Ungewapata wapi ambao wasingeunga mkono juhudi? Je, akina Halima Mdee, Ester Bulaya, Yule mBabati anaeingizia watu chupa kwenye makalioni, Waiara, Silinde na wengine waliounga juhudi, hawakupo Chadema kabla ya ujio wa Lowassa?Bila Lowasa upinzani ungepata wabunge zaidi na heshima yao ingebaki palepale, sasa hivi unashangilia wabunge ambao wote walikuja kuunga mkono juhudi
Unapo ongea neno "ujasiri" unamaanisha nini? Kwamba hao unaowaita majasiri watachukuwa bunduki wakaing'oe CCM madarakani au watatumia mbinu hizihizi za majukwaani na ushawishi kukubalika kwa wananchi? Akili na mikakati ndiyo njia pekee iliyopo kuikabili CCM na siyo fujo. Wao wanatumia vyombo vya dola kugandamiza upinzani.
Marekebisho kidogo, hawakumpokea Lowassa na kumpa uenyekiti, bali walimpa nafasi ya kugombea urais. Jambo lile halikuwa sahihi. Hilo la kwamba ccm walimkata wakijua ataenda cdm na kupokelewa Sina hakika nalo, ila nijuavyo ni kuwa Lowassa hakupewa nafasi bure bila kutoa hela.Ile ya kumpa uenyekiti Lowasa na kumfanya mgombea ilikua ni karata ya CCM. CCM walijua wakimkata huku ataenda kule na atagombea. Itakua rahisi Kwa wao kupepea na kuchukua umaarufu Kwa wananchi zaidi maana Kila mwananchi anafahamu ni namna Gani Chadema walimnanga Lowasa Leo wamempokea Tena Kwa kumfanya mgombea.
Mbowe apumzike tu maana chama kitamfia mkonni.
Namaanisha soma paragraph ya kwanza, sehemu zote mbili, ili uone kama zinatofauti ya neno hata moja.
Simply siku edit kubadilisha nilichoandika mwanzo kama unavyodhani, nili edit kuongeza paragraph ya pili pekee.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ila wewe dah unanifanya nicheke sana...1. Kwamba uniongoze wewe kusoma ninapo kushutumu wewe kuedit kihuni?
2. Umeongezea aya nzima kihuni baada ya kuwa nimekujibu hoja zako zote na hilo kwako ni sawa?
3. Tafadhali tambua silichukulii suala hili la ku edit kinyemela yaliyopita (kwenye mambo nyeti) kuwa ni dogo au la kupuuza:
Namkubali sana Wakili msomi Mwabukusi lakini...
4. Kwenye post hiyo hapo #3 niliwahi kugundua "malicit isiyokubalika JF kuhusiana na hii ya ku edit kinyemela vilivyopita: "Kwamba 'malice' hiyo ilikuwa ya kufanana na hii iliyo mhusu huyo Huihui2 , kama ilivyo hapo ambayo ni vyema mkurugenzi Maxence Melo na hata Moderator wakafahamu. kuwa kuna mambo muhimu ya kujitathmini "seriously" wao kama "provider."
5. Hapo #4 niliamini bila shaka bwana Mshana Jr aliweza kunisoma vyema: "Kwamba tunaandika kwa umakini, weledi na nia njema ambapo privacy, anonymity na integrity yetu katika kila hali haviwezi kupuuzwa." Si tu, huwa tunarejea kuandika tulivyoandika "integrity" ya tulivyoandika juzi, jana, asubuhi, au mwaka jana nk. Yaani kuona kama vingalipo kama tulivyoviacha? Kwamba hakuna maruhani au mkono wa mtu siyo?
6 Hapo #3, #4 na #5 ninao ushahidi wa baadhi ya post zangu za siku nyingi nyuma kupotea. Yaani kufutwa na hivyo kuweza (hata) kubadilishwa pasipokuwa na uhalali wowote na nisiowajua.
7. Ninaiweka hapa sehemu ya kughafikishwa huko kutokea #3:
View attachment 2872425
"Unapaona hapo kwenye maujanja ya kufuta kinyemela posts za nyuma za watu?" Yalinikuta kwenye uzi huo pia.
8. Siasa uchwara za humu JF ninazijua na si nia yàngu kupotezeana muda na yeyote au kupakana matope kihuni.
9. Si kila mtu anavinjari huku akiwa na nia ovu yaani "ulterior motives."
10. Ama kwa hakika nimefadhaika.
Kwani nabanwa na sheria gani hapa JF kuongeza aya moja baada ya ku type aya nyingine? hebu nipe hiyo sheria kama ipo.
Sijaona sababu yoyote kwako kuwataja wengine kwenye jambo linalonihusu mimi, mimi nimefanya kile nilichofanya bila kuvunja sheria yoyote ya JF, mawazo yako tu ndio yanakufanya uwe mkali kwa jambo dogo.
Unatakiwa kujibu aya zote kama nilivyoandika, bila kujali kama aya moja ilitangulia nyingine ikafuata, kuzunguka hapo kwangu ni dalili ya mtu aliyezidiwa hoja, sasa anatafuta mlango wa kutokea, nothing else.
Wacha ujanja janja wako!. Huo ugunduzi wako mimi sihusiki chochote, usilazimishe kuingia kwenye kichwa changu ujione unajua nia yangu, hiyo ni ramli tu kwangu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ok sawa umesikika Mwaka huu Mbowe anaachia uwenyekiti, natamani kuona unagombea nafasi hiyo muda huo ukiwadia. Hawezi kujiuzulu bali ataondoka kwa kuamua kutokugombea au agombee na asichaguliwe kwenye nafasi hiyo.Nilipanga kukupuuza lakini nikadhani sitakuwa nimekutendea haki:
1. Kwamba "umelazimiswa kuwapo chamani?!" Maneno magumu haya kutoka kwa mwanachama mmoja kwenda kwa mwingine.
2. Kwani wewe nani? Au wewe ndiye uliyelazimishwa kuwapo?
3. Kwani wewe una haki zaidi kuliko nani?
4. Au ni busara zako tu ndugu kwenda likizo bila taarifa au bila ya weye kujua?
5. Hao CCM mtawalaumu sana kama dobi tu, wakati kaniki ni rangi yake. Wengine wakisema mtamaliza bucha zote, nyama ni ile ile.
6. Tuwaseme Lipumba, Lungwe, au wengine unsowataja, kwani hao wanatuhusu sisi nini?
7. Hapo #6 tunawasema na tutaendelea kuwasema nyote kwa muktadha huu:
Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM
8. Kulikoni kututaka kumsema awaye yote kwa muktadha wako? Kwa muktadha wako si unamsema mwenyewe ndugu?
9. Hapo #7 ni nia yetu ya dhati kumfurusha CCM madarakani. Tunamfurusha huyo na majasiri na waliodhamiria kwenye hilo.
10. Hapo #7 tunajua mpo mlio CCM bila ya wenyewe kujitambua kwa maana bila mnadhani CCM ni rangi na siasa ni ushabiki tu kama wa mpira.
11. Hapo #10, wapo walio CCM hadi viongozi upinzani bila ya wao kujitambua. Hili halijali hata nyadhifa walizo nazo.
12. Hapo #11, misahafu inasema, "si wote waniitao bwana bwana, wataurithi ufalme wa mbinguni."
Mimi siyo mwananchama kuliko mwingine, kama wewe ni mwanachama kweli iwe ccm au chadema. mwenyekiti hana sababu ya kujiuzulu, anaweza asigombee muda wake ukiisha, au afariki na nafasi iwe wazi.1. Ikumbukwe kina Putin, Medvedev na sasa Trump (yuko njia moja) waliwahi kushika hatamu wakatoka na baadaye kurudi.
2. Mtu unaweza ukatoka ukarudi ukipenda ukiwa fresh na mawazo mapya. Ndiyo maana kuna likizo, rest and recuperation, sabbatical leave, nk.
3. Kukaa kiti kile kile muda mrefu inaweza kumpa mtu chronic fatigue na bila kujitambua akabweteka.
4. Leo chadema ina chawa na vijana wa hovyo kama wale wengine.
5. Hapo #4 hata nidhamu na heshima imekuwa changamoto.
6. Hapo #5 si ajabu illiterates na hata vijiweni na mitandaoni kuwakuta wanamzodoa Shivji, Nyerere, Mandela, Tutu, Lissu nk kiboya boya, kwa uchawa wao tu bila kujali jitihada, michango au mafanikio ya watu kama hao duniani, kwa jina la chama.
7. Kina Nanye Go na wenzao wengi ni mfano wa watu hao ambao bila ya uhalali wowote, si nadra kuwaona na kujinadi kwa kudhani wao ni wanachama zaidi kuliko wengine, wakiwaitisha hata kama vipi kuondoka isipokuwa wao!
8. Kwamba hapo #7, vijana wa hovyo hawa, chama kimeshindwa hata kuwakemea hadharani? Ukiwa ni mwendelezo wa mapungufu ya yasiyo na afya ya yatokanayo na haya tunayoyaoigia kelele Kila leo kwa maslahi ya chama:
"Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama"
9. Hapo #8, ni hali isiyoweza kuwavutia wenye kujitambua au akili zao chamani. Kwa hakika ni ujasiri wa kutokuwa tayari kuwasusia fisi bucha kuendelea kukomaa nao.
10. Hatuwezi kuendekeza ujinga, wajinga au kuwAendekeza watu wasiojua wanataka au hawataki nini kwenye mapambano yasiyohitaji ajizi kuwatia CCM madarakani.
11. Wanasema mjini kwa mwendo huu hatuwezi kutoboa!
12. Siyo siri, tunahitaji mwanzo mpya wa mawazo. Tulipo tumegonga mwamba.
13. Waungwana wanasema, "retreat is no surrender."
Unaandika vibaya mpaka nahisi kutapikaPrimary target ya ujasusi was Tanzania ilikua katiba mpya!na chadema ilipaswa kuwa sauti hiyo!
Wao wakazimishwa na nusu mkate yaani wakafika bei hii ikaleta hasira kali na kutokuaminika Kwa mbowe Toka Kwa wale jamaa wanaopigania katiba!!
Nadhani plan ya katiba kabla ya uchaguzi imefeli coz mwenyekiti was CCM ame was outsmart wale jamaa wa Dola!Sasa nadhani wata execute plan B:-
1.Uchaguzi 2025 uvurugike mabaka wakachukua Dola!
2.Damage ya kisiasa Kwa mtia Nia was urais mapema ambae no mwenyekiti was ccm,nadhani wamefanikiwa coz hakuna mwananchi was kawaida kabisa anaemkubali kihivyo has Hulu bara tumebaki sisi chawa wa mchongo tukiziimba nyimbo zake Ili kufurahia ugali na teuzi zake!!
Lengo ni kumuingiza mgombea mwingine 2025 na sie huyu !
3.Hii mbaya sana!I have a feeling ni kuwindana Hadi viwanja vya ndege ili apewe mwingine!!
Watumishi wanaomba mungu haha yasitokee!
Hoi inachagizwa na Ile "original plan in and out""!!!
Ngoja tuone!!!
Mbowe kafeli coz hajui no Dola ilishinikiza atolewe mahabusu Kwa kesi ile Ili apiganie katiba Sasa yeye kalamba asali plus nusu mkate!!!
Pia inawezekana no plan ya mbowe kurudisha Imani ya wanachama kwake baada ya kuvurunda,Kwa kuitisha maandamano!!
Ngoja nisubiri!!!
Habari Wana JF.
Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia
Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.
Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.
Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.
Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:
1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.
2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.
3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.
4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.
5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Naomba kuwasilisha.
Kwa kadiri ninavyo ona mimi mchoma mkaa wa mkata:Habari Wana JF.
Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia
Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.
Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.
Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.
Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:
1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.
2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.
3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.
4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.
5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Naomba kuwasilisha.
Nakubaliana nawe kuwa Matukio yana nafasi katika kuingia madarakani, lakini ni mchezo hatari sana kwa ustawi na sustainability ya chama na sera zake. assume Jamaa angeshinda, nini unafikili kingetokea? Jamaa alijipanga kukiteka chama na kubadili sera ya chama jambo ambalo lingekuwa disappointment kubwa kwa umma na wanachama. Kumbuka, Ma-mvi alikuwa ni Taasisi yenye malengo na falsafa yake na ambayo mwenyekiti wake hakuwa Ma-mvi. Mbaya zaidi falsafa ya timu Ma-Mvi ilikuwa inapingana sana na matarajio ya chama.Uchambuzi wako ni dhaifu sana. Uamuzi wa kumchukuwa Lowassa ilikuwa ni siasa za matukio ambao kwa mtu yoyote mwenye weledi ktk siasa angeufanya. Jifunze hata kwa wenzetu pale Kenya, Ruto, Kenyatta na Odinga hawajawai kuwa na vyama vya kudumu lakini wao wamedumu ktk siasa muda wote.
Kwa wagombea Urais ndani ya Ukawa kwa wakati huo (Dr. Slaa na na prof. Limpumba) waliokuwa wakipigana vikumbo vya kuwania uteuzi wa kupeperusha bendera, kati yao hawa hakukuwa na mtu potential kumzidi Lowassa kwa wakati huo. CCM yenyewe ilimuogopa na iliofia sana alipohamia Chadema. Pamoja na kuhujumiwa kwenye zoezi la kupiga na kuhesabu kura lakini wote ni mashahidi wa idadi ya wabunge walioingia bungeni kutokana na ujio wa Lowassa ndani ya Chadema.
Ili la kupata wabunge wengi zaidi sina hakika sana, ila definitely ubora na heshima ya Chama ingeimarika sana na pengine wangeweza kuchukua kirahisi 2025.Bila Lowasa upinzani ungepata wabunge zaidi na heshima yao ingebaki palepale, sasa hivi unashangilia wabunge ambao wote walikuja kuunga mkono juhudi
Ok sawa umesikika Mwaka huu Mbowe anaachia uwenyekiti, natamani kuona unagombea nafasi hiyo muda huo ukiwadia. Hawezi kujiuzulu bali ataondoka kwa kuamua kutokugombea au agombee na asichaguliwe kwenye nafasi hiyo.
Mimi siyo mwananchama kuliko mwingine, kama wewe ni mwanachama kweli iwe ccm au chadema. mwenyekiti hana sababu ya kujiuzulu, anaweza asigombee muda wake ukiisha, au afariki na nafasi iwe wazi.
Subiri muda huo hauko mbali, nafasi zote zitatangazwa na ugombee nafasi uipendayo hasa huo uwenyekiti. Nitafurahi ukishinda kwa sababu nitataka kuona mawazo yako yanakipeleka chama huko mbele unakotaka.
Mimi siwezi kumchoka mtu kwasababu kakalia kiti muda mrefu, nitamchoka kama hatekelezi majukumu ya nafasi yake.
Propaganda ni sehemu ya siasa, lakini nimeoina CCM wengi ndio wakimtaka Mbowe ajiuzuru kuliko CHADEMA, hadi nashindwa kuelewa kulikoni? Nilivyoona bandiko lako nikajua ni wale wale ccm, lakini unakataa wewe sio wao, nami nakubali. Na kwa muktadha huo nakuombea afya njema muda ukifika ugombee nafasi uipendayo, lakini siyo kutaka ajiuzuru, sioni sababu ya yeye kufanya hivyo, alichaguliwa na anatekeleza majukumu yake, kwanini ajiuzuru hasa ajiuzuru?
Kama ni mawazo mapya unaweza kuyawasilisha chamani kwa utaratibu, au ugombee uje nayo.
Mimi namtetea Mbowe kwa sababu tu ya wingi wa lawama ninazoziona hazina maana yoyote, huyu mtu alichaguliwa kwenye nafasi hiyo, kwa mujibu wa katiba yao, muda wake haujaisha, na hajavunja katiba kwa matendo na anafanya kazi yake.
Wewe huoni hayo unataka ajiuzuru, kwanini usifuate utaratibu mliojiwekea, usisubiri muda unadi sera uchaguliwe?
Nilivyoona bandiko lako nikajua ni wale wale ccm
Bado huoni kuwa amejustify alternative plan unayoipigia kelele!?Habari Wana JF.
Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia
Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.
Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.
Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.
Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:
1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.
2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.
3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.
4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.
5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Naomba kuwasilisha.
Umesahau ule msemo usemao "Mwonja Asali Huchonga Mzinga".Habari Wana JF.
Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia
Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.
Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.
Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.
Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:
1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.
2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.
3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.
4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.
5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Naomba kuwasilisha.
Iko hiv, Kwa namna watu tukivyokua tumechoka na utawala wa sisiemu, ufusadi Kila Kona, ushikaji Kila Kona, ilikua ni yeyote kati ya wale vinara wa UKAWA kushika kijiti Cha urais. Wananchi hasa vijana wangeunga mkono Kwa nguvu zote. Kumleta Lowasa Kwa kua et atakuja na watu wengine, atakuja na pesa na blaa blaa zingine iliwagawa watu. UKAWA walipoteza mvuto Hadi hiv Leo.Uchambuzi wako ni dhaifu sana. Uamuzi wa kumchukuwa Lowassa ilikuwa ni siasa za matukio ambao kwa mtu yoyote mwenye weledi ktk siasa angeufanya. Jifunze hata kwa wenzetu pale Kenya, Ruto, Kenyatta na Odinga hawajawai kuwa na vyama vya kudumu lakini wao wamedumu ktk siasa muda wote.
Kwa wagombea Urais ndani ya Ukawa kwa wakati huo (Dr. Slaa na na prof. Limpumba) waliokuwa wakipigana vikumbo vya kuwania uteuzi wa kupeperusha bendera, kati yao hawa hakukuwa na mtu potential kumzidi Lowassa kwa wakati huo. CCM yenyewe ilimuogopa na iliofia sana alipohamia Chadema. Pamoja na kuhujumiwa kwenye zoezi la kupiga na kuhesabu kura lakini wote ni mashahidi wa idadi ya wabunge walioingia bungeni kutokana na ujio wa Lowassa ndani ya Chadema.
Habari Wana JF.
Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia
Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.
Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.
Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.
Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:
1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.
2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.
3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.
4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.
5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Naomba kuwasilisha.