidisha Lugha ya tatu ni Tatizo Ukiwa Malta mwaka mmoja utakijua kingereza na kiswahili kitaondoka kwa vile hakuna mtu wa kuongea nae so kingereza ndio kitachukua nafasi ya Kiswahili ktk ubongo wako so kutoa kingereza kwenda Lugha unayotaka ni vyepesi tu kwanza pale Malta wanafundisha Lugha za mataifa mengine so unaweza kuanza kusoma hapo hapo kabla ujaenda kwenye nchi husika
Kwa nini nimechagua Jeshi kwanza ndio njia nyepesi ya kupata uraia nchi nying kupata uraia ni lazima ufanye mtihani ambao unatakiwa upate 70% kwenda juu wengi wanafeli sana mtihani huu lakini ukipitia Jeshini hufanyi mtihani huu ww unapata tu uraia kama ukitaka pia jeshini kwa huku Unasoma chochote gharama ni za jeshi kumbuka wazungu hawaamini Elimu ya Africa so kama umesoma shahada yako utaongezea masters kama ujasoma utatafuta cha kusoma kwani mkataba ni miaka mitano mitano
Nchi nying sana za dunia ya kwanza wanachukua Raia kutoka nchi nyingne lazima uwe ni mkazi halali wa nchi hyo yani upate RP kitu ambacho ni kigumu sana kwa wahamiaji wa kutoka nchi masikini vigezo ni vigumu sana lakini kwa raia wa Ulaya na US wanayo haki ya kufanya kazi au kuishi ndani ya nchi yeyote ya Ulaya au US au Canada na Austaralia
hv mnajua Russia wanatoa uraia kwa mtu yeyote anayetaka kuingia jeshini tena kutoka sehemu yeyote duniani? Russia unapata uraia kwanza ndio unaingia jeshini
Pia faida ya Jeshi kwanza unalipwa mshahara so maisha yako yatayatakuwa ni mazuri pia unapata elimu bure pia jeshi ndio taasisi inayoheshimika dunian so kama utamaliza trust me huwezi maliza mtaa kabla ujapata kazi tena kwa fani uliyoisomea kwa sababu ukipita jeshini vyeti vyako vitaonyesha so mzungu akiona ulikuwa jeshini dah unajua wenzetu wana uzalendo sana so utapata kazi na watakuheshimu sana kazini
Yapo mengi ya kuonge bt mwenye swali ushauri au kuhusu nchi yeyote lakini si Africa coz sina uzoefu na nchi za Africa
Note Katika Wajerumani kumi ukimwambia ww umetoka Tanganyika nane watataka wawe rafiki yako wajerumani wanawapenda sana watanganyika ( Tanzania) Sema serikali yetu imeshindwa kutumia fulsa hii lakini kama watakaa chini na wajerumani wakongea vizuri wanaweza kutusaidia sana kuanzia kimasomo kwa vijana wetu kwenda kusoma huko kuliko hata mwingereza mwingereza hana mapenzi na sisi sana kwani anaona sisi si kama koloni lake kivile yeye anamapenzi na Kenya
Kingine ninachowashauri ndugu zangu kama unakuja huku na kufanikiwa kosa kubwa wanalofanya watu kutoka Africa ni kuoa au kuolewa na watu wa huku ni kosa la kiufundi sana kufanya hvyo hii imepelekea watu wengi kukaa miaka mingi bila ya kwenda Africa kwani ni ukweli usiofichika wazungu ni wabinafsi yani swala la ndugu au jamaa kama sisi kwao hakuna so unajikuta unaiga tabia hyo na kujikuta unashindwa kuwekeza kwenu au kuwasaidia ndugu zako wa Africa
Pia hata watoto mtakao wapata nataka kusema ukweli na nimefanya utafiti juu ya hili kuwa watoto ambao mtu mweusi anazaa kwa kuchangaya damu na watu wa jamii nyingine wanakuwa na roho mbaya sana dhidi ya jamii ya watu weusi wanatamani kuonekana wazungu lakini jamii ya wazungu inawakataa wanajikuta njia panda so wanakuja kwa jamii ya watu weusi lakini wanakuwa na chuki kubwa sana kwa watu weusi lawama zao ni kwa mzazi mweusi kuwa bila ya ww mm nisinge tengwa au kutukanwa so watoto hawa kujua au kusaidia ndugu zao waliopo Africa ni ngumu sana ww fanya uchunguzi tu kwani wanajiona wao si waafrica wanajiona ni wazungu lakini jamii ya wazungu inawakataa
Lakini ukioa mtanzania mwenzio kwani hapo lazima kuja nyumbani Africa mtakuja na kitendo cha nyinyi kuja kinawafanya na watoto wenu wajue umuhimu wa ndugu zenu na kuwasaidia kwani kunakuwa na connection kati ya nyinyi na ndugu na watoto kupitia nyinyi
NO PM (chumbani ) kwani siku zote mazungumzo yanafanyikia Sitting room au sehemu ya wazi chumbani(PM) yanafanyika mazungumzo ya wapenzi tu
Dumelang jme Tembo2 impongo kui Tombstone Piledrive Prishaz wembeee pius1021 cognition
Mrike mwandende impelle Chakochangu Agogo Jr
Richard chotera lusungo Sky Eclat Mfikilwa
Hon Nkundwe 365 bigmind MANCNOO
Ndo leo naona jf mtu analilia atongozewe demu daaah! jf raha sana mkuu izzo ukimtongozea na mimi nakudai..ππππBro tunapokosea watanganyika ni kutumia kosa la wachache kuhukumu wengi. Kifupi watanganyika mizinguo sometimes, nimewakaribisha sana Uganda wakishajua mitaa wanakua maadui. Ila leo nami nalilia kukaribishwa mkuu, Fanya uwezalo tupate njia ndugu zako. Km ni manzi niunganishe brother