Manara aliwahi kuwa hata kiongozi shuleni (ikiwa aliingia hata Darasani) Sina uhakika hata kama anajua kusoma & kuandika. Vipi lugha za kimataifa? Kiingereza, kifaransa au Kichina?Hii ndio Tz yangu mkuu. Fikiria mtu anaamini kuondoka kwa Manara simba itayumba. Hii imeniaminisha kuwa wengi wetu huwa tunatoa maoni kwenye mambo tusioyajua. Manara sio CEO,sio member wa bodi wala mchezaji. Halafu timu iyumbe. Isiyumbe kuondoka kwa Chama ama Luis waliokuwa wanagalagala uwanjani. Iyumbe kuondoka kwa Manara. Aisee
Tutoke huko, mwenendo wa Kamwaga ndio unaotakiwa kuwa nao msemaji wa SimbaHaiwezekani. Hatakiwi mtu wa mipasho anayefocus na yanga tu...
Kikubwa team kufanya vizuri ni hamasa tosha kuliko huu upuuzi wa wasemajiHawa wasemaji wa simba na yanga kazi yao inakua rahisi sana ikiwa tu timu inafanya vizuri viwanjan bila ivyo hao wasemaji hawana uzuri wowote watu tunajisahau uyu haji manara wa sasa alikua si lolote kwa muro kipindi iko yanga ipo ktk ubora wake ata uko alikoenda haji watakaozid kumpa jina na maneno wachezaji na ata hao simba hawana sababu ya kuangaika na msemaji zaid kwanza wajiimalishe kiwanjani kama timu itakua inafanya vibaya ata kama wawe na haji manara mia haisadii ktu
Duuuh aiseekuna jamaa wanamwita sijui @mwijaku nae pia anapigiwa chapuo
Hv jamaa alikua na Ofisi au computer ya kuandika KPI zake? Au ndo ilee!Hatutaki wasemaji wa dizaini hii ya kiswahili Swahili.
Simba ni level zingine hatutaki maneno tunataka vitendo.
Ila wewe jamaa muongo sasa kutolipwa mshahara messi na kuondoka ina tofauti ganii?Rais wa laliga alisem mess ata angecheza bila kulipwa mshahara still Barcelona ilikuwa ishabanwa na Sheria
Thus y unaona hata pique kapunguza mshara same to some of Barcelona players
Msemaji wa PSG Ni Nani? Yaani TZ tunaendekeza uswahili kuliko taaluma. Eti nimejiunga Yanga wewe mchezaji?
Punguza makasiriko mkuu, utakufa weweMsemaji wa PSG Ni Nani? Yaani TZ tunaendekeza uswahili kuliko taaluma. Eti nimejiunga Yanga wewe mchezaji?