Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu ukipata jibu uniite na mimi
 
Mkuu stunter unachofanya sio fair kabisa.. Unaandikiwa meseji hujibu na ukijibu unajibu shortcut tu..

Please hebu jitahidi kumuelewa kila MTU anaekufuata inbox kwa wazo alilolitoa mdau Izzo...


Au mkuu izzo naomba inipatie namba zako inbox kwangu
 
Invisible
 
Mkuu stunter unachofanya sio fair kabisa.. Unaandikiwa meseji hujibu na ukijibu unajibu shortcut tu..

Please hebu jitahidi kumuelewa kila MTU anaekufuata inbox kwa wazo alilolitoa mdau Izzo...


Au mkuu izzo naomba inipatie namba zako inbox kwangu
Ndugu zangu. Naomba tuwe makini na pamoja kwenye mambo haya muhimu. Kumbukeni ugeni ni zaidi ya undugu, kama kasoro zinaanza mapema hivi, si sawa. Ukipata nafasi muhimu kama hii, ni vyema kutulia na kumthamini kila mmoja.
 
sasa mbona mkifa huko.....mpaka sisi huku sitimbi tuchangishe pesa ndio mtu aweze kuzikwa huku? hata ya kusafirisha mwili tu kuchangia huko ni shida! ni nn shida!

Mkuu kbosho watuwengi wanao omba msaada mtu akitangulia mpele ya haki ni utamaduni wetu wakuchangiana Na tamaa ya wafiwa.
NSSF-WESTADI Hii ni bima ambayo inanunuliwa
Kwa $300 Kwa mwaka.Mwana diaspora akiukata hiyo bima inalipia kila kitu.
Kwa hiyo omba omba wengi wanaijua Hii BIMA
Lakini wengi wetu tunaikumbuka mpaka yatukute. Wenye kutaka kuijuwa
Www.Tzdiaspora.org
 
I like you brother izzo
Watanzania wote tungekuwa hivi maendeleo yngekuwa rahisi sana ila nchi yetu watu wana roho mbaya ukikaa maofisini ndo utajua

Mkuu watu wenye roho mbaya wako lakini sio wengi Na wenye roho nzuri wako wengi Ila utawaona ukionyesha tabia nzuri Na ukarimu Na hawajitangazi.
Unaanza Na Tabasamu ndio ufunguo wa kuwaona Watu Wema na kuwatakia watu usio wajuwa mema.Kama Lusungo katoa sadaka na Izzo kaongeza na wengi wanazidi kuchangia.
MBARIKIWE WOTE
 
Mkuu hapa umemaliza kila kitu imebaki utekelezaji tu ikiwa hivyo hakika mambo yataenda vyema nami nakuunga mkono kwa hilo wazo asante sana.
 
Alafu nikitaka kwenda sauzi.kwa gari.nikifika mipakani nitaulizwa tiketi ya kurudia yaani kama kwenye ndege?
South ukiwa na passport inatosha.
Ukienda kwa bus huulizwi return ticket.

Nilienda mwaka juzi kwa bus sikupata usumbufu wowote.

Kama vipi ni PM
 
Maisha hapahapa uswazi. Nendeni lakini mrudi baada ya mafanikio. Raha ya maisha ni wale akina Ngoswe mliosoma nao/ mkiishi naona wakati upo apeche alolo wakuone ukiwa na mafanio wakusifie 😛. Ughaibuni unaishi watu hawana time na wewe labda uwe super star.
 
South ukiwa na passport inatosha.
Ukienda kwa bus huulizwi return ticket.

Nilienda mwaka juzi kwa bus sikupata usumbufu wowote.

Kama vipi ni PM
Mmmmmh... mkuu nauli ya basi ni kiasi gani huu utalii wa ndani ni kwikwi muda mwingine... ila nasikia ukisafiri na wazimbabwe huwa hawataki mazoea kabisa.
 
Mtoa mada changamoto kubwa pia ni lugha ya kingereza ambayo tunaona ata kwa baadhi ya wasomi wetu wanasumbuka nayo tofauti na mataifa kama kenya na naigeria ambayo wao wapo vizur kweny lugha.
 


Mimi nimeenda USA mara 5 kihalali, hili halipo straight kama unavyofikiria. Labda ufanye kazi tu bila kibali. Kuoa ni shughuli, and a long process.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…