Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitamboUmeshawah tegwa?
Hahaha nilitegwa na mdogo mtu lakini nashukuru niliukimbia mtego nikaja kurudi baadaeee, mpaka leo yule mdogo mtu hana hamu na mimiEbu tupe ushuhuda kwa mala ya mwisho wewe ulitegwa vp na uliwezaje kuipuka na ikiwa uliungia pia waweza tu kutujuza. Tafashari
HahahaUshauri,
Wadada mlioolewa, wenye ndugu wa kike halafu wanaishi haya maisha ya kimjini mjini kujidai wanazo na masupastaa.
Epuka kuishi nao nyumba moja, ni hatari kwa ndoa yako, hutamani yale unayopewa na mumeo basi nae apate mfano outing, mausafiri haya, mavazi, the way mnavyoishi na n.k.
Mbaya zaidi hawatongozwi wala kutongoza bali hutumia maungo yao na mbinu za kikungwi wanazopeana wazi wazi kwenye magrupu ya watsapp, mumeo akichomoka hiyo mitego kapike sadaka.
Ni experience ya moja kwa moja, mbaya zaidi kuna jamaa zangu mmoja wapo akathimulia anavyomtafuna shem wake. Nikipimia mitego nayopata na story za jamaa naona kama siku hizi imekuwa fasheni mabinti kutembea na mashem zao.
Kuweni makini sana.
Karibuni