festo lupembe
Member
- Sep 27, 2018
- 32
- 30
Mkuu tuliza akili afu jitathimini upya na njia utumiazo kuingia kwenye mahusianohuwa natamani sana maisha falani ya kuishi na familia lakini sijapata mwanamke alietuli na anaejua samani ya mwanaume kila ninaempata huwa hajatulia kutwa humufumania na wanaume hunitoloka kwenda disco ndani ya nyumba maelewano hakuna wezangu wanatumia njia gani ya kupata mwanamke alietulia na anaejua maisha naumia sana sijui nisihangaike na wanawake nitulie tuu
Utakua unachukua watoto wa 18-27 ndio wasumbufu,hawajielewi.huwa natamani sana maisha falani ya kuishi na familia lakini sijapata mwanamke alietuli na anaejua samani ya mwanaume kila ninaempata huwa hajatulia kutwa humufumania na wanaume hunitoloka kwenda disco ndani ya nyumba maelewano hakuna wezangu wanatumia njia gani ya kupata mwanamke alietulia na anaejua maisha naumia sana sijui nisihangaike na wanawake nitulie tuu
Daah kweliMkuu tuliza akili afu jitathimini upya na njia utumiazo kuingia kwenye mahusiano
Kwahiyo nibadilishe muelekeoUtakua unachukua watoto wa 18-27 ndio wasumbufu,hawajielewi.
Tafuta wanaojielewa hautojuta hao VIchenchede watakusumbua Sana ni PASUA kichwa hawatulii hata UPAKE CONGO POWDER.Kwahiyo nibadilishe muelekeo
Daah mkuu ngoja nami nijalibu kufanya hivyo labda nitafanikiwaNilikuwa napenda kutalii sana hasa maeneo ya vyuo,kwenda kwenye matamasha,hija,maporomoko ya maji,n.k na nilikuwa nikimpenda mtu namwambia ukweli,kuwa natafuta mke sitafuti mchumba....baada ya hapo kila mmoja anajifunza kwa mwenzake katka hali ya win/win,sasa hivi niko naye mwaka wa kumi na watoto juu na ukituona utafikiri ndio tumekutana jana
Sawa mkuuTafuta wanaojielewa hautojuta hao VIchenchede watakusumbua Sana ni PASUA kichwa hawatulii hata UPAKE CONGO POWDER.
Tafuta mwanamke ambae anaweza kufanya kitu kikaonekana au anaeweza kukushauri kuhusu maisha, achana na mwanamke ambae hawazi kuhusu kesho, pia tafuta mwanamke aliepitia maisha yaani umri wako na wake usipishane sana Hapo mnaweza mkakaa ndani mkapanga kitu na mkaelewana, kingine usiende bar au kuokota mwanamke barabarani kisa kavaa sketi ukasema ni mwanamke chunguza chimbuko lake na ulizia majirani na marafiki nyendo za mwanamke Huyo Hapo utapata information zake kama anamwelekeohuwa natamani sana maisha falani ya kuishi na familia lakini sijapata mwanamke alietuli na anaejua samani ya mwanaume kila ninaempata huwa hajatulia kutwa humufumania na wanaume hunitoloka kwenda disco ndani ya nyumba maelewano hakuna wezangu wanatumia njia gani ya kupata mwanamke alietulia na anaejua maisha naumia sana sijui nisihangaike na wanawake nitulie tuu
Sawa mkuu nitafanya hivyoTafuta mwanamke ambae anaweza kufanya kitu kikaonekana au anaeweza kukushauri kuhusu maisha, achana na mwanamke ambae hawazi kuhusu kesho, pia tafuta mwanamke aliepitia maisha yaani umri wako na wake usipishane sana Hapo mnaweza mkakaa ndani mkapanga kitu na mkaelewana, kingine usiende bar au kuokota mwanamke barabarani kisa kavaa sketi ukasema ni mwanamke chunguza chimbuko lake na ulizia majirani na marafiki nyendo za mwanamke Huyo Hapo utapata information zake kama anamwelekeo
Mi ilikuwa siku za mapumziko jumamosi na jumapili,naandaa bajeti yangu kwamba siku ya leo nitaenda kutembelea sehemu fulani.....ingawa nilikuwa pia naenda club lakini kule ilikuwa ni kwa ajili ya kuondoa stress tuDaah mkuu ngoja nami nijalibu kufanya hivyo labda nitafanikiwa
Hata mimi Nafanyaga hiyo mkuu ila kiukweli sasa hivi nawaogapa mabintiMi ilikuwa siku za mapumziko jumamosi na jumapili,naandaa bajeti yangu kwamba siku ya leo nitaenda kutembelea sehemu fulani.....ingawa nilikuwa pia naenda club lakini kule ilikuwa ni kwa ajili ya kuondoa stress tu
Mke ndio baba/mama/dada/kaka/mlezi wako/maendeleo yako n.k kama utampata aliye sahihi.Cha kufanya ukimuona anayekufaa muombe appointment/kama ni muelewa atakubali,na mkikutana mazungumzo yako yawe kwenye kutafuta mke na si mpenzi wala mchumba.kama ni chaguo lako atakupa majibu mazuri pamoja na mitazamo ya huko mbeleni.lakini kama sio chaguo lako piga chini atakusumbua.Hata mimi Nafanyaga hiyo mkuu ila kiukweli sasa hivi nawaogapa mabinti
Ikiwa hata kiswahili fasaha kinakushinda kuandika.... trust me, hauwezi ukapata mwanamke smart mwenye atafanana na tambo zako...huwa natamani sana maisha falani ya kuishi na familia lakini sijapata mwanamke alietuli na anaejua samani ya mwanaume kila ninaempata huwa hajatulia kutwa humufumania na wanaume hunitoloka kwenda disco ndani ya nyumba maelewano hakuna wezangu wanatumia njia gani ya kupata mwanamke alietulia na anaejua maisha naumia sana sijui nisihangaike na wanawake nitulie tuu
Naufanyia kazi ushauri mkuuMke ndio baba/mama/dada/kaka/mlezi wako/maendeleo yako n.k kama utampata aliye sahihi.Cha kufanya ukimuona anayekufaa muombe appointment/kama ni muelewa atakubali,na mkikutana mazungumzo yako yawe kwenye kutafuta mke na si mpenzi wala mchumba.kama ni chaguo lako atakupa majibu mazuri pamoja na mitazamo ya huko mbeleni.lakini kama sio chaguo lako piga chini atakusumbua.
Sasa nitumie mbinu gani nisikutane nachoPole mkuu ,ila kitu kadri unavyoonesha kama haukihitaj ndo kinazidi kuja ktk maisha yako
Huna jipya mkuu mimi na wew hatuchekani wote tumeishia memkwaIkiwa hata kiswahili fasaha kinakushinda kuandika.... trust me, hauwezi ukapata mwanamke smart mwenye atafanana na tambo zako...
Pole chief
Kila mwanamke unaempata anapenda disco? Sasa kama wewe haujatulia kucha kuchwa unabadilisha wanawake unatakaje sasa wao watuliehuwa natamani sana maisha falani ya kuishi na familia lakini sijapata mwanamke alietuli na anaejua samani ya mwanaume kila ninaempata huwa hajatulia kutwa humufumania na wanaume hunitoloka kwenda disco ndani ya nyumba maelewano hakuna wezangu wanatumia njia gani ya kupata mwanamke alietulia na anaejua maisha naumia sana sijui nisihangaike na wanawake nitulie tuu