Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Huyo britanicca.ni kirusi.
 
hii ni shule mkuu, big up.
Dada unajua ktk East Africa au Africa nzima Watanganyika ndio wamekuwa watu waoga sana kutoka nje na hii wamezeshwa toka enzi ya J.K Nyerere yani wameaminishwa Tanzania na mikoa yake ndio sehemu pekee kuishi na kutafutia maisha ndio maana mpaka leo ukiomba passport lazima huwe na sababu dah hv ni kweli passport ndio kitambulisho cha kimataifa kinachomtambulisha mtu lakini kwenu kukipata mpaka eti ueleze sababu kwa nini unakitaka


Then kila ukimuuliza mtanganyika atakwambia anataka kwenda nchi ambayo kila siku anaisikia na kuiona kwenye BBC,CNN wakati kufika huko ni lazima uwe na vigezo na nchi hzo siku hz wanafunga mipaka kwa wahamiaji leo sijui kujilipua hakuna nafasi tena ukikamatwa tu ni safari hapo hapo ulipo sasa kama utaweza ukiona gari la LAPD au NYPD au POLICE ukajificha kwa miaka yote sawa lakini siku wakikukamata tu unarudi home kwenu bila hata kubeba sindano uje nayo home kuwaonyesha
 
Tunaumia sisi.tunaotaka kutoka kutafuta kakaa.
 
Izzo tupe mchakato wa kupata kazi za kujitolea,hata mashambani...watu tuelekee huko mana Tanzania tunapoteza Muda,kila unachopata serikali inachukua
Mkuu nimecheka sana hapo uliposema kila unachopata serikali inachukua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu tafadhali niPM mkuu umeniguza kwene malengo yango nadhani utanisaidia sana Mkuu japo Majina uloyataja ni Magumu kama NG'WANAPAGI, NG"WAMAPALALA Majina ya home kabisa iyo ila Magumu sana Mkuu...
 
Kuna baharia mmoja miaka ya 2000 alikuwa anaitwa msakanyoka
Alichukua hela yetu ya ada kwa minajili anaenda kututengenezea passport
Kumbe feki

Aha ah kweli safari kafiri
Never forget unaona kabisa rafiki yako tena mko safari moja, maskani yenu moja

Wanamchomoa pasport Inapigwa x Unarudi ulikotoka hapo ni ranokwabane
 
Hiyo sasa wamedhibiti kwa kiasi kikubwa sana ndy maana wanatumia njia ya MAJINI. now kila shirika LA ndege wana AIRLINE SECURITY.. kuna jamaa lazima ukutane nae kwnza akuhoji.. Akaguwe passport na viza na hata mualiko wako.ndy URUHUSIWE KWENDA KWENYE boarding PASS DESK. .nakumbuka nilipotoka AFRICA hapo VIA Nairobi. Jamaa wa Emirates airline security alinisumbuwa sana...ila nilifanikiwa kuruka. Ila kuna msomali mmoja with Kenyan passport holder walimzuia kuruka. Rout yangu ilikuwa NAIROBI..DUBAI...ROME....yule msomali ni NAIROBI.. DUBAI..TURKY..na alikuwa hana viza ya Turkey.. Wao wanaingia ENTRY PALE ...tulimwacha pale ..hawakumruhusu KURUKA. Msomali akifika TURKEY tu ndy safari ya SHENGENA countries zinaanza..hapo..na jamaa wanajuwa hivyo.
 
Mkuu hivi Ukipata Rafiki wa Denmark sio wabaguzi kusema anaweza aka kuharika then akaanza kukunyanyasa?????
Mkuuu ndugu yangu ukiwa mtu mweusi neno ubaguzi au kubaguliwa kuchulia ni kama sehemu yako tu trust me hakuna sehemu duniani ambayo mtu mweusi yuko safe dhidi ya ubaguzi zaid ya Africa japo napo si 100% kwani wapo wanabaguliwa hata ndani ya Africa mfano wahindi , wachina na makaburu SA so ilo lisikupe tabu

Nchi nying za Ulaya wabaguzi sana sana ni wazee na watoto wadogo na mara nying ni wale wanaokaa mashambani lakini mijini ubaguzi umepungua kwa kiasi kikubwa sana
 
Huo ubaguzi ndiyo unakufanya uwe na malengo, cha kwanza ni sala, sali sana Mungu akusaidie, pili pata elimu yao maana huwezi kuondoka na gunia la pesa na tatu kumbuka kuboresha hali yako ya nyumbani hata ukirudi uwe na pa kuanzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…