Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ndugu wana JF
Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.

Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.

Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.

Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.

Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.

Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.

FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo...

kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.

2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.

CHANGAMOTO
1. changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)

2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu sio zote.

USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.

Jinsi gani utaenda namna ni nyingi.... naorodhesha baadhi hapo chini...
1. kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo...

2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.

3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali,

4. kwenda kwa shughuli za utamaduni

Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake....

Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.

Nawakaribisha wafuatao: BAK kui Isanga family Sky Eclat


Matola MziziMkavu Copenhagen DN Ng'wamapalala Pascal Mayalla Nyani Ngabu rev kishoka Bavaria FaizaFoxy farkhina MfalmewaKiha mwandende Slim5

Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele... karibuni tusaidiane tujenge taifa letu... Tuwasaidie vijana wakasake fursa.
Naomba msaada jinsi gani sponsors au scholarships za kusoma nje zinapatikana????
 
Mkuu hongera kwa nondo, hebu nipe fununu za Netherlands hali ikoje?
Kimasomo Uholanzi iko vizuri. Shida kubwa ya huko ni kazi zisizo za kitaalamu hazilipi vizuri sana. Pia, ukimaliza masomo unapewa miezi michache kutafuta kazi inayoendana na ulichosomea, ukishindwa unatakiwa kurudi kwenu. Ujerumani nayo ni hivyo hivyo. Kinachotakiwa ni kupambana kutengeneza ndoa na mwenyeji.
Kuhusu scholarships za Uholanzi angalia hapa Find a scholarship — Study in Holland
 
Mimi nimewekeza kweny elimu kwa miaka 15, nina degree mshahara mdogo, nipo kazini bado kazi zinabana ziwez fanya biashara, nitaendelea kujiwekeza kwenye elimu hasa ya nje ili kutoka. Ningeamua kufanya biashara basi ningekomea form 4 au la saba
Ukiwekeza hela kichwani(akili)nayo akili itakuwekea pesa mfukoni
 
asante sana hapa uminionesha njia mkuu.
Mkuu unahangaika nini kwenda mpaka na mzazi mara uende mahakamani wakati kitu kirahisi fanya hivi...
Nenda palepale uhamiaji omba upewe ile form kiapo kisha jaza ukimaliza muone wakili yoyote hapo ofisi za uhamiaji akujazie sehemu yake husika na kukupgia muhuli wake kisha mpe elfu kumi tu isizidi hapo kazi unakuwa umemaliza.
Mambo ya kwenda kuapa ni mambo ya kizamani siku hizi inaapa pesa tu..
Nikutakie kila lakheri.
 
Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
Vp km ninataka niende labda China kwa utalii wanaweza nipa passport?
 
Sana hata Denmark ndo ilivyo.... Ukifika mlangoni unakuta list ya majina na button so wewe ni kubonyeza tu jina unalotaka kengele italia kwa mhusika then utaongea nae ukiwa nje basi akikubali uingie ye atabonyeza tu huko huko juu aliko mlango utafunguka...
Wenzetu wako mbali sana jamani.
No kufumaniwa hpo [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Ndugu zangu Watanganyika baada ya kuja na Option number one ya Malta sasa ni Option number 2 nia ni kutaka ndugu na jamaa zetu muweze kutimiza ndoto zenu za kutafuta maisha nje ya JPM empire ambako kumeonekana kama mwiba kwa ajira za vijana na maendeleo ya hasa vijana

Baada ya Option ya Malta kuonekana ni ngumu japo sijui ugumu wake ni nini lakini si mbaya kuna Option namba 2 mpaka 3 lakini leo tunaendelea na Option number 2

OPS (Mission)
Mission hii inahusu nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta

Kuhusu USA mm binafsi sipendelei mje US coz siasa za US dhidi ya wageni zimebadilika sana kumekuwa na siasa za utengano dhidi ya wageni

Ok tuendelee nimekuwa karibu na kufanya kazi na taasisi ktk nchi zote nilizozitaja taasisi hzo zinadeal na vijana ktk maswala ya culture exchange ambapo kila mwaka wamekuwa wakichukua vijana kwenda nchi mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni zingine na Lugha pia kubadilishana mawazo kama vijana umri wa vijana ni kuanzia miaka 18-30 vijana wa kiume na wakike sasa ni mm kuongea na taasisi hzo waanze kuleta vijana hao Tanganyika lakini utaratibu ni

1 Wanataka Host wa nchi wanayokwenda so kila kijana anapata Host wa nchi husika kwa ajili ya kumtembeza na kuwa mwenyeji wake

2 Kama unakuwa host wake atakaa kwako kwa kipindi chote ambacho ni kuanzia mwezi 1-3 so atakaa kwako si hotel au nyumba za wageni A.K.A (machinjioni)

3 Kila siku yeye atachangia dola 100 kama mchango wa chakula na malazi

4 Kumtembeza sehemu mbalimbali za ndani ya mkoa mfno DSM lakini akitaka kutoka nje ya dar gharama za wote wawili zitakuwa juu yake na gharama kama za kwenda disco na beach zitakuwa juu yake

5 kuhusu kukaa hata uwe na chumba kimoja ila yawe ni maeneo safe choo kiwe kizuri

MISSION YENYEWE
Kama ni mtoto wa kiume utakaa na mtoto wa kike kama ni wakike utakaa na wakiume lakini wenyewe hawajali.njinsia so kama utapenda kukaa na wajinsia yako pia ni sawa tu cha muhimu ni kutengeneza conection tu


ANGALIZO
Wazungu kitendo cha kulala kitanda kimoja na mtu wa jinsia tofauti kwao si tatizo kubdilisha nguo na kubaki na chupi mbele ya jinsia tofauti pia si jambo gumu kwao so hasije fanya hvyo ukaona kakuzimia au anakutega utakuwa wrong sana

Sasa bhasi kitendo cha mtu kukaa kwako miezi 2 au 3 usipo tengeneza conection naye utakuwa mpumbavu sana na kama utakuwa mjanja unaweza kuanzisha mahusiano ya kimapenzi naye kwani wengi ni vijana wa 18-25 lakini mission ni ww kutengeneza conecton kupitia huyo mgeni kwani mtaendelea kuwasiliana na yeye kukualika kwao ni vyepesi sana so nimekupa nyavu na mtumbwi kuvua samaki ni juu yako akili kumkichwa

CHANGAMOTO
Changamoto kubwa ya hii project ni usalama wa wageni kwani humu tunajuana kwa fake id so kumpa mtoto wa watu mtu ambae umjui ni swala la ujasiri na lenye kuitaji akili ya kuvukia barabara inaitaji ujitoe akili lakini ninauwezo wa kuwasiliana na hizo taasisi kwani tunafanyanazo kazi na kuheshimiana tatizo usalama wa hao wageni na hao unaowakabidhi mgeni huyo unamjua asije mchinja mtoto wa watu usiku dah

Kila mgeni na host mmoja na uhakika ni kupata wageni 20-30 kutoka nchi nilizotaja hapo juu kwa mwaka

Kumbuka wageni ni wakike na wakiume so chance ni kwa dada na wakaka wa Tanganyika

Mnaweza kuwatag member wengine wa thread hii na ambao wameonyesha nia ya kutoka na ambao wana michango yao kwenye thread hii ambao awajachangia achaneni nao



kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
 
Ndugu zangu jana nilitoa list ya balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwani nchi ya Malta ina balozi chache sana kwa nchi za Africa balozi zipo Africa ya kaskazini so wanachofanya kuna balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwa Tanzania ni balozi ya Italy ndio unaweza pata visa ya Malta njia ya kwenda Malta ni tatu kusoma,kutalii,kutembea hii inahusisha kufanya kazi kwa kujitolea ambapo yule unayefikia kwake anakutumia barua ya mwaliko

Kama unakwenda kwa ajili ya kufanya kazi ya kujitolea mara nying ni kazi za mikono ambazo unatakiwa kuwa unazijua ni
1 ufundi wa mbao au saidia fundi
2 kuchunga na kuangalia wanyama {mifugo}
3 kupika hii ni kwa wanawake
4 kutunza watoto hii ni kwa wanawake
5 kutunza bustani hii ni kwa wote

Napendekeza kama kazi ya kujitolea ukafanye kijijini au kwenye miji midogo faida yake ni
1Kwanza utajua Lugha zaid ya moja yani lugha ya wenyeji
2 unakuwa unaply low profile{kwani watu ni wachache na wengi ni wazee ambao mala nying hawana mpango na mtu}
3 Ni vyepesi kupata mdhamini wa kukuombea uraia endapo utakaa mwaka mmoja
4 Wengi kule ni wazee so mzee siku zote wanaaminika sana kwa serikali na taasisi zake so kama akikuombea uraia process zako zitakuwa fupi tofauti na akikuombea kijana

Vijiji na miji ya Valletta,Mdina, Zabbar,Cospciua na st paul"s bay

Wale wakina John kisomo kule scholarship nyingi ni kwa level ya masters na PhD ambazo nying ni za serikali BT ninazo scholarship za Sweden,Canada,Denmark , Australia ,Austria ,Germany , Finland, NZ lakini nying ni Masters na PhD lakini mission yetu ni Malta so tunajikita kwenye Malta

Note ; ni uhakika kama ukifanikiwa kukaa ndani ya MALTA mwaka mmoja kupata uraia ni vyepesi na ukifata process zote utafanikiwa lakini pia Mungu ni wa kumuomba kwa kila jambo pia

Kama utafanikiwa nchi za kwenda kwa ulaya ni za Scandinavian country na Ujerumani,Canada, USA kwa sasa hakuna free visa kwa nchi za ulaya mpaka pale watakavyobalisha Luxembourg nchi ambazo usiende kwani ni kimeo ni Italy,Spain, Ufaransa kwani kazi hakuna na maisha ni magumu UK wamejitoa EU so sidhani kama kuna free visa


kuhusu jeshi nilishazungumzia labda kama kuna swali naweza ulizwa

Kumbuka jeshi la wenzetu mafunzo si magumu sana kama huku kwetu najua wengi wanaweza ogopa kutokana na mafuzo huku ni kukomoana kule ni kufundishana majeshi ya wenzetu wamewekeza kwenye technology si katika nguvu za mwili mambo ya kuvunja matofali au kuvuta gari kwa meno hakuna labda uwe kwenye vikosi maalumu kama special force na commando wenzetu siku hizi ni kubonyeza botton tu vinatoka vitu mpaka sijui mkutane mpigane mieleka siku hz hakuna room hiyo siku hiz zinatumwa spy UAV{Unmanned aerial vehicle} inapiga picha jion pilot mmoja au wawili wanachukua chombo aidha fighter jet au bomber ambazo hazionekani kwenye rada na kwenda kudrop madude then baada ya masa 6 au 10 wamerudi huku uko walipo kwenda wakiacha vilio tu na kazi ya ambulance kwa ajili ya kubeba majeruhi au maiti na fire kwa ajili ya kuzima moto

Pia kwa wenzetu jeshi ndipo vitu bora vinapatikana kuanzia elimu bora na huduma bora za afya kwani viongozi wote wa serikali wakiumwa utaskia wamepelekwa kwenye hospital za kijeshi wanasema kitu chochote bora duniani kinapatikana jeshini kwa wale wanaotaka kuomba kazi moja kwa moja unaweza pita hapa www.maltajobport.com

mwenye swali aulize bt no pm kwani sito jibu msg ya mtu yeyote

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Mkuu ubarikiwe sana kwa kuendelea kutujali wish wenye macho wameona na wenye maskio wameskia kazi inabaki kudhutu tu.
Katika njia ambayo mimi nafikiri ni nyepesi endepo utapata host ni njia ya kujitolea(workaway) unakubali kupoteza mwaka mmoja huo ili ukiwa kama volunteer inakupa muda pia kuyajua mengi juu ya nchi uipendayo kwenda.
Mkuu katika kitu kinawasumbua wengi kwenye malipo ya kujiunga kunasehemu wanataka uingize credit card number au ulipe kwa njia ya paypal sasa ugumu upo hapo tusaidie mkuu tufanyeje ili tujiunge na hiyo workaway tujaribu bahati zetu.
 
Link haifungui mkuu
Moving to Malta

Thinking of moving to Malta?
Are you thinking of moving to Malta? Numerous residents are attracted to the tiny island state every year. These include freelance professionals who can work remotely as well as retirees from Northern Europe, with a good number of them from the UK. The attraction lies in the relatively relaxed way of living, affordable cost of living, as well as the country’s historical links to Britain.
All those who move to Malta, the smallest EU state, fall in love with its natural beauty, architectural gems and the Mediterranean joie de vivre that permeates life on the island. Many are also attracted by the various successful industries that are flourishing in Malta such as the gaming industry and the financial services.
Other star attractions include the plethora of leisure activities namely diving, cultural events and night life.
Within this section you will find all you need to know about moving to this island steeped in history, surrounded by the deep, blue Mediterranean Sea and where the sun shines for the majority of days throughout the year.
Residency Requirements
It is relatively straightforward to obtain the necessary paperwork to be able to move to Malta.
Tourist Visa
This allows you to legally live in Malta for 90 days. You can stay longer by either getting an extension from the police or by leaving and coming back again for 90 days. If you’re planning on living on the island long term, then you should look into becoming a permanent resident.
So if you’re planning on moving to Malta, you don’t need to apply for residency before moving. You can use your tourist visa while you sort things out and settle in and, in the meantime, apply for residency while you are in Malta.
Moving around in Europe
Malta is in the Schengen area which is group of countries that have got rid of passport and immigration controls at their common borders. So people travelling to and from Schengen areas will not need to have their passports checked at the borders.

Malta also has a visa waiver agreement with a number of countries. Maltese citizens are eligible to travel to the US without a visa

Permanent Residency
If you become a permanent resident in Malta you will need to pay 15 per cent tax on the income you bring into the country. Thanks to double tax treaties with various countries, you will probably not need to pay any tax to your country of origin.
You can find a list of countries that have a double tax arrangement with Malta here.
Once you’ve become a permanent resident, of course you don’t need to necessarily live on the island all the time and can come and go as you wish. Do be aware that you are not becoming a Maltese citizen by becoming a resident and will not be able to vote.
Two Types of Residency
Depending on where you are emigrating from you can apply for one of two types of residency: the Ordinary Residence or the Permanent Residence. The difference between the two ultimately boils down to how much you are taxed.
Ordinary Residence
Ordinary Residence applies to people coming to Malta from the EU. The tax you pay is worked out by taking from 0 to 35 per cent of your income, minus a tax-credit, depending on how much you earn and marital status.
Permanent Residence
Permanent Residence is open to everyone, no matter what your country of origin is. If you’re not from the EU then this is what you need to apply for. You can also apply for this scheme if you are from the EU, but we recommend always consulting a lawyer to see which scheme is more suited to you.
You will need to renew you ordinary residence permit every five years, while permanent residence permits are renewable every year.
The Malta Global Residency Programme
In July 2013, the Maltese Government introduced a new residency programme. This offers special tax status to third country nationals (except for EEA and Swiss nationals) in Malta. To apply for this programme you need to satisfy certain criteria such as buying or renting property in Malta or Gozo and paying a minimum annual tax liability on foreign income received in Malta.
Where Do I Apply for My Residency Permit?
To apply for your residency permit you need to go to the:
Department for Citizenship and Expatriates Affairs
Evans Building
St Elmo Place
Valletta VLT 2000
Malta
Tel: 2590 4000, 2590 4800, 2590 4821
Fax: 2590 1830
Email: citizenship@gov.mt
Residency permit applications can only be submitted in Valletta. The application may be presented by someone else (on your behalf) but when the document is issued you need to pick it up yourself. You can also apply by post. When you apply by post, you need to send photocopies of passports or ID cards that have been authenticated by the police. You’ll need to present your passport or ID card when collecting your registration certificate or residence card.
Where Can I Get The Residency Application From?
The residency application form can be found here.
Is There An Application Fee?
There is no application fee if you are an EU/EEA/Swiss national or a family member of an EU/EEA/Swiss national. However, if you have lost your residence document, had it stolen, destroyed or defaced then you will need to pay a fee as follows:
    • Lost, stolen or destroyed document: €20
  • Defaced document: €15
  • Non-EU nationals must pay a fee of €25 which will entitle the applicant to a document covering the period of one year or part thereof.
  • If you are married to a Maltese national and who enjoys Exempt Person Status then you are exempt from the payment of the fee.
  • Long term residents are required to pay the fee for a five year permit, amounting to €125 upon application.
  • If you enjoy International Protection and have just been released from detention then you are exempt from paying a fee.
Do I Need Professional Assistance To Apply For Residency?
Most people do not need professional assistance to apply for residency, as the application process is fairly straightforward and easy now that Malta is a member of the EU.
However, the process can be time consuming so if you don’t have a lot of time on your hands it might be worth considering professional assistance.
Also, an accountant can advise you what you are entitled to as well as help you to time your move tax-wise. The time of applying for residency may be dictated equally by the timing of ending your residency elsewhere and getting it in Malta.
 
Moving to Malta

Thinking of moving to Malta?
Are you thinking of moving to Malta? Numerous residents are attracted to the tiny island state every year. These include freelance professionals who can work remotely as well as retirees from Northern Europe, with a good number of them from the UK. The attraction lies in the relatively relaxed way of living, affordable cost of living, as well as the country’s historical links to Britain.
All those who move to Malta, the smallest EU state, fall in love with its natural beauty, architectural gems and the Mediterranean joie de vivre that permeates life on the island. Many are also attracted by the various successful industries that are flourishing in Malta such as the gaming industry and the financial services.
Other star attractions include the plethora of leisure activities namely diving, cultural events and night life.
Within this section you will find all you need to know about moving to this island steeped in history, surrounded by the deep, blue Mediterranean Sea and where the sun shines for the majority of days throughout the year.
Residency Requirements
It is relatively straightforward to obtain the necessary paperwork to be able to move to Malta.
Tourist Visa
This allows you to legally live in Malta for 90 days. You can stay longer by either getting an extension from the police or by leaving and coming back again for 90 days. If you’re planning on living on the island long term, then you should look into becoming a permanent resident.
So if you’re planning on moving to Malta, you don’t need to apply for residency before moving. You can use your tourist visa while you sort things out and settle in and, in the meantime, apply for residency while you are in Malta.
Moving around in Europe
Malta is in the Schengen area which is group of countries that have got rid of passport and immigration controls at their common borders. So people travelling to and from Schengen areas will not need to have their passports checked at the borders.

Malta also has a visa waiver agreement with a number of countries. Maltese citizens are eligible to travel to the US without a visa

Permanent Residency
If you become a permanent resident in Malta you will need to pay 15 per cent tax on the income you bring into the country. Thanks to double tax treaties with various countries, you will probably not need to pay any tax to your country of origin.
You can find a list of countries that have a double tax arrangement with Malta here.
Once you’ve become a permanent resident, of course you don’t need to necessarily live on the island all the time and can come and go as you wish. Do be aware that you are not becoming a Maltese citizen by becoming a resident and will not be able to vote.
Two Types of Residency
Depending on where you are emigrating from you can apply for one of two types of residency: the Ordinary Residence or the Permanent Residence. The difference between the two ultimately boils down to how much you are taxed.
Ordinary Residence
Ordinary Residence applies to people coming to Malta from the EU. The tax you pay is worked out by taking from 0 to 35 per cent of your income, minus a tax-credit, depending on how much you earn and marital status.
Permanent Residence
Permanent Residence is open to everyone, no matter what your country of origin is. If you’re not from the EU then this is what you need to apply for. You can also apply for this scheme if you are from the EU, but we recommend always consulting a lawyer to see which scheme is more suited to you.
You will need to renew you ordinary residence permit every five years, while permanent residence permits are renewable every year.
The Malta Global Residency Programme
In July 2013, the Maltese Government introduced a new residency programme. This offers special tax status to third country nationals (except for EEA and Swiss nationals) in Malta. To apply for this programme you need to satisfy certain criteria such as buying or renting property in Malta or Gozo and paying a minimum annual tax liability on foreign income received in Malta.
Where Do I Apply for My Residency Permit?
To apply for your residency permit you need to go to the:
Department for Citizenship and Expatriates Affairs
Evans Building
St Elmo Place
Valletta VLT 2000
Malta
Tel: 2590 4000, 2590 4800, 2590 4821
Fax: 2590 1830
Email: citizenship@gov.mt
Residency permit applications can only be submitted in Valletta. The application may be presented by someone else (on your behalf) but when the document is issued you need to pick it up yourself. You can also apply by post. When you apply by post, you need to send photocopies of passports or ID cards that have been authenticated by the police. You’ll need to present your passport or ID card when collecting your registration certificate or residence card.
Where Can I Get The Residency Application From?
The residency application form can be found here.
Is There An Application Fee?
There is no application fee if you are an EU/EEA/Swiss national or a family member of an EU/EEA/Swiss national. However, if you have lost your residence document, had it stolen, destroyed or defaced then you will need to pay a fee as follows:
    • Lost, stolen or destroyed document: €20
  • Defaced document: €15
  • Non-EU nationals must pay a fee of €25 which will entitle the applicant to a document covering the period of one year or part thereof.
  • If you are married to a Maltese national and who enjoys Exempt Person Status then you are exempt from the payment of the fee.
  • Long term residents are required to pay the fee for a five year permit, amounting to €125 upon application.
  • If you enjoy International Protection and have just been released from detention then you are exempt from paying a fee.
Do I Need Professional Assistance To Apply For Residency?
Most people do not need professional assistance to apply for residency, as the application process is fairly straightforward and easy now that Malta is a member of the EU.
However, the process can be time consuming so if you don’t have a lot of time on your hands it might be worth considering professional assistance.
Also, an accountant can advise you what you are entitled to as well as help you to time your move tax-wise. The time of applying for residency may be dictated equally by the timing of ending your residency elsewhere and getting it in Malta.
Bado kuzuri kwakweli, kuzuri kweli
 
Poa nakaribisha maswali yote si ya Malta tu nchi zote kasoro Africa na Middle East lakini kwa Israel unaweza uliza tu coz naijua vizuri sana nchi hii
Hivi Israeli hii nchi inafaa kujilipua kweli??nafanya kazi za hotel kitambo.mwaka jana na mwaka huu tumepata wageni wengi wa ki israel.

1:ni wasumbufu sana kama warabu wa oman na wana force vitu hata kama vipo nje ya uwezo wetu

2:wanaonekana wana ubaguzi wa hali ya juu.
3:wanabaguana na mataifa mengine.

Kifupi wanatisha kwa tabia zao kwenye nchi zetu sasa sijui huko kwao itakuaje?

Mkuu naomba utuelezee unawafaham vipi kwa kifupi
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Kwa Japan, njia rahisi ni kwa ndoa. Watu hawaoani huku wala kuzaliana. Wanigeria wanaoa kila siku na Wajapani.

Kwa kusoma hapa, mpaka uletwe na serikali. Scholarship wanatoa kuanzia Ph.D level.

Unaweza kuja kwa kusoma Kijapani. Naifahamu shule moja ya lugha, gharama ni $1000 kwa mwezi. Wachina wanakuja hivo na kutafuta maisha wakiingia. Pia, viza hazina tabu za kuishi. Unaweza kusoma hapo kwa $500, na $500 unalipa chumba katika dorm yao. Pia, viza yako ya mwaka unaruhusiwa kufanya kazi na shule ina contact na makampuni. Baada ya hapo, akili kichwani.

Maisha ya Japan sio ghali kama unavyosoma katika magazeti. Unaweza kula kwa $10 kwa siku na kushiba. Kazi zipo nyingi tu, viwandani wanatafuta wafanyakazi, Wajapani hawazitaki na hawataki kuzaa. Kama ukitaka, nimeweka link ya vyumba vya kulala vya $500 kwa mwezi kutoka kwa agent. Unaishi kigeto, katika chumba kimoja, katikati ya jiji la Tokyo. Mgeni yoyote anakaribishwa.

Shule ya Kijapani: 東京近郊埼玉県さいたま市の日本語学校

Chumba Tokyo: www.realestate.co.jp
Hivi japan kima cha chini kwa mfanyakazi ni $ ngapi..?
 
Back
Top Bottom