farharu
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 527
- 583
Pamoja mkuuAmeen,kila la kheri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mkuuAmeen,kila la kheri mkuu
Hongera sana.!msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
Good segito.msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
kweli kabisaHizo gharama alizoweka hapo ni kubwa mno....
Kwema lakini mkuuMkuu segito anaishi south Africa
Nakuaminia Segito... Nafurahi sana ninavyokuona kule kwenye nyuzi mbalimbali unavyosaidia watu.... Ubarikiwe....msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
Axnte xana mkuu,tunataka watu wnye moyo kama wewe ili kusaidiana,na mtu unamweleza ukwel nin kinahitajka kushare kabla hajaanza xafar!!msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
[emoji121]wanaotaka kuzamia sauz,karibuni capetown.mje na hela ya kuchangia geto kama laki moja na nusu kwa miez mitatu,hela ya kula kama laki na nusu pia.msibebe cash.weka ktk tembocard kama laki tano.utakaa poa kwa miez mitatu.mimi nitawasaidia kuwapa watu wa kujichanga nao.msosi ni ugali na chicken shushia na kingsley cola baridiii.nadhan ndan ya miez mitatu utakua umeshakua mwenyeji.msiogope kitu.kwa maswali naomba uliza hapa not pm.
Mkuu hata mimi nalikuwa naiwazia sana hii nchi japo siijui vyema British virgins island pesa yake inathamani gani?Nmefuatilia kwa makini huu uzi... . Maoni yangu n kwann tusiende zile nchi za free viza.. nmependa nchi moja inaitwa British virgins island... nime Google iko poa sana... economic n political... kuliko kuhangaika na nchi ngumu kuingia me nashauri twende nchii hii.. afu ni rahis kwenda UK.. Ukishazama UK ni rahis kwenda Ireland.. then nirahis kwenda *Luxembourg* .. hii Nchi n Bora kbsaaa Ulimwenguni.. Luxembourg bonge la Nchi nzur sanaa hii..
Ubarike sana.wanaotaka kuzamia sauz,karibuni capetown.mje na hela ya kuchangia geto kama laki moja na nusu kwa miez mitatu,hela ya kula kama laki na nusu pia.msibebe cash.weka ktk tembocard kama laki tano.utakaa poa kwa miez mitatu.mimi nitawasaidia kuwapa watu wa kujichanga nao.msosi ni ugali na chicken shushia na kingsley cola baridiii.nadhan ndan ya miez mitatu utakua umeshakua mwenyeji.msiogope kitu.kwa maswali naomba uliza hapa not pm.
Mkuu hata mimi nalikuwa naiwazia sana hii nchi japo siijui vyema British virgins island pesa yake inathamani gani?
Pia swala la ajira likoje nchini?
Tangu uzi huu umeanza sijaona mdau yoyote akiizungumzia kabisa.
Asante saana mkuu kwa ushauri mzuriMutasha Hongera Mkuu.
Kabla hujaenda nchi husika Tafadhali GOOGLE
Kuhusu hiyo nchi.Visa NI kiasi gani? Je ziko hostel Au wanaziita (backpakers) ambazo NI rahisi mnakuwa Watu watano Au zaidi bei NI ndogo Au unaweza ukalipia kulala Na chakula Kwa kufanya kazi Ktk hiyo hostel.
Ukifika nchi husika swali la kwanza Toka kwa Askari wa uhamiaji "Nini Madhumuni yako kuja hapa" kumbuka ume kwisha i Google hiyo nchi
Mfano utalii Au historia ya mtu maarufu .
Muhimu uwe umebook hotel Au hostel.
Usiseme unakiasi gani cha pesa Lakini lazima uwe na$$$$$ Na kama unayo kadi ya bank ambayo unaweza kutoa pesa Ktk hiyo nchi husika itakusaidia.
Yes mkuu nipo dar. ni pmmkuu naomba tuonane in case upo Dar
Asante saana mkuu kwa ushauri mzuri
Mkuu huko ndo pakwenda kabisa.Dr.adams
British Virgin Islands NI visiwa vinne uko
merekani ya kati.Wanatumia US$.Uchumi wao mkubwa NI mabank Na usajili wa meli za nchi nyingi pamoja Na utalii.Passport ya Tanzania unapata visa ya siku 30 ukiwasili airport.
Tupia macho kidogoMkuu huko ndo pakwenda kabisa.
Pamenishawishi sana Daby vipi twende huko ama?