Haiwezekani. Hatakiwi mtu wa mipasho anayefocus na yanga tu...Kuna tetesi kuwa Ezekiel Kamwaga atapishina na Gift Macha pale Simba. Binafsi nashuri club yangu pendwa impe usemaji Masau Bwire mbele ya Gift Macha pale Simba. Nina uhakika kuna kitu ataongeza pale Msimbazi.
Karibuni kwa Maoni
Msemaji wa PSG Ni Nani? Yaani TZ tunaendekeza uswahili kuliko taaluma. Eti nimejiunga Yanga wewe mchezaji?Kuna tetesi kuwa Ezekiel Kamwaga atapishina na Gift Macha pale Simba. Binafsi nashuri club yangu pendwa impe usemaji Masau Bwire mbele ya Gift Macha pale Simba. Nina uhakika kuna kitu ataongeza pale Msimbazi.
Karibuni kwa Maoni
Hizi timu za waswahili bila mipasho haziendi uoni sasa hivi wanavyojaa kwenye ukumbi wa mipasho wa gwajima bila kujali dini zao kwenda kushangilia uzodoaji?Haiwezekani. Hatakiwi mtu wa mipasho anayefocus na yanga tu...
Kula likeKuna tetesi kuwa Ezekiel Kamwaga atapishina na Gift Macha pale Simba. Binafsi nashuri club yangu pendwa impe usemaji Masau Bwire mbele ya Gift Macha pale Simba. Nina uhakika kuna kitu ataongeza pale Msimbazi.
Karibuni kwa Maoni
Hekima hizi tulizisubiri muda sana toka kwenu mbumbumbu, hatimaye zimekuja baada tu ya Manara kulamba M 9.8 Jangwani[emoji28]Msemajinwa PSG Ni Nani? Yaani TZ tunaendekeza uswahili kuliko taaluma. Eti nimejiinga Yanga wewe mchezaji?
Mess naye ni Msaliti kwa kuiacha Barcelona FC iliyomlea tangu utotoni, ikampatia mafanikio hadi uzeeni kisha atimkie PSG [emoji848]Nampendekeza Salama Jabili.
Baadhi ya wanaume wana Njaa sana. Na inawapelekea kuwa wasaliti
Mess # Messi [emoji736]Mess naye ni Msaliti kwa kuiacha Barcelona FC iliyomlea tangu utotoni, ikampatia mafanikio hadi uzeeni kisha atimkie PSG [emoji848]
MONEY TALKS....[emoji16]
Masau bwire ni mjeda bro, kumuachisha jeshi ni gharama unakumbuka kwa mwinyi kazimoto Simba alikamuliwa kwelkweliKuna tetesi kuwa Ezekiel Kamwaga atapishina na Gift Macha pale Simba. Binafsi nashuri club yangu pendwa impe usemaji Masau Bwire mbele ya Gift Macha pale Simba. Nina uhakika kuna kitu ataongeza pale Msimbazi.
Karibuni kwa Maoni
Utakuwa ni ushuzi kwelikuna jamaa wanamwita sijui @mwijaku nae pia anapigiwa chapuo
kuna jamaa wanamwita sijui @mwijaku nae pia anapigiwa chapuo