Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Please tell me where is a good place in SA to raise children's?although I prefer Johannesburg,but I'm not sure if it is safety?I know at least Cape town and Port Elizabeth is good place for foreigners,but need to stay Johannesburg because it is a business city and I would like to make some business there ili kusukuma maisha.Some one say that there are good place in Gauteng,especially Sandton,Morningside na kwingineko.But it is expensive to get apartment ingawa no problem to me.Jee kama unakaa maeneo hayo and watoto wanasoma let say Kwazulu Natal jee Kuna shida ya usalama?I know mtu anaweza kuuliza why SA?Ni kwamba it is cheaper country to live in.Ikiwa wafungwa wao mboga inayo wakera ni kuku unategemea nini???Kuna jamaa anaitwa Kinega aliendaga akiwa hajui Ata kuendesha mkokoteni,but jamaa mpaka akaweza kuendesha BMW na akawa anaingia mpaka kwenye show za Snopy na Jay Z,wakati Mie sijawahi Ata kuingia kwenye show ya Kingwendu bhana!
Yani Kinega mpaka akamla mtoto WA kamanda "San-Siro" WA Johannesburg bhana,no I'm going to SA.
Nipeni mwongozo,maana europe wanabana sana now days.
Plz fungukeni.
Hahaha, nimefurahi khs uyo kinega
 
Hata mm natarajia kwenda kuishi japan. Thou inabidi nioe kule mke wa kijapani. By mwez wa 4 naondoka. Nabeba mikuyati yangu ya kutosha naanza maisha ya kijapani
Hongera sana mkuu, tutakua twakutana angani Inshaallah
 
Ndugu zangu Watanganyika nimekuwa kimya kwa sababu nakamilisha baadhi ya mambo kuhusu project yetu changamoto inayonikuta ni kuweza kuwashawishi juu ya usalama wa wageni wkati mm sipo eneo la tukio yani wanakaa miezi 3 Africa then mm sipo eneo la tukio kumbuka wanaokuja ni kati ya miaka 18 - 25 so ni bado watoto au vijana pili inatakiwa nijiCommit mm kuwa Responsible kwa lolote

Kumekuwa na watu wanazungumzia vigezo mm ninavyojua ni

1 Kuwa eneo salama (Kiafya na Kiusalama)
2 Kujua lugha ya mawasiliano ambayo ni kingereza
3 kuanzia vyumba viwili yani chumba na sebure
4 Kama unafamilia basi wasizidi watu 5 ikiwamo na ww
5 Choo kizuri na kisafi
6Kuwepo na mtu wa kushinda na kumtembeza mgeni sehemu mbalimbali


Vigezo ni hvyo vya kuanzia vinaweza kubadilika kutokana na mahitaji coz Wageni wanaokuja ni kutoka familia za middle class so unaweza kujiuliza middle class za ulaya ni kipato aina gani kwa mwezi au mwaka wengi ni wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi lakini project hii tunaanza na wageni vijana umri miaka 18-25 na wanatoka Malta , Canada na USA next round itakuwa Denmark ,Norway na Sweden

Changamoto inayonikabili ni hyo niliyoeleza hapo juu

Kuhusu namba za simu nimezipata kwa wale waliotuma na zinafanyiwa kazi hili kujiridhisha

Sasa niwaulize nyinyi Project hii ilikuwa ni kwa ajili ya watu walio Single kwa ajili ya kutengeneza mahusiano kumbuka wazungu ukishamwambia umeoa au unamahusiano tu bhasi hato kuwa karibu na ww kwani wanaheshimu sana ndoa za watu
na mahusiano ya watu

So kwa wale wenye mahusiano itabidi wachukue jinsia yao kwa maana kama ni mwanaume utachukua mwanaume mwenzio kama ni mwanamke chukua mwanamke mwenzio

Note ;Si lazima muwe na mahusiano ya kimapenzi hata mahusiano ya kirafiki yanatosha sana kwa kuanzia

Pia watanganyika ni mabingwa wa kuwa wabishi pale unapotongoza na kukataliwa mna mtindo wa kulazimisha naomba huduma hyo isiwepo hata kidogo kama kakupenda atakwambia mwenyewe aina ulazima wa kulazimisha kitu

update.....
Kuna group la Whats app na Telegram la Kazi na kupeana michongo ya kazi ,vyuo na mambo yote kuhusu kusafiri na kwenda kusoma au kufanya kazi kwa Ulaya , America na Ocenia ni group la watu wa huku huku nje na linawanachama zaid ya 1000 kutoka nchi nilizozitaja so nitaomba ruhusa ya Admn kama wanaweza kuadd watu kutoka Africa kama akinikubalia nitaweka namba hapa then mtajoin




kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike


Mkuu ubarikiwe sana aisee, Tunakuombea Mungu akujalie Afya na Amani

Jana ubalozi wa Italy/Malta mpaka mlinzi ananiuliza unakuja lini kuchukua visa! Nimekukukumbuka mkuu Malter the Best.
Mkuu naomba nikurudishe nyuma kidogo. incase nataka jeshi sweden, 1. je ni kweri ndio tunaowekwa frontline kwenye mission za hatari? 2. usajiri wa kuingia jeshi sweden moja kwa moja pamoja navigezo vyake vipoje 3. value ya mtu mweusi inafanana na ya mswiden. for me napenda jeshi, naomba nisaidie Mkuu, nina fear of unknown.
 
Mkuu hio web ya visa ya Malta ktk Italy embassy nimeingia nimekuta ki italiano kitupu ko sielewi

Embassy of Italy
P.O. Box 2106 - Lugalo Road, 316 - Upangas - Dar es Salaam
Tel. +255 22 2115935/36 - 2123010/11
Commercial Office - Tel / Fax +255 22 2117369
Emergency telephone: +255754 777 701 (emergency calls and after hours)
hours: Monday to Friday: from 08.00 to 15.10 - Wednesday: 08:00 to 16:10
certified Mail:
amb.daressalaam@cert.esteri.it
amb.daressalaam.cons@cert.esteri.it
amb.daressalaam. pass@cert.esteri.it

Ambassador
Roberto Mengoni
Email: segr.dar@esteri.it
Int. 102

chief hii ni full package ya contact zao, in case umekwama kwa website just call them on Hot line. likini mimi iko poa na nipo naifanyia kazi muda huu.
 
Mkuu ubarikiwe sana aisee, Tunakuombea Mungu akujalie Afya na Amani

Jana ubalozi wa Italy/Malta mpaka mlinzi ananiuliza unakuja lini kuchukua visa! Nimekukukumbuka mkuu Malter the Best.
Mkuu naomba nikurudishe nyuma kidogo. incase nataka jeshi sweden, 1. je ni kweri ndio tunaowekwa frontline kwenye mission za hatari? 2. usajiri wa kuingia jeshi sweden moja kwa moja pamoja navigezo vyake vipoje 3. value ya mtu mweusi inafanana na ya mswiden. for me napenda jeshi, naomba nisaidie Mkuu, nina fear of unknown.
Safi sana mkuu, vipi ume apply visa ya aina gani kwenda malta? Umeshapigiwa simu kuwa umefanikiwa?
 
Ndugu zangu Watanganyika nimekuwa kimya kwa sababu nakamilisha baadhi ya mambo kuhusu project yetu changamoto inayonikuta ni kuweza kuwashawishi juu ya usalama wa wageni wkati mm sipo eneo la tukio yani wanakaa miezi 3 Africa then mm sipo eneo la tukio kumbuka wanaokuja ni kati ya miaka 18 - 25 so ni bado watoto au vijana pili inatakiwa nijiCommit mm kuwa Responsible kwa lolote

Kumekuwa na watu wanazungumzia vigezo mm ninavyojua ni

1 Kuwa eneo salama (Kiafya na Kiusalama)
2 Kujua lugha ya mawasiliano ambayo ni kingereza
3 kuanzia vyumba viwili yani chumba na sebure
4 Kama unafamilia basi wasizidi watu 5 ikiwamo na ww
5 Choo kizuri na kisafi
6Kuwepo na mtu wa kushinda na kumtembeza mgeni sehemu mbalimbali


Vigezo ni hvyo vya kuanzia vinaweza kubadilika kutokana na mahitaji coz Wageni wanaokuja ni kutoka familia za middle class so unaweza kujiuliza middle class za ulaya ni kipato aina gani kwa mwezi au mwaka wengi ni wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi lakini project hii tunaanza na wageni vijana umri miaka 18-25 na wanatoka Malta , Canada na USA next round itakuwa Denmark ,Norway na Sweden

Changamoto inayonikabili ni hyo niliyoeleza hapo juu

Kuhusu namba za simu nimezipata kwa wale waliotuma na zinafanyiwa kazi hili kujiridhisha

Sasa niwaulize nyinyi Project hii ilikuwa ni kwa ajili ya watu walio Single kwa ajili ya kutengeneza mahusiano kumbuka wazungu ukishamwambia umeoa au unamahusiano tu bhasi hato kuwa karibu na ww kwani wanaheshimu sana ndoa za watu
na mahusiano ya watu

So kwa wale wenye mahusiano itabidi wachukue jinsia yao kwa maana kama ni mwanaume utachukua mwanaume mwenzio kama ni mwanamke chukua mwanamke mwenzio

Note ;Si lazima muwe na mahusiano ya kimapenzi hata mahusiano ya kirafiki yanatosha sana kwa kuanzia

Pia watanganyika ni mabingwa wa kuwa wabishi pale unapotongoza na kukataliwa mna mtindo wa kulazimisha naomba huduma hyo isiwepo hata kidogo kama kakupenda atakwambia mwenyewe aina ulazima wa kulazimisha kitu

update.....
Kuna group la Whats app na Telegram la Kazi na kupeana michongo ya kazi ,vyuo na mambo yote kuhusu kusafiri na kwenda kusoma au kufanya kazi kwa Ulaya , America na Ocenia ni group la watu wa huku huku nje na linawanachama zaid ya 1000 kutoka nchi nilizozitaja so nitaomba ruhusa ya Admn kama wanaweza kuadd watu kutoka Africa kama akinikubalia nitaweka namba hapa then mtajoin




kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Asante kwa update mkuu Izzo,
Mungu akubariki zaidi na zaidi
 
Safi sana mkuu, vipi ume apply visa ya aina gani kwenda malta? Umeshapigiwa simu kuwa umefanikiwa?

Chief nipo initial stage sana, so nasoma masharti kwa kina, then nitakapokwama niwapigie ubalozi wanipatie ufafanuzi. mkuu by kesho ntakua vizuri mkuu.
 
Kwani maua nje yanauzwaje? Mi nnavyofaham kuna jamaa mmoja alikuwa anayakata vijiti kama vya inchi nne hivi then anavipack kulingana na aina tofauti tofaut ya maua,
Fursa hii mkuu ndio na mm nauliza mwenye kuielewa uzuri na ambaye alisha wahi kuifanya basi tuone jinsi gani twaweza fanya kwa pamoja na kama soko pia lipo basi hii fursa nzuri kwa kweli...
 
Mkuu hio web ya visa ya Malta ktk Italy embassy nimeingia nimekuta ki italiano kitupu ko sielewi
ital.JPG

click EN kwa kubadili lugha kuwa kizungu na IT kwa italiano... juu ya hizo fb, twtter, youtube nk...
 
TANGAZO KWA UMMA

Ijumaa, 10 Machi 2017 13:23
TANGAZO KWA UMMA


NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA SAYANSI NA HISABATI WALIOHITIMU MWAKA 2014/2015 KURUDI NYUMA.

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inawatangazia wahitimu wote wa Stashahada na Shahada ya Ualimu katika masomo ya Sayansi na Hisabati wa mwaka 2014/ 15 na miaka ya nyuma, kuwa bado kuna nafasi za ajira, hivyo, wenye sifa watume maombi yao.

Wahitimu walioomba wakati Wizara ilipotangaza nafasi za ajira mwezi Desemba, 2016 na Januari, 2017 wasiombe tena kwa kuwa mchakato wa ajira kwa wale wenye sifa unaendelea. Wahitimu walioajiriwa Serikalini wasiombe.

Nyaraka zinazotakiwa kuwasilishwa ni hizi zifuatazo:-

  • Elimu ya sekondari (Kidato cha Nne na Sita);
  • Taaluma ya Ualimu (Stashahada, Shahada au Stashahada ya Uzamili katika Elimu -PGDE);
  • ‘Academic Trascript’ ya Stashahada, Shahada au Stashahada ya Uzamili katika Elimu-PGDE);
  • Cheti cha Kuzaliwa;
  • Wasifu (CV) unaoonesha majina matatu. Mwombaji ambaye vyeti vyake vya Elimu na Taaluma havina jina la tatu, akamilishe taratibu za kisheria za kuongeza jina la tatu na kuwasilisha kiapo stahiki pamoja na maombi yake.
UTARATIBU WA KUTUMA VYETI NI KAMA IFUATAVYO:-

  1. Mwombaji anatakiwa ‘ku-scan’ vyeti/nyaraka halisi – (Kidato cha 4, 6, Stashahada, Stashahada ya Uzamili na Shahada) na siyo kivuli (photocopy) na kuhifadhi katika ‘File’ moja la ‘pdf’. File lipewe majina matatu ya mwombaji kuanzia la kwanza, kati na la mwisho ndipo litumwe.
  2. Mwombaji atumie anuani ya barua pepe yake mwenyewe na siyo ya mtu mwingine kutuma nyaraka zake.
TANBIHI:

  1. Tarehe ya mwisho kupokea nyaraka ni 30 Machi, 2017.
  2. Barua pepe za kuwasilisha nyaraka za waombaji zitumwe mara moja tu na si kwa kurudia rudia ili kuepuka usumbufu.
  3. Yeyote ambaye vyeti vyake havitahakikiwa hatafikiriwa katika ajira.
  4. Wahitimu ambao waliomba awali mwezi Desemba, 2016 na Januari, 2017 na nyaraka zao ziliwasilishwa kikamilifu na kupokelewa, majina yao yamewekwa kwenye tovuti ya Wizara www.moe.go.tz. Hao wasiwasilishe nyaraka hizo tena.
  5. Tangazo hili haliwahusu wahitimu waliofaulu mtihani mwaka wa masomo 2015/16 baada ya kurudia masomo waliyoshindwa mwaka 2014/15.
  6. Nyaraka zote ziwasilishwe kwa barua pepe ifuatayo: apa@moe.go.tz
IMETOLEWA NA

Tarish M.K.
KATIBU MKUU
10/03/2017
 
Website gani?
wengine nawapata Instagram ila huyu anaenikubari zaidi nmekutana nae facebook tu na tulianza kama friends end of the day tukawa couples tangu mwaka jana mapaka sasa ila wa Tennessee Nina miaka nae minne na nmekula pesa sana vidollar mia mia kawaida sana kunitumia
 
wengine nawapata Instagram ila huyu anaenikubari zaidi nmekutana nae facebook tu na tulianza kama friends end of the day tukawa couples tangu mwaka jana mapaka sasa ila wa Tennessee Nina miaka nae minne na nmekula pesa sana vidollar mia mia kawaida sana kunitumia
Hahaha... kwanini usiwe na vision nao ndefu mkuu kuliko kuendelea kula kula vipesa vya uji. Jichange uwapange ukapate residential permission.
 
Back
Top Bottom