festo lupembe
Member
- Sep 27, 2018
- 32
- 30
huwa natamani sana maisha falani ya kuishi na familia lakini sijapata mwanamke alietuli na anaejua samani ya mwanaume kila ninaempata huwa hajatulia kutwa humufumania na wanaume hunitoloka kwenda disco ndani ya nyumba maelewano hakuna wezangu wanatumia njia gani ya kupata mwanamke alietulia na anaejua maisha naumia sana sijui nisihangaike na wanawake nitulie tuu