Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

wanaotaka kuzamia sauz,karibuni capetown.mje na hela ya kuchangia geto kama laki moja na nusu kwa miez mitatu,hela ya kula kama laki na nusu pia.msibebe cash.weka ktk tembocard kama laki tano.utakaa poa kwa miez mitatu.mimi nitawasaidia kuwapa watu wa kujichanga nao.msosi ni ugali na chicken shushia na kingsley cola baridiii.nadhan ndan ya miez mitatu utakua umeshakua mwenyeji.msiogope kitu.kwa maswali naomba uliza hapa not pm.
 
msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
 
msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
Hongera sana.!
 
msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
Good segito.

Unaelekea wapi kwasasa
 
msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
Nakuaminia Segito... Nafurahi sana ninavyokuona kule kwenye nyuzi mbalimbali unavyosaidia watu.... Ubarikiwe....
 
msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.
Axnte xana mkuu,tunataka watu wnye moyo kama wewe ili kusaidiana,na mtu unamweleza ukwel nin kinahitajka kushare kabla hajaanza xafar!!

Jaman wale wanaota ndoto za kwa madiba fursa nyngne imefunguka.

Much respect to you
 
wanaotaka kuzamia sauz,karibuni capetown.mje na hela ya kuchangia geto kama laki moja na nusu kwa miez mitatu,hela ya kula kama laki na nusu pia.msibebe cash.weka ktk tembocard kama laki tano.utakaa poa kwa miez mitatu.mimi nitawasaidia kuwapa watu wa kujichanga nao.msosi ni ugali na chicken shushia na kingsley cola baridiii.nadhan ndan ya miez mitatu utakua umeshakua mwenyeji.msiogope kitu.kwa maswali naomba uliza hapa not pm.
[emoji121]
WAKUU,

SAMAHANI KIDOGO,
WALA SI KWA NIA MBAYA ILA NI VEMA KUULIZA.

HIKI KIPENGELE CHA KUPEANA WATU WA KUCHANGIA GHETTO HICHO "HAPIGWI" MTU HAPO HADI AKARUDI BONGO KWA MIGUU KUPITIA BODA YA MSUMBIJI,
AKATOKEA MTAMBASWALA MTWARA??

NAULIZA TU WAKUU KUHUSU MIRADI YA UDUFUAJI HAPO!
[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
Nmefuatilia kwa makini huu uzi... . Maoni yangu n kwann tusiende zile nchi za free viza.. nmependa nchi moja inaitwa British virgins island... nime Google iko poa sana... economic n political... kuliko kuhangaika na nchi ngumu kuingia me nashauri twende nchii hii.. afu ni rahis kwenda UK.. Ukishazama UK ni rahis kwenda Ireland.. then nirahis kwenda *Luxembourg* .. hii Nchi n Bora kbsaaa Ulimwenguni.. Luxembourg bonge la Nchi nzur sanaa hii..
Mkuu hata mimi nalikuwa naiwazia sana hii nchi japo siijui vyema British virgins island pesa yake inathamani gani?
Pia swala la ajira likoje nchini?
Tangu uzi huu umeanza sijaona mdau yoyote akiizungumzia kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
wanaotaka kuzamia sauz,karibuni capetown.mje na hela ya kuchangia geto kama laki moja na nusu kwa miez mitatu,hela ya kula kama laki na nusu pia.msibebe cash.weka ktk tembocard kama laki tano.utakaa poa kwa miez mitatu.mimi nitawasaidia kuwapa watu wa kujichanga nao.msosi ni ugali na chicken shushia na kingsley cola baridiii.nadhan ndan ya miez mitatu utakua umeshakua mwenyeji.msiogope kitu.kwa maswali naomba uliza hapa not pm.
Ubarike sana.

Vp ukitaka kuanzisha biashara ya barber shop sehemu iliyochangamka kibiashara.

Unatakiwa na capital kiasi gani.

Barikiwa sana.

- Chindo -
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
="segito wa kalenga, post: 20340494, member: 243378"]msiogope wala msikatishwe tamaa na wanga waliojaa humu ndani.kama una nia thabit njoo utafute maisha kwenye nchi za watu utatoka.mimi mtoto wa kike nilianza kwa trump kisha ndio nikadondoka sauz.huwez amini nimeosha kuanzia magari mpaka maiti.hakuna kazi nilioacha ikanipita kama inaingiza hela.tokeni bongo.hakuna ishu zaidi ya kupiga mizinga na kungojea ugali wa shkamoo.muda si mrefu nitahama nchi ila napenda niwasaidie wataopenda kabla sijaondoka.tokeni bongo mfunguke akili.[/QUOTE]
hongera malkia wa nguvu ,,maisha Ni kujaribu nani popote thumb up ,,,,
 
Mkuu hata mimi nalikuwa naiwazia sana hii nchi japo siijui vyema British virgins island pesa yake inathamani gani?
Pia swala la ajira likoje nchini?
Tangu uzi huu umeanza sijaona mdau yoyote akiizungumzia kabisa.

Dr.adams
British Virgin Islands NI visiwa vinne uko
merekani ya kati.Wanatumia US$.Uchumi wao mkubwa NI mabank Na usajili wa meli za nchi nyingi pamoja Na utalii.Passport ya Tanzania unapata visa ya siku 30 ukiwasili airport.
 
Mutasha Hongera Mkuu.
Kabla hujaenda nchi husika Tafadhali GOOGLE
Kuhusu hiyo nchi.Visa NI kiasi gani? Je ziko hostel Au wanaziita (backpakers) ambazo NI rahisi mnakuwa Watu watano Au zaidi bei NI ndogo Au unaweza ukalipia kulala Na chakula Kwa kufanya kazi Ktk hiyo hostel.
Ukifika nchi husika swali la kwanza Toka kwa Askari wa uhamiaji "Nini Madhumuni yako kuja hapa" kumbuka ume kwisha i Google hiyo nchi
Mfano utalii Au historia ya mtu maarufu .
Muhimu uwe umebook hotel Au hostel.
Usiseme unakiasi gani cha pesa Lakini lazima uwe na$$$$$ Na kama unayo kadi ya bank ambayo unaweza kutoa pesa Ktk hiyo nchi husika itakusaidia.
Asante saana mkuu kwa ushauri mzuri
 
Dr.adams
British Virgin Islands NI visiwa vinne uko
merekani ya kati.Wanatumia US$.Uchumi wao mkubwa NI mabank Na usajili wa meli za nchi nyingi pamoja Na utalii.Passport ya Tanzania unapata visa ya siku 30 ukiwasili airport.
Mkuu huko ndo pakwenda kabisa.
Pamenishawishi sana Daby vipi twende huko ama?
 
Back
Top Bottom