Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ndugu zangu Watanganyika baada ya kuja na Option number one ya Malta sasa ni Option number 2 nia ni kutaka ndugu na jamaa zetu muweze kutimiza ndoto zenu za kutafuta maisha nje ya JPM empire ambako kumeonekana kama mwiba kwa ajira za vijana na maendeleo ya hasa vijana

Baada ya Option ya Malta kuonekana ni ngumu japo sijui ugumu wake ni nini lakini si mbaya kuna Option namba 2 mpaka 3 lakini leo tunaendelea na Option number 2

OPS (Mission)
Mission hii inahusu nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta

Kuhusu USA mm binafsi sipendelei mje US coz siasa za US dhidi ya wageni zimebadilika sana kumekuwa na siasa za utengano dhidi ya wageni

Ok tuendelee nimekuwa karibu na kufanya kazi na taasisi ktk nchi zote nilizozitaja taasisi hzo zinadeal na vijana ktk maswala ya culture exchange ambapo kila mwaka wamekuwa wakichukua vijana kwenda nchi mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni zingine na Lugha pia kubadilishana mawazo kama vijana umri wa vijana ni kuanzia miaka 18-30 vijana wa kiume na wakike sasa ni mm kuongea na taasisi hzo waanze kuleta vijana hao Tanganyika lakini utaratibu ni

1 Wanataka Host wa nchi wanayokwenda so kila kijana anapata Host wa nchi husika kwa ajili ya kumtembeza na kuwa mwenyeji wake

2 Kama unakuwa host wake atakaa kwako kwa kipindi chote ambacho ni kuanzia mwezi 1-3 so atakaa kwako si hotel au nyumba za wageni A.K.A (machinjioni)

3 Kila siku yeye atachangia dola 100 kama mchango wa chakula na malazi

4 Kumtembeza sehemu mbalimbali za ndani ya mkoa mfno DSM lakini akitaka kutoka nje ya dar gharama za wote wawili zitakuwa juu yake na gharama kama za kwenda disco na beach zitakuwa juu yake

5 kuhusu kukaa hata uwe na chumba kimoja ila yawe ni maeneo safe choo kiwe kizuri

MISSION YENYEWE
Kama ni mtoto wa kiume utakaa na mtoto wa kike kama ni wakike utakaa na wakiume lakini wenyewe hawajali.njinsia so kama utapenda kukaa na wajinsia yako pia ni sawa tu cha muhimu ni kutengeneza conection tu


ANGALIZO
Wazungu kitendo cha kulala kitanda kimoja na mtu wa jinsia tofauti kwao si tatizo kubdilisha nguo na kubaki na chupi mbele ya jinsia tofauti pia si jambo gumu kwao so hasije fanya hvyo ukaona kakuzimia au anakutega utakuwa wrong sana

Sasa bhasi kitendo cha mtu kukaa kwako miezi 2 au 3 usipo tengeneza conection naye utakuwa mpumbavu sana na kama utakuwa mjanja unaweza kuanzisha mahusiano ya kimapenzi naye kwani wengi ni vijana wa 18-25 lakini mission ni ww kutengeneza conecton kupitia huyo mgeni kwani mtaendelea kuwasiliana na yeye kukualika kwao ni vyepesi sana so nimekupa nyavu na mtumbwi kuvua samaki ni juu yako akili kumkichwa

CHANGAMOTO
Changamoto kubwa ya hii project ni usalama wa wageni kwani humu tunajuana kwa fake id so kumpa mtoto wa watu mtu ambae umjui ni swala la ujasiri na lenye kuitaji akili ya kuvukia barabara inaitaji ujitoe akili lakini ninauwezo wa kuwasiliana na hizo taasisi kwani tunafanyanazo kazi na kuheshimiana tatizo usalama wa hao wageni na hao unaowakabidhi mgeni huyo unamjua asije mchinja mtoto wa watu usiku dah

Kila mgeni na host mmoja na uhakika ni kupata wageni 20-30 kutoka nchi nilizotaja hapo juu kwa mwaka

Kumbuka wageni ni wakike na wakiume so chance ni kwa dada na wakaka wa Tanganyika

Mnaweza kuwatag member wengine wa thread hii na ambao wameonyesha nia ya kutoka na ambao wana michango yao kwenye thread hii ambao awajachangia achaneni nao



kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike

Mkuu izzo
Mimi moja kwa moja kwenye hoja, nina uzoefu na "hosting". Ni jambo jema sana unalofanya. Kwa kuongezea tu, wenzetu (kutoka nchi za magharibi) ni waaminifu. Tukiwaonesha uaminifu kwa hakika watafanya zaidi kwa ajili yetu.

Kaka ...
 
Shukrani sana izzo , Sikuweza kuquote comment yako ili kuepusha usumbufu kwa member wanaotumia simu,
turudi kwenye topic,
Hata jua litoke mvua inyeshe, lakini unapaswa utambue kuwa una jukumu kubwa sana la kuhakikisha huo mkakati wa hao vijana unakamilika na wanaikanyaga ardhi ya Tanganyika,
Trust me utakuwa shujaa wa kuleta mapinduzi ya kuwakomboa vijana wengi zaidi na pia kuitangaza Nchi yetu,
Labda wewe utuambie unahisi ugumu upo wapi mpaka unasita kuwaleta?
Hebu anza kujadiliana nasi, huenda labda kukaa kwako nje ya nchi kumekukosesha data na kumekufanya uamini labda kuna vikwazo lakini kiualisia hakuna
 
Ndugu zangu Watanganyika baada ya kuja na Option number one ya Malta sasa ni Option number 2 nia ni kutaka ndugu na jamaa zetu muweze kutimiza ndoto zenu za kutafuta maisha nje ya JPM empire ambako kumeonekana kama mwiba kwa ajira za vijana na maendeleo ya hasa vijana

Baada ya Option ya Malta kuonekana ni ngumu japo sijui ugumu wake ni nini lakini si mbaya kuna Option namba 2 mpaka 3 lakini leo tunaendelea na Option number 2

OPS (Mission)
Mission hii inahusu nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta

Kuhusu USA mm binafsi sipendelei mje US coz siasa za US dhidi ya wageni zimebadilika sana kumekuwa na siasa za utengano dhidi ya wageni

Ok tuendelee nimekuwa karibu na kufanya kazi na taasisi ktk nchi zote nilizozitaja taasisi hzo zinadeal na vijana ktk maswala ya culture exchange ambapo kila mwaka wamekuwa wakichukua vijana kwenda nchi mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni zingine na Lugha pia kubadilishana mawazo kama vijana umri wa vijana ni kuanzia miaka 18-30 vijana wa kiume na wakike sasa ni mm kuongea na taasisi hzo waanze kuleta vijana hao Tanganyika lakini utaratibu ni

1 Wanataka Host wa nchi wanayokwenda so kila kijana anapata Host wa nchi husika kwa ajili ya kumtembeza na kuwa mwenyeji wake

2 Kama unakuwa host wake atakaa kwako kwa kipindi chote ambacho ni kuanzia mwezi 1-3 so atakaa kwako si hotel au nyumba za wageni A.K.A (machinjioni)

3 Kila siku yeye atachangia dola 100 kama mchango wa chakula na malazi

4 Kumtembeza sehemu mbalimbali za ndani ya mkoa mfno DSM lakini akitaka kutoka nje ya dar gharama za wote wawili zitakuwa juu yake na gharama kama za kwenda disco na beach zitakuwa juu yake

5 kuhusu kukaa hata uwe na chumba kimoja ila yawe ni maeneo safe choo kiwe kizuri

MISSION YENYEWE
Kama ni mtoto wa kiume utakaa na mtoto wa kike kama ni wakike utakaa na wakiume lakini wenyewe hawajali.njinsia so kama utapenda kukaa na wajinsia yako pia ni sawa tu cha muhimu ni kutengeneza conection tu


ANGALIZO
Wazungu kitendo cha kulala kitanda kimoja na mtu wa jinsia tofauti kwao si tatizo kubdilisha nguo na kubaki na chupi mbele ya jinsia tofauti pia si jambo gumu kwao so hasije fanya hvyo ukaona kakuzimia au anakutega utakuwa wrong sana

Sasa bhasi kitendo cha mtu kukaa kwako miezi 2 au 3 usipo tengeneza conection naye utakuwa mpumbavu sana na kama utakuwa mjanja unaweza kuanzisha mahusiano ya kimapenzi naye kwani wengi ni vijana wa 18-25 lakini mission ni ww kutengeneza conecton kupitia huyo mgeni kwani mtaendelea kuwasiliana na yeye kukualika kwao ni vyepesi sana so nimekupa nyavu na mtumbwi kuvua samaki ni juu yako akili kumkichwa

CHANGAMOTO
Changamoto kubwa ya hii project ni usalama wa wageni kwani humu tunajuana kwa fake id so kumpa mtoto wa watu mtu ambae umjui ni swala la ujasiri na lenye kuitaji akili ya kuvukia barabara inaitaji ujitoe akili lakini ninauwezo wa kuwasiliana na hizo taasisi kwani tunafanyanazo kazi na kuheshimiana tatizo usalama wa hao wageni na hao unaowakabidhi mgeni huyo unamjua asije mchinja mtoto wa watu usiku dah

Kila mgeni na host mmoja na uhakika ni kupata wageni 20-30 kutoka nchi nilizotaja hapo juu kwa mwaka

Kumbuka wageni ni wakike na wakiume so chance ni kwa dada na wakaka wa Tanganyika

Mnaweza kuwatag member wengine wa thread hii na ambao wameonyesha nia ya kutoka na ambao wana michango yao kwenye thread hii ambao awajachangia achaneni nao



kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
mkuu asante kwa kunitag, hii exchange program tulikua nayo chuo kwenye shirika fulani though was not much interested walikua wanakaa kwenye nyumba maalummpk muda waounafika wa kuondoka
Asante kwa kutujuza ila si mbaya kutupa sasa connection Watanganyika tushike fursa even hosting Izz
 
Mkuu izzo
Mimi moja kwa moja kwenye hoja, nina uzoefu na "hosting". Ni jambo jema sana unalofanya. Kwa kuongezea tu, wenzetu (kutoka nchi za magharibi) ni waaminifu. Tukiwaonesha uaminifu kwa hakika watafanya zaidi kwa ajili yetu.

Kaka ...
Tupe uzoefu wako mkuu ili tukupigie makofi wish tutanufaika wengi nataraji nondo za maana kutoka kwako.
 
Shukrani sana izzo , Sikuweza kuquote comment yako ili kuepusha usumbufu kwa member wanaotumia simu,
turudi kwenye topic,
Hata jua litoke mvua inyeshe, lakini unapaswa utambue kuwa una jukumu kubwa sana la kuhakikisha huo mkakati wa hao vijana unakamilika na wanaikanyaga ardhi ya Tanganyika,
Trust me utakuwa shujaa wa kuleta mapinduzi ya kuwakomboa vijana wengi zaidi na pia kuitangaza Nchi yetu,
Labda wewe utuambie unahisi ugumu upo wapi mpaka unasita kuwaleta?
Hebu anza kujadiliana nasi, huenda labda kukaa kwako nje ya nchi kumekukosesha data na kumekufanya uamini labda kuna vikwazo lakini kiualisia hakuna
Siku zote huwa nakukubali sana mkuu...atwambie kweli wasiwasi wake ukowapi sisi tumejidhatiti bwana hatutamwangusha kwa upepo huu sizani kama kuna mtu atachezea bahati.
 
twasubiri kwa hamu sana mkuu lusungo
Ni hivi kuna mtandao wa kutafuta hosts duniani..

Huu mtandao ni rahisi zaidi kukutanisha na hosts mbalimbali duniani kote...

Kuupata ni rahisi kama unatumia ios au android tafuta hiyo program inaitwa COUCHSURFING hii ni msaada mkubwa mno kukukutanisha na marafiki.

Daby izzo @Dr.adamsfaida Richard etc
 
Siku zote huwa nakukubali sana mkuu...atwambie kweli wasiwasi wake ukowapi sisi tumejidhatiti bwana hatutamwangusha kwa upepo huu sizani kama kuna mtu atachezea bahati.
point ya izzo nmeielewa unajua.ye ndo.anatake risk kubwa aisee anaweza tokea cnn(fake news) koz hatujuani humu kama alivyosrma.......ila kila kitu kina solution nadhan anaweza tupanga vijana tukaanzisha hata chama cha kuvolunteer taking care of this people which is.legal na inasaidia hata kulegalize hii makitu...asije mzungu akaamka usiku akakuta mwamba anaforce game dushelele limesimama[emoji1] [emoji1] ps mi nilipata bahati ya kutembelea amsterdam na "delft" kama miezi mitatu mwaka juzi dah maisha yakanishinda aisee...niliona ela yake ngumu af nkaona kama mtu ukiwa na career waweza tafuta bongo ukala gtyme mbele kama una rafiki.....koz mifano tunaiona ndugu zetu majority wanakaa hadi miaka kumi wakirudi wanarudi nyumba za wazazi hata family hawana...maybe thats just my opinion ila nmeipenda.hii mada na mengi yalioandikwa ni kwrli tupu
 
Ndugu zangu watoa ushauri tunawashukuru saana. Binafsi nimefarijika kuwaona mpo nasi hapa kutusaidia namna ya kupenya. Asanteni kwa hilo lusungo izzo na wengineo. Niseme tu kwa maelezo yenu kutoka nje na kufanikiwa kupata paper sio kazi nyepesi kama wengi tulivyokuwa tunategemea au tulivyoaminishwa na maagent tuliokutana nao. Labda walitaka tuwape pesa then turudishwe airport turudi bongo tuendeleze hii hali ngumu.

Najua bado mnaendelea kutushauri njia za kupita ila naomba nitoe changamoto zinazotugharimu sisi kama wahitaji msaada. Binafsi ningeshakuwa Scandinavia siku nyingi maana mipango nilianza kitambo since 2015. Lakini nilikosa miongozo nilijua ni sawa na kwenda kenya tu maana nimekaa kaa kenya. Ok Nikianza na njia ya kwanza ya izzo ya malta changamoto zake hizi hapa kwa sisi waendaji....

1. Kupata host agent wa kuaminika. Kama mnavyojua kuna maagent wazinguaji kama kina britanicca binafsi alitaka kunipiga nikamgundua mapema. Maagent tunaokutana nao wanamilolongo mingi hawapo serious hasa wa bongo. Laiti kama tungewapata maagent watushughulikie visa na sehemu ya kufikia kwa muda hukk nchini malta tungejilipua hata kuanzia kesho au kesho kutwa. Lakini maagent wengi ni wa Asia countries kama oman, Qatar, dubai n.k

2. Ni namna ya kupata visa na namna ya kuendelea kuishi ukishafika nchi ya watu. Kama mnavyojua visa zinataratibu zake za kuipata. Na rahisi ni tourist kwa malta kwa mtu kama mim niliye na passport tu. unakuta unayo passport na vipesa vyako vipo mkononi. Suala linakuja sasa je uombe visa ya tourist ama! Na ukishaipata ukifika malta utumie mbinu gani kuishi maana visa ikiisha utaishi maisha ya shida ya kukimbizana na polisi na hatimaye utarudishwa kama izzo alivyosema. Tukija kwenye mtu wa kukuinvite.. huko malta unakuta hauna mtu na ukisema ukae hotelini au upange huku ukiwa na tourist visa mpaka umalize miezi si utakuwa unatumia kiasi kikubwa cha pesa ambacho kitashindikana kukimudu ukitegemea haufanyi kazi maana aina ya visa haikuruhusu! Binafsi hii ni changamoto maana njia ya malta Nimeipenda saana. Hapa mtu ukipata invitation inakuwa ni rahisi kidogo. Na bado akikuinvite muda si utaisha? Je paper zitapatikanaje?

3. Kuna suala lingine hili la ndoa au uchumba mmeliongea saana lakini sio simple brethren kihivyo. Online dating ni kazi saana hata mtu wa nje kukujibu text au call yako ni kazi. Sometimes ni kubahatisha. Je na visa yake ipoje inahitaji criteria gani? ni mbinu gani zingine kuwakamata hawa watu? Kwenda na tourist visa ukiwa na lengo la kuhook kwa lifemate ya visa yako? Je ukikosa! Ingawa kwenye kutafuta tunatake risk ila tunatakiwa kujiuliza hayo maswali. Ukikosa kwa huo muda si itakuwa ni kazi bure! !.

Halafu izzo naomba utoe ufafanuzi juu ya hiyo visa ya uchumba. Inapatikana kupitia criteria zipi.
 
Ni hivi kuna mtandao wa kutafuta hosts duniani..

Huu mtandao ni rahisi zaidi kukutanisha na hosts mbalimbali duniani kote...

Kuupata ni rahisi kama unatumia ios au android tafuta hiyo program inaitwa COUCHSURFING hii ni msaada mkubwa mno kukukutanisha na marafiki.

Daby izzo @Dr.adamsfaida Richard etc
asante mkuu, asante sana ngoja nichungulie nione hii fursa mkuu lusungo ngo
 
mawazo constructive mkuu Daby ngoja nikunje miguu hapa nisubiri ideas
Ndugu zangu watoa ushauri tunawashukuru saana. Binafsi nimefarijika kuwaona mpo nasi hapa kutusaidia namna ya kupenya. Asanteni kwa hilo lusungo izzo na wengineo. Niseme tu kwa maelezo yenu kutoka nje na kufanikiwa kupata paper sio kazi nyepesi kama wengi tulivyokuwa tunategemea au tulivyoaminishwa na maagent tuliokutana nao. Labda walitaka tuwape pesa then turudishwe airport turudi bongo tuendeleze hii hali ngumu.

Najua bado mnaendelea kutushauri njia za kupita ila naomba nitoe changamoto zinazotugharimu sisi kama wahitaji msaada. Binafsi ningeshakuwa Scandinavia siku nyingi maana mipango nilianza kitambo since 2015. Lakini nilikosa miongozo nilijua ni sawa na kwenda kenya tu maana nimekaa kaa kenya. Ok Nikianza na njia ya kwanza ya izzo ya malta changamoto zake hizi hapa kwa sisi waendaji....

1. Kupata host agent wa kuaminika. Kama mnavyojua kuna maagent wazinguaji kama kina britanicca binafsi alitaka kunipiga nikamgundua mapema. Maagent tunaokutana nao wanamilolongo mingi hawapo serious hasa wa bongo. Laiti kama tungewapata maagent watushughulikie visa na sehemu ya kufikia kwa muda hukk nchini malta tungejilipua hata kuanzia kesho au kesho kutwa. Lakini maagent wengi ni wa Asia countries kama oman, Qatar, dubai n.k

2. Ni namna ya kupata visa na namna ya kuendelea kuishi ukishafika nchi ya watu. Kama mnavyojua visa zinataratibu zake za kuipata. Na rahisi ni tourist kwa malta kwa mtu kama mim niliye na passport tu. unakuta unayo passport na vipesa vyako vipo mkononi. Suala linakuja sasa je uombe visa ya tourist ama! Na ukishaipata ukifika malta utumie mbinu gani kuishi maana visa ikiisha utaishi maisha ya shida ya kukimbizana na polisi na hatimaye utarudishwa kama izzo alivyosema. Tukija kwenye mtu wa kukuinvite.. huko malta unakuta hauna mtu na ukisema ukae hotelini au upange huku ukiwa na tourist visa mpaka umalize miezi si utakuwa unatumia kiasi kikubwa cha pesa ambacho kitashindikana kukimudu ukitegemea haufanyi kazi maana aina ya visa haikuruhusu! Binafsi hii ni changamoto maana njia ya malta Nimeipenda saana. Hapa mtu ukipata invitation inakuwa ni rahisi kidogo. Na bado akikuinvite muda si utaisha? Je paper zitapatikanaje?

3. Kuna suala lingine hili la ndoa au uchumba mmeliongea saana lakini sio simple brethren kihivyo. Online dating ni kazi saana hata mtu wa nje kukujibu text au call yako ni kazi. Sometimes ni kubahatisha. Je na visa yake ipoje inahitaji criteria gani? ni mbinu gani zingine kuwakamata hawa watu? Kwenda na tourist visa ukiwa na lengo la kuhook kwa lifemate ya visa yako? Je ukikosa! Ingawa kwenye kutafuta tunatake risk ila tunatakiwa kujiuliza hayo maswali. Ukikosa kwa huo muda si itakuwa ni kazi bure! !.

Halafu izzo naomba utoe ufafanuzi juu ya hiyo visa ya uchumba. Inapatikana kupitia criteria zipi.
 
Ndugu zangu Watanganyika baada ya kuja na Option number one ya Malta sasa ni Option number 2 nia ni kutaka ndugu na jamaa zetu muweze kutimiza ndoto zenu za kutafuta maisha nje ya JPM empire ambako kumeonekana kama mwiba kwa ajira za vijana na maendeleo ya hasa vijana

Baada ya Option ya Malta kuonekana ni ngumu japo sijui ugumu wake ni nini lakini si mbaya kuna Option namba 2 mpaka 3 lakini leo tunaendelea na Option number 2

OPS (Mission)
Mission hii inahusu nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta

Kuhusu USA mm binafsi sipendelei mje US coz siasa za US dhidi ya wageni zimebadilika sana kumekuwa na siasa za utengano dhidi ya wageni

Ok tuendelee nimekuwa karibu na kufanya kazi na taasisi ktk nchi zote nilizozitaja taasisi hzo zinadeal na vijana ktk maswala ya culture exchange ambapo kila mwaka wamekuwa wakichukua vijana kwenda nchi mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni zingine na Lugha pia kubadilishana mawazo kama vijana umri wa vijana ni kuanzia miaka 18-30 vijana wa kiume na wakike sasa ni mm kuongea na taasisi hzo waanze kuleta vijana hao Tanganyika lakini utaratibu ni

1 Wanataka Host wa nchi wanayokwenda so kila kijana anapata Host wa nchi husika kwa ajili ya kumtembeza na kuwa mwenyeji wake

2 Kama unakuwa host wake atakaa kwako kwa kipindi chote ambacho ni kuanzia mwezi 1-3 so atakaa kwako si hotel au nyumba za wageni A.K.A (machinjioni)

3 Kila siku yeye atachangia dola 100 kama mchango wa chakula na malazi

4 Kumtembeza sehemu mbalimbali za ndani ya mkoa mfno DSM lakini akitaka kutoka nje ya dar gharama za wote wawili zitakuwa juu yake na gharama kama za kwenda disco na beach zitakuwa juu yake

5 kuhusu kukaa hata uwe na chumba kimoja ila yawe ni maeneo safe choo kiwe kizuri

MISSION YENYEWE
Kama ni mtoto wa kiume utakaa na mtoto wa kike kama ni wakike utakaa na wakiume lakini wenyewe hawajali.njinsia so kama utapenda kukaa na wajinsia yako pia ni sawa tu cha muhimu ni kutengeneza conection tu


ANGALIZO
Wazungu kitendo cha kulala kitanda kimoja na mtu wa jinsia tofauti kwao si tatizo kubdilisha nguo na kubaki na chupi mbele ya jinsia tofauti pia si jambo gumu kwao so hasije fanya hvyo ukaona kakuzimia au anakutega utakuwa wrong sana

Sasa bhasi kitendo cha mtu kukaa kwako miezi 2 au 3 usipo tengeneza conection naye utakuwa mpumbavu sana na kama utakuwa mjanja unaweza kuanzisha mahusiano ya kimapenzi naye kwani wengi ni vijana wa 18-25 lakini mission ni ww kutengeneza conecton kupitia huyo mgeni kwani mtaendelea kuwasiliana na yeye kukualika kwao ni vyepesi sana so nimekupa nyavu na mtumbwi kuvua samaki ni juu yako akili kumkichwa

CHANGAMOTO
Changamoto kubwa ya hii project ni usalama wa wageni kwani humu tunajuana kwa fake id so kumpa mtoto wa watu mtu ambae umjui ni swala la ujasiri na lenye kuitaji akili ya kuvukia barabara inaitaji ujitoe akili lakini ninauwezo wa kuwasiliana na hizo taasisi kwani tunafanyanazo kazi na kuheshimiana tatizo usalama wa hao wageni na hao unaowakabidhi mgeni huyo unamjua asije mchinja mtoto wa watu usiku dah

Kila mgeni na host mmoja na uhakika ni kupata wageni 20-30 kutoka nchi nilizotaja hapo juu kwa mwaka

Kumbuka wageni ni wakike na wakiume so chance ni kwa dada na wakaka wa Tanganyika

Mnaweza kuwatag member wengine wa thread hii na ambao wameonyesha nia ya kutoka na ambao wana michango yao kwenye thread hii ambao awajachangia achaneni nao



kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike

Hii option nzuri[emoji122]
 
Ndugu zangu watoa ushauri tunawashukuru saana. Binafsi nimefarijika kuwaona mpo nasi hapa kutusaidia namna ya kupenya. Asanteni kwa hilo lusungo izzo na wengineo. Niseme tu kwa maelezo yenu kutoka nje na kufanikiwa kupata paper sio kazi nyepesi kama wengi tulivyokuwa tunategemea au tulivyoaminishwa na maagent tuliokutana nao. Labda walitaka tuwape pesa then turudishwe airport turudi bongo tuendeleze hii hali ngumu.

Najua bado mnaendelea kutushauri njia za kupita ila naomba nitoe changamoto zinazotugharimu sisi kama wahitaji msaada. Binafsi ningeshakuwa Scandinavia siku nyingi maana mipango nilianza kitambo since 2015. Lakini nilikosa miongozo nilijua ni sawa na kwenda kenya tu maana nimekaa kaa kenya. Ok Nikianza na njia ya kwanza ya izzo ya malta changamoto zake hizi hapa kwa sisi waendaji....

1. Kupata host agent wa kuaminika. Kama mnavyojua kuna maagent wazinguaji kama kina britanicca binafsi alitaka kunipiga nikamgundua mapema. Maagent tunaokutana nao wanamilolongo mingi hawapo serious hasa wa bongo. Laiti kama tungewapata maagent watushughulikie visa na sehemu ya kufikia kwa muda hukk nchini malta tungejilipua hata kuanzia kesho au kesho kutwa. Lakini maagent wengi ni wa Asia countries kama oman, Qatar, dubai n.k

2. Ni namna ya kupata visa na namna ya kuendelea kuishi ukishafika nchi ya watu. Kama mnavyojua visa zinataratibu zake za kuipata. Na rahisi ni tourist kwa malta kwa mtu kama mim niliye na passport tu. unakuta unayo passport na vipesa vyako vipo mkononi. Suala linakuja sasa je uombe visa ya tourist ama! Na ukishaipata ukifika malta utumie mbinu gani kuishi maana visa ikiisha utaishi maisha ya shida ya kukimbizana na polisi na hatimaye utarudishwa kama izzo alivyosema. Tukija kwenye mtu wa kukuinvite.. huko malta unakuta hauna mtu na ukisema ukae hotelini au upange huku ukiwa na tourist visa mpaka umalize miezi si utakuwa unatumia kiasi kikubwa cha pesa ambacho kitashindikana kukimudu ukitegemea haufanyi kazi maana aina ya visa haikuruhusu! Binafsi hii ni changamoto maana njia ya malta Nimeipenda saana. Hapa mtu ukipata invitation inakuwa ni rahisi kidogo. Na bado akikuinvite muda si utaisha? Je paper zitapatikanaje?

3. Kuna suala lingine hili la ndoa au uchumba mmeliongea saana lakini sio simple brethren kihivyo. Online dating ni kazi saana hata mtu wa nje kukujibu text au call yako ni kazi. Sometimes ni kubahatisha. Je na visa yake ipoje inahitaji criteria gani? ni mbinu gani zingine kuwakamata hawa watu? Kwenda na tourist visa ukiwa na lengo la kuhook kwa lifemate ya visa yako? Je ukikosa! Ingawa kwenye kutafuta tunatake risk ila tunatakiwa kujiuliza hayo maswali. Ukikosa kwa huo muda si itakuwa ni kazi bure! !.

Halafu izzo naomba utoe ufafanuzi juu ya hiyo visa ya uchumba. Inapatikana kupitia criteria zipi.
Ngoja niweke kigoda chini...mkuu izzo njoo tunakusubiri
 
Ndugu zangu watoa ushauri tunawashukuru saana. Binafsi nimefarijika kuwaona mpo nasi hapa kutusaidia namna ya kupenya. Asanteni kwa hilo lusungo izzo na wengineo. Niseme tu kwa maelezo yenu kutoka nje na kufanikiwa kupata paper sio kazi nyepesi kama wengi tulivyokuwa tunategemea au tulivyoaminishwa na maagent tuliokutana nao. Labda walitaka tuwape pesa then turudishwe airport turudi bongo tuendeleze hii hali ngumu.

Najua bado mnaendelea kutushauri njia za kupita ila naomba nitoe changamoto zinazotugharimu sisi kama wahitaji msaada. Binafsi ningeshakuwa Scandinavia siku nyingi maana mipango nilianza kitambo since 2015. Lakini nilikosa miongozo nilijua ni sawa na kwenda kenya tu maana nimekaa kaa kenya. Ok Nikianza na njia ya kwanza ya izzo ya malta changamoto zake hizi hapa kwa sisi waendaji....

1. Kupata host agent wa kuaminika. Kama mnavyojua kuna maagent wazinguaji kama kina britanicca binafsi alitaka kunipiga nikamgundua mapema. Maagent tunaokutana nao wanamilolongo mingi hawapo serious hasa wa bongo. Laiti kama tungewapata maagent watushughulikie visa na sehemu ya kufikia kwa muda hukk nchini malta tungejilipua hata kuanzia kesho au kesho kutwa. Lakini maagent wengi ni wa Asia countries kama oman, Qatar, dubai n.k

2. Ni namna ya kupata visa na namna ya kuendelea kuishi ukishafika nchi ya watu. Kama mnavyojua visa zinataratibu zake za kuipata. Na rahisi ni tourist kwa malta kwa mtu kama mim niliye na passport tu. unakuta unayo passport na vipesa vyako vipo mkononi. Suala linakuja sasa je uombe visa ya tourist ama! Na ukishaipata ukifika malta utumie mbinu gani kuishi maana visa ikiisha utaishi maisha ya shida ya kukimbizana na polisi na hatimaye utarudishwa kama izzo alivyosema. Tukija kwenye mtu wa kukuinvite.. huko malta unakuta hauna mtu na ukisema ukae hotelini au upange huku ukiwa na tourist visa mpaka umalize miezi si utakuwa unatumia kiasi kikubwa cha pesa ambacho kitashindikana kukimudu ukitegemea haufanyi kazi maana aina ya visa haikuruhusu! Binafsi hii ni changamoto maana njia ya malta Nimeipenda saana. Hapa mtu ukipata invitation inakuwa ni rahisi kidogo. Na bado akikuinvite muda si utaisha? Je paper zitapatikanaje?

3. Kuna suala lingine hili la ndoa au uchumba mmeliongea saana lakini sio simple brethren kihivyo. Online dating ni kazi saana hata mtu wa nje kukujibu text au call yako ni kazi. Sometimes ni kubahatisha. Je na visa yake ipoje inahitaji criteria gani? ni mbinu gani zingine kuwakamata hawa watu? Kwenda na tourist visa ukiwa na lengo la kuhook kwa lifemate ya visa yako? Je ukikosa! Ingawa kwenye kutafuta tunatake risk ila tunatakiwa kujiuliza hayo maswali. Ukikosa kwa huo muda si itakuwa ni kazi bure! !.

Halafu izzo naomba utoe ufafanuzi juu ya hiyo visa ya uchumba. Inapatikana kupitia criteria zipi.
Mkuu daby suala zima la hosting usihangaike na madalali.... Pakua app ya couchsurfing utapata hosts wengi mno mno kwa nchi yoyote upendayo... Kisha anza urafiki na mahojiano... Hao watakusaidia sana!!
 
Kujibu swali lako kwa ufupi kwani hapa tumekuwa na Mission na Vision Mission ni kwenda kusaidia ndugu zetu Watanganyika kuja kutafuta maisha nje ya JPM empire so starting point ni nchi ya Malta tukaanza na Option number 1 now ni option number 2


Kujibu swali lako kama nilivyosema nimekuwa na ushirikiano na taasisi za vijana katika nchi hzo yani Nonproft org ambazo wao wanafanya kitu kinaitwa culture exchange ambapo wanachukua vijana kwenda sehemu mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni na lugha za nchi mbalimbali duniani lakini hawajawai kuja Tanganyika so ninauwezo wa kuongea nao na kuwashawishi juu ya kuleta vijana Tanganyika lakini vigezo ni vile nilivyovitaja

Wanakuja kwa mafungu mafungu kwani wengine wanakwenda nchi nyingine so wanaweza kuja 5 then wakaja tena 6 lakini kwa mwaka wanaweza fika 20-30 huku Tanganyika lazima kuwepo na mtu ambae atawapokea na kuwapeleka kwa hao host kila host mgeni mmoja mmoja sema sasa project hii inachangamoto kama nilivyosema kwenye bandiko hapo juu

Mkuu izzo

Mimi niko tayari kuwa-host

Kaka ...
 
Back
Top Bottom