Pre GE2025 Ushauri: Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

Pre GE2025 Ushauri: Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bila Lowasa upinzani ungepata wabunge zaidi na heshima yao ingebaki palepale, sasa hivi unashangilia wabunge ambao wote walikuja kuunga mkono juhudi
Ungewapata wapi ambao wasingeunga mkono juhudi? Je, akina Halima Mdee, Ester Bulaya, Yule mBabati anaeingizia watu chupa kwenye makalioni, Waiara, Silinde na wengine waliounga juhudi, hawakupo Chadema kabla ya ujio wa Lowassa?
 
Unapo ongea neno "ujasiri" unamaanisha nini? Kwamba hao unaowaita majasiri watachukuwa bunduki wakaing'oe CCM madarakani au watatumia mbinu hizihizi za majukwaani na ushawishi kukubalika kwa wananchi? Akili na mikakati ndiyo njia pekee iliyopo kuikabili CCM na siyo fujo. Wao wanatumia vyombo vya dola kugandamiza upinzani.

1. "Jasiri" ni neno la kiswahili lililo na maana moja tu ambayo hata mtoto mdogo ambaye hajaanza shule anaijua.

2. Ila nifanye je kama nimeulizwa swali hata kama la kitoto?

3. Ninakuwekea hapa "post yangu #6" ipo kwenye uzi huu kukuonyesha kuwa jasiri ni yupi, kuwa si mara ya kwanza kulitumia hata kwenye uzi huu huu, kukuonyesha hakuna kipya:

IMG_20240115_100523.jpg


4. Bado maana yake kamili imeelezwa kwenye uzi huu niliokupa:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

5. Hapo #4, ninakuwekea hapa utangulizi wa uzi huo kujiridhisha uliuona:

IMG_20240115_101054.jpg


6. Kwamba pamoja na post yangu #6 (kwenye uzi huu), pia hapo: #5 na hivyo #4 yote, bado hukuweza kujua ni ujasiri upi naoungelea?

7. Unayasoma wapi "mabunduki au fujo" unazoongelea wewe?

8. Hapo #7, nimekuwa nikikukumbusha mara zote kutonihusisha na lolote lisilotokea kwangu.

9. Linihusu nini vipi nilisiloliandika mimi?

10. Niko wazi kujadili hoja kwa hoja lakini si kujadili misamiati ya kiswahili au kuwekeana maneno mdomoni.
 
Ile ya kumpa uenyekiti Lowasa na kumfanya mgombea ilikua ni karata ya CCM. CCM walijua wakimkata huku ataenda kule na atagombea. Itakua rahisi Kwa wao kupepea na kuchukua umaarufu Kwa wananchi zaidi maana Kila mwananchi anafahamu ni namna Gani Chadema walimnanga Lowasa Leo wamempokea Tena Kwa kumfanya mgombea.

Mbowe apumzike tu maana chama kitamfia mkonni.
Marekebisho kidogo, hawakumpokea Lowassa na kumpa uenyekiti, bali walimpa nafasi ya kugombea urais. Jambo lile halikuwa sahihi. Hilo la kwamba ccm walimkata wakijua ataenda cdm na kupokelewa Sina hakika nalo, ila nijuavyo ni kuwa Lowassa hakupewa nafasi bure bila kutoa hela.
 
Namaanisha soma paragraph ya kwanza, sehemu zote mbili, ili uone kama zinatofauti ya neno hata moja.

Simply siku edit kubadilisha nilichoandika mwanzo kama unavyodhani, nili edit kuongeza paragraph ya pili pekee.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

1. Kwamba uniongoze wewe kusoma ninapo kushutumu wewe kuedit kihuni?

2. Umeongezea aya nzima kihuni baada ya kuwa nimekujibu hoja zako zote na hilo kwako ni sawa?

3. Tafadhali tambua silichukulii suala hili la ku edit kinyemela yaliyopita (kwenye mambo nyeti) kuwa ni dogo au la kupuuza:

Namkubali sana Wakili msomi Mwabukusi lakini...

4. Kwenye post hiyo hapo #3 niliwahi kugundua "malicit isiyokubalika JF kuhusiana na hii ya ku edit kinyemela vilivyopita: "Kwamba 'malice' hiyo ilikuwa ya kufanana na hii iliyo mhusu huyo Huihui2 , kama ilivyo hapo ambayo ni vyema mkurugenzi Maxence Melo na hata Moderator wakafahamu. kuwa kuna mambo muhimu ya kujitathmini "seriously" wao kama "provider."

5. Hapo #4 niliamini bila shaka bwana Mshana Jr aliweza kunisoma vyema: "Kwamba tunaandika kwa umakini, weledi na nia njema ambapo privacy, anonymity na integrity yetu katika kila hali haviwezi kupuuzwa." Si tu, huwa tunarejea kuandika tulivyoandika "integrity" ya tulivyoandika juzi, jana, asubuhi, au mwaka jana nk. Yaani kuona kama vingalipo kama tulivyoviacha? Kwamba hakuna maruhani au mkono wa mtu siyo?

6 Hapo #3, #4 na #5 ninao ushahidi wa baadhi ya post zangu za siku nyingi nyuma kupotea. Yaani kufutwa na hivyo kuweza (hata) kubadilishwa pasipokuwa na uhalali wowote na nisiowajua.

7. Ninaiweka hapa sehemu ya kughafikishwa huko kutokea #3:

IMG_20240115_125206.jpg

"Unapaona hapo kwenye maujanja ya kufuta kinyemela posts za nyuma za watu?" Yalinikuta kwenye uzi huo pia.

8. Siasa uchwara za humu JF ninazijua na si nia yàngu kupotezeana muda na yeyote au kupakana matope kihuni.

9. Si kila mtu anavinjari huku akiwa na nia ovu yaani "ulterior motives."

10. Ama kwa hakika nimefadhaika.
 
1. Kwamba uniongoze wewe kusoma ninapo kushutumu wewe kuedit kihuni?

2. Umeongezea aya nzima kihuni baada ya kuwa nimekujibu hoja zako zote na hilo kwako ni sawa?

3. Tafadhali tambua silichukulii suala hili la ku edit kinyemela yaliyopita (kwenye mambo nyeti) kuwa ni dogo au la kupuuza:

Namkubali sana Wakili msomi Mwabukusi lakini...

4. Kwenye post hiyo hapo #3 niliwahi kugundua "malicit isiyokubalika JF kuhusiana na hii ya ku edit kinyemela vilivyopita: "Kwamba 'malice' hiyo ilikuwa ya kufanana na hii iliyo mhusu huyo Huihui2 , kama ilivyo hapo ambayo ni vyema mkurugenzi Maxence Melo na hata Moderator wakafahamu. kuwa kuna mambo muhimu ya kujitathmini "seriously" wao kama "provider."

5. Hapo #4 niliamini bila shaka bwana Mshana Jr aliweza kunisoma vyema: "Kwamba tunaandika kwa umakini, weledi na nia njema ambapo privacy, anonymity na integrity yetu katika kila hali haviwezi kupuuzwa." Si tu, huwa tunarejea kuandika tulivyoandika "integrity" ya tulivyoandika juzi, jana, asubuhi, au mwaka jana nk. Yaani kuona kama vingalipo kama tulivyoviacha? Kwamba hakuna maruhani au mkono wa mtu siyo?

6 Hapo #3, #4 na #5 ninao ushahidi wa baadhi ya post zangu za siku nyingi nyuma kupotea. Yaani kufutwa na hivyo kuweza (hata) kubadilishwa pasipokuwa na uhalali wowote na nisiowajua.

7. Ninaiweka hapa sehemu ya kughafikishwa huko kutokea #3:

View attachment 2872425
"Unapaona hapo kwenye maujanja ya kufuta kinyemela posts za nyuma za watu?" Yalinikuta kwenye uzi huo pia.

8. Siasa uchwara za humu JF ninazijua na si nia yàngu kupotezeana muda na yeyote au kupakana matope kihuni.

9. Si kila mtu anavinjari huku akiwa na nia ovu yaani "ulterior motives."

10. Ama kwa hakika nimefadhaika.
Ila wewe dah unanifanya nicheke sana...

Sijui kwanini unasema nimeongeza aya nzima kihuni, huo uhuni unatoka wapi jamaa kama aya niliyoongeza haifanani na ile ya awali?

Kwani nabanwa na sheria gani hapa JF kuongeza aya moja baada ya ku type aya nyingine? hebu nipe hiyo sheria kama ipo.

Sijaona sababu yoyote kwako kuwataja wengine kwenye jambo linalonihusu mimi, mimi nimefanya kile nilichofanya bila kuvunja sheria yoyote ya JF, mawazo yako tu ndio yanakufanya uwe mkali kwa jambo dogo.

Unatakiwa kujibu aya zote kama nilivyoandika, bila kujali kama aya moja ilitangulia nyingine ikafuata, kuzunguka hapo kwangu ni dalili ya mtu aliyezidiwa hoja, sasa anatafuta mlango wa kutokea, nothing else.

Wacha ujanja janja wako!. Huo ugunduzi wako mimi sihusiki chochote, usilazimishe kuingia kwenye kichwa changu ujione unajua nia yangu, hiyo ni ramli tu kwangu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kwani nabanwa na sheria gani hapa JF kuongeza aya moja baada ya ku type aya nyingine? hebu nipe hiyo sheria kama ipo.

Sijaona sababu yoyote kwako kuwataja wengine kwenye jambo linalonihusu mimi, mimi nimefanya kile nilichofanya bila kuvunja sheria yoyote ya JF, mawazo yako tu ndio yanakufanya uwe mkali kwa jambo dogo.

Unatakiwa kujibu aya zote kama nilivyoandika, bila kujali kama aya moja ilitangulia nyingine ikafuata, kuzunguka hapo kwangu ni dalili ya mtu aliyezidiwa hoja, sasa anatafuta mlango wa kutokea, nothing else.

Wacha ujanja janja wako!. Huo ugunduzi wako mimi sihusiki chochote, usilazimishe kuingia kwenye kichwa changu ujione unajua nia yangu, hiyo ni ramli tu kwangu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

1. Kule nimekupa mfano ambapo maandiko yangu ya nyuma, yamefutwa na wasiojulikana kinyemela.

"Kwamba kumbe mtu anaweza kuedit posts zangu za juzi kuwa zisomeke Leo kama atakavyo."

2. Moja kwa moja hilo si halali, ni wazi kuwa ni uhuni kuhalalisha malengo fulani maovu.

3. La kwako si tofauti sana na hayo hapo juu.

4. Hapo #3, kwamba tumejibizana tukatoka kwenye post au mada husika; ninakuja kujua vipi ulikwenda kinyemela (wiki baadaye) kuongeza au kuondoa aya zingine kukufaa wewe utakavyo?

5. Ni wazi huku kubadili kunakofanywa kinyemela, hakuhitaji majibu ila ni uhuni ule ule kufanikisha nia fulani ovu.

6. Kwamba ucheke? Labda kama ni kujichekesha.

7. Majina niliyoyaweka pale sikuyaweka kwa ajali. JF inaweza kiboreshwa zaidi kuondoa uhuni huu.

8. Kumbuka DM baada ya dakika kama 5 hata huwezi ku edit tena message yako.

9. Hapo #8, twitter haina option ya ku edit kilichotumwa.

10. Kujadiliana kwa uwazi kiugwana ni sawa, ila si vinginevyo.
 
Nilipanga kukupuuza lakini nikadhani sitakuwa nimekutendea haki:

1. Kwamba "umelazimiswa kuwapo chamani?!" Maneno magumu haya kutoka kwa mwanachama mmoja kwenda kwa mwingine.

2. Kwani wewe nani? Au wewe ndiye uliyelazimishwa kuwapo?

3. Kwani wewe una haki zaidi kuliko nani?

4. Au ni busara zako tu ndugu kwenda likizo bila taarifa au bila ya weye kujua?

5. Hao CCM mtawalaumu sana kama dobi tu, wakati kaniki ni rangi yake. Wengine wakisema mtamaliza bucha zote, nyama ni ile ile.

6. Tuwaseme Lipumba, Lungwe, au wengine unsowataja, kwani hao wanatuhusu sisi nini?

7. Hapo #6 tunawasema na tutaendelea kuwasema nyote kwa muktadha huu:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

8. Kulikoni kututaka kumsema awaye yote kwa muktadha wako? Kwa muktadha wako si unamsema mwenyewe ndugu?

9. Hapo #7 ni nia yetu ya dhati kumfurusha CCM madarakani. Tunamfurusha huyo na majasiri na waliodhamiria kwenye hilo.

10. Hapo #7 tunajua mpo mlio CCM bila ya wenyewe kujitambua kwa maana bila mnadhani CCM ni rangi na siasa ni ushabiki tu kama wa mpira.

11. Hapo #10, wapo walio CCM hadi viongozi upinzani bila ya wao kujitambua. Hili halijali hata nyadhifa walizo nazo.

12. Hapo #11, misahafu inasema, "si wote waniitao bwana bwana, wataurithi ufalme wa mbinguni."
Ok sawa umesikika Mwaka huu Mbowe anaachia uwenyekiti, natamani kuona unagombea nafasi hiyo muda huo ukiwadia. Hawezi kujiuzulu bali ataondoka kwa kuamua kutokugombea au agombee na asichaguliwe kwenye nafasi hiyo.
 
1. Ikumbukwe kina Putin, Medvedev na sasa Trump (yuko njia moja) waliwahi kushika hatamu wakatoka na baadaye kurudi.

2. Mtu unaweza ukatoka ukarudi ukipenda ukiwa fresh na mawazo mapya. Ndiyo maana kuna likizo, rest and recuperation, sabbatical leave, nk.

3. Kukaa kiti kile kile muda mrefu inaweza kumpa mtu chronic fatigue na bila kujitambua akabweteka.

4. Leo chadema ina chawa na vijana wa hovyo kama wale wengine.

5. Hapo #4 hata nidhamu na heshima imekuwa changamoto.

6. Hapo #5 si ajabu illiterates na hata vijiweni na mitandaoni kuwakuta wanamzodoa Shivji, Nyerere, Mandela, Tutu, Lissu nk kiboya boya, kwa uchawa wao tu bila kujali jitihada, michango au mafanikio ya watu kama hao duniani, kwa jina la chama.

7. Kina Nanye Go na wenzao wengi ni mfano wa watu hao ambao bila ya uhalali wowote, si nadra kuwaona na kujinadi kwa kudhani wao ni wanachama zaidi kuliko wengine, wakiwaitisha hata kama vipi kuondoka isipokuwa wao!

8. Kwamba hapo #7, vijana wa hovyo hawa, chama kimeshindwa hata kuwakemea hadharani? Ukiwa ni mwendelezo wa mapungufu ya yasiyo na afya ya yatokanayo na haya tunayoyaoigia kelele Kila leo kwa maslahi ya chama:

"Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama"

9. Hapo #8, ni hali isiyoweza kuwavutia wenye kujitambua au akili zao chamani. Kwa hakika ni ujasiri wa kutokuwa tayari kuwasusia fisi bucha kuendelea kukomaa nao.

10. Hatuwezi kuendekeza ujinga, wajinga au kuwAendekeza watu wasiojua wanataka au hawataki nini kwenye mapambano yasiyohitaji ajizi kuwatia CCM madarakani.

11. Wanasema mjini kwa mwendo huu hatuwezi kutoboa!

12. Siyo siri, tunahitaji mwanzo mpya wa mawazo. Tulipo tumegonga mwamba.

13. Waungwana wanasema, "retreat is no surrender."
Mimi siyo mwananchama kuliko mwingine, kama wewe ni mwanachama kweli iwe ccm au chadema. mwenyekiti hana sababu ya kujiuzulu, anaweza asigombee muda wake ukiisha, au afariki na nafasi iwe wazi.

Subiri muda huo hauko mbali, nafasi zote zitatangazwa na ugombee nafasi uipendayo hasa huo uwenyekiti. Nitafurahi ukishinda kwa sababu nitataka kuona mawazo yako yanakipeleka chama huko mbele unakotaka.
Mimi siwezi kumchoka mtu kwasababu kakalia kiti muda mrefu, nitamchoka kama hatekelezi majukumu ya nafasi yake.

Propaganda ni sehemu ya siasa, lakini nimeoina CCM wengi ndio wakimtaka Mbowe ajiuzuru kuliko CHADEMA, hadi nashindwa kuelewa kulikoni? Nilivyoona bandiko lako nikajua ni wale wale ccm, lakini unakataa wewe sio wao, nami nakubali. Na kwa muktadha huo nakuombea afya njema muda ukifika ugombee nafasi uipendayo, lakini siyo kutaka ajiuzuru, sioni sababu ya yeye kufanya hivyo, alichaguliwa na anatekeleza majukumu yake, kwanini ajiuzuru hasa ajiuzuru?

Kama ni mawazo mapya unaweza kuyawasilisha chamani kwa utaratibu, au ugombee uje nayo.

Mimi namtetea Mbowe kwa sababu tu ya wingi wa lawama ninazoziona hazina maana yoyote, huyu mtu alichaguliwa kwenye nafasi hiyo, kwa mujibu wa katiba yao, muda wake haujaisha, na hajavunja katiba kwa matendo na anafanya kazi yake.

Wewe huoni hayo unataka ajiuzuru, kwanini usifuate utaratibu mliojiwekea, usisubiri muda unadi sera uchaguliwe?
 
Primary target ya ujasusi was Tanzania ilikua katiba mpya!na chadema ilipaswa kuwa sauti hiyo!

Wao wakazimishwa na nusu mkate yaani wakafika bei hii ikaleta hasira kali na kutokuaminika Kwa mbowe Toka Kwa wale jamaa wanaopigania katiba!!

Nadhani plan ya katiba kabla ya uchaguzi imefeli coz mwenyekiti was CCM ame was outsmart wale jamaa wa Dola!Sasa nadhani wata execute plan B:-

1.Uchaguzi 2025 uvurugike mabaka wakachukua Dola!

2.Damage ya kisiasa Kwa mtia Nia was urais mapema ambae no mwenyekiti was ccm,nadhani wamefanikiwa coz hakuna mwananchi was kawaida kabisa anaemkubali kihivyo has Hulu bara tumebaki sisi chawa wa mchongo tukiziimba nyimbo zake Ili kufurahia ugali na teuzi zake!!

Lengo ni kumuingiza mgombea mwingine 2025 na sie huyu !

3.Hii mbaya sana!I have a feeling ni kuwindana Hadi viwanja vya ndege ili apewe mwingine!!

Watumishi wanaomba mungu haha yasitokee!

Hoi inachagizwa na Ile "original plan in and out""!!!

Ngoja tuone!!!

Mbowe kafeli coz hajui no Dola ilishinikiza atolewe mahabusu Kwa kesi ile Ili apiganie katiba Sasa yeye kalamba asali plus nusu mkate!!!
Pia inawezekana no plan ya mbowe kurudisha Imani ya wanachama kwake baada ya kuvurunda,Kwa kuitisha maandamano!!


Ngoja nisubiri!!!
Unaandika vibaya mpaka nahisi kutapika
 
Habari Wana JF.

Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia

Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.

Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.

Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.

Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:

1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.

2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.

3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.

4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.

5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Naomba kuwasilisha.

Mmiliki wa shamba (cdm) lake ajiuzulu kumiliki. Sijawahi kupata kusikia. Labda afanye kuliuza.
 
Habari Wana JF.

Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia

Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.

Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.

Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.

Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:

1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.

2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.

3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.

4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.

5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Naomba kuwasilisha.
Kwa kadiri ninavyo ona mimi mchoma mkaa wa mkata:
Lengo kuu la Maldive's queen ilikuwa kuua uwezekano wa muungano kati ya timu reform na timu ya mwamba ulioanguka dhidi ya the great wanamtandao. Hivyo, ukabuniwa mkakati wa kutengeneza mazingira yatakayofanya uwepo mvutano na chuki kubwa kati ya timu ya Wanamageuzi na wafuasi wa mwamba ulioanguka.

Timu reform ikaingia kwenye mtego pengine bila kujua na wakatumika kama wakala wa kumdhoofisha adui wa Adui yao Mkuu, a big mistake kwenye game.

Mkakati uliotumika baada ya Machi 17 ni kutumia utaratibu wa kumpepea na kumchelewesha mpinzani kwa kujenga matumaini ya uongo kwa mpinzani wako, kumfanya mpinzani akusifu kwa matarajio yasiyokuwepo, kumpa short and personal benefit mtu huru, kumchagulia adui mpya mpinzani wako, na hatimaye kufichua udhaifu huo wa mpinzani wako kwa umma ili kumfanya aonekane ana fikra fupi na asiyeaminika.

Baada ya mpambano mkali wa madaraka kati ya Malkia wa Maldive na wanamtandao, na baada ya kubainika kuwa Team the Fallen Rock ina nguvu zaidi ya Wanamtandao, kulifanyika mapinduzi baridi ambapo wanamtandao walipigwa chini. hatimaye The Maldive's Queen akaamua kuungana na Team grey hair pamoja na Team mwamba.

Hivyo, kinachoonekana sasa ni matokeo ya mchezo. Kimsingi, Team Mageuzi ilifanya kosa kubwa la kimkakati kwa kukumbatia maumivu ya siku za nyuma bila kuona fursa waliyoipata kutokana na machungu husika. Kanuni kuu ya mchezo sio kuangalia machungu ya zamani bali fursa inayoletwa na machungu hayo. Mifano: Mandela Vs. Frederik W. de Klerk; Odinga +Rutho vs Kibaki, kisha Kinyatta+Rutho vs Odinga, kisha Kinyatta+Odinga vs Rutho. Ruto alikuwa ni asset ambayo wenzake walikuwa waki Utilize kufika kileleni, na siku alipojitambua kuwa yeye ni asset akajikusanya na kufika kileleni mwenyewe.

Hata hivyo, bado kuna fursa ya Timu mageuzi, lakini wanapaswa kutoa sadaka kubwa ya kisiasa. Waondoe mapenzi ya watu binafsi na waweke maslahi ya kudumu mbele (Prof Mwesiga Baregu angekuwepo angewaleza vema kuhusu hili kimkakati). Pia wakubali kumpa kijana wao wa kipekee na mwana kindakindaki wao aipeleke Timu kwenye mtanange. Wajikite katika kunyakua kila fursa zilizo mbele yao ili kupata matokeo chanya. wamemlea vema kijana lakini wanaogopa kumpa fursa ya kuwavusha kutokana na kile kinachodhaniwa kuwa maslahi binafsi na kikabila.

mtazamo wa mchoma mkaa wa Mkata ambaye anakubali kupingwa na kukosolewa.
 
Uchambuzi wako ni dhaifu sana. Uamuzi wa kumchukuwa Lowassa ilikuwa ni siasa za matukio ambao kwa mtu yoyote mwenye weledi ktk siasa angeufanya. Jifunze hata kwa wenzetu pale Kenya, Ruto, Kenyatta na Odinga hawajawai kuwa na vyama vya kudumu lakini wao wamedumu ktk siasa muda wote.

Kwa wagombea Urais ndani ya Ukawa kwa wakati huo (Dr. Slaa na na prof. Limpumba) waliokuwa wakipigana vikumbo vya kuwania uteuzi wa kupeperusha bendera, kati yao hawa hakukuwa na mtu potential kumzidi Lowassa kwa wakati huo. CCM yenyewe ilimuogopa na iliofia sana alipohamia Chadema. Pamoja na kuhujumiwa kwenye zoezi la kupiga na kuhesabu kura lakini wote ni mashahidi wa idadi ya wabunge walioingia bungeni kutokana na ujio wa Lowassa ndani ya Chadema.
Nakubaliana nawe kuwa Matukio yana nafasi katika kuingia madarakani, lakini ni mchezo hatari sana kwa ustawi na sustainability ya chama na sera zake. assume Jamaa angeshinda, nini unafikili kingetokea? Jamaa alijipanga kukiteka chama na kubadili sera ya chama jambo ambalo lingekuwa disappointment kubwa kwa umma na wanachama. Kumbuka, Ma-mvi alikuwa ni Taasisi yenye malengo na falsafa yake na ambayo mwenyekiti wake hakuwa Ma-mvi. Mbaya zaidi falsafa ya timu Ma-Mvi ilikuwa inapingana sana na matarajio ya chama.
 
Bila Lowasa upinzani ungepata wabunge zaidi na heshima yao ingebaki palepale, sasa hivi unashangilia wabunge ambao wote walikuja kuunga mkono juhudi
Ili la kupata wabunge wengi zaidi sina hakika sana, ila definitely ubora na heshima ya Chama ingeimarika sana na pengine wangeweza kuchukua kirahisi 2025.
 
Ok sawa umesikika Mwaka huu Mbowe anaachia uwenyekiti, natamani kuona unagombea nafasi hiyo muda huo ukiwadia. Hawezi kujiuzulu bali ataondoka kwa kuamua kutokugombea au agombee na asichaguliwe kwenye nafasi hiyo.

1. Sina hakika ni wapi umeona nimetamka neno kujiuzulu au kumhimiza yeyote kujiuzulu.

2. Sina hakika ni wapi popote nimemtaja Mbowe.

3. Kulikoni kutaka kuniwekea maneno yako mdomoni?

4. Nikukumbushe post yangu ya kwanza kwenye uzi huu ni #4 na ya pili ni #6 (nikiamini hayupo wa ignore list aliyekuwa ka comment kabla).

5. Ninakuwekea hapa post yangu hiyo #4 kama ni nia yako kujadili kwa hoja:

IMG_20240117_095051.jpg


Angalizo:

Wala sikuwa nimefahamu uwepo wa uzi huu kabla ya kuitwa kwa heshima na taadhima na boss wako bwanq Proved ninayeamini anaithamini sana michango ya waungwana wasioendekeza uchawa popote.

6. Hapo kwenye angalizo, mabosi wako wengine waandamizi JokaKuu, Economist na wengine watafute faragha, sitashangaa kama watakwambia:

"kijana umekurupuka, tena big time."

7. Kuondoka au kutoondoka Kwa yeyote wapi unayasoma hayo? Kugombea au kutokugombea ni haki ya mtu yeyote isiyoweza kuchagizwa popote na awaye yote.

8. Hapo #7, ikiwa na maana kuwa umepoteza wakati kuandika mambo yako yasiyokuwa na maana kwa yeyote.

9. Suala la msingi ni kujikita kwenye mada. Hoja hujibiwa kwa hoja. Kulikoni kuja na mabo yako mfukoni kunishutumu nayo, nisiyoyatamka mimi?

10. Uzi huu uliotajwa pia pale post #4, uliwaangazia sana watu kama nyie wenye kudhani ni wapiganaji kweli kweli:

"Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM."

11. Hapo #10 ni kuwa hamjui kuwa mnaicheza ngoma ya CCM bila kujua. Misahafu inasema:

"Si kila aniitaye bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni."

Pascal Mayalla kuna kijana wenu mwingine huku, hajijui tu. Anadhani u CCM ni rangi.
 
Mimi siyo mwananchama kuliko mwingine, kama wewe ni mwanachama kweli iwe ccm au chadema. mwenyekiti hana sababu ya kujiuzulu, anaweza asigombee muda wake ukiisha, au afariki na nafasi iwe wazi.

Subiri muda huo hauko mbali, nafasi zote zitatangazwa na ugombee nafasi uipendayo hasa huo uwenyekiti. Nitafurahi ukishinda kwa sababu nitataka kuona mawazo yako yanakipeleka chama huko mbele unakotaka.
Mimi siwezi kumchoka mtu kwasababu kakalia kiti muda mrefu, nitamchoka kama hatekelezi majukumu ya nafasi yake.

Propaganda ni sehemu ya siasa, lakini nimeoina CCM wengi ndio wakimtaka Mbowe ajiuzuru kuliko CHADEMA, hadi nashindwa kuelewa kulikoni? Nilivyoona bandiko lako nikajua ni wale wale ccm, lakini unakataa wewe sio wao, nami nakubali. Na kwa muktadha huo nakuombea afya njema muda ukifika ugombee nafasi uipendayo, lakini siyo kutaka ajiuzuru, sioni sababu ya yeye kufanya hivyo, alichaguliwa na anatekeleza majukumu yake, kwanini ajiuzuru hasa ajiuzuru?

Kama ni mawazo mapya unaweza kuyawasilisha chamani kwa utaratibu, au ugombee uje nayo.

Mimi namtetea Mbowe kwa sababu tu ya wingi wa lawama ninazoziona hazina maana yoyote, huyu mtu alichaguliwa kwenye nafasi hiyo, kwa mujibu wa katiba yao, muda wake haujaisha, na hajavunja katiba kwa matendo na anafanya kazi yake.

Wewe huoni hayo unataka ajiuzuru, kwanini usifuate utaratibu mliojiwekea, usisubiri muda unadi sera uchaguliwe?

1. Sina hakika kwa nini kuhangaika kote kujaribu kuniwekea maneno yako mdomoni?
Nilivyoona bandiko lako nikajua ni wale wale ccm

Ni bandiko lipi uliloliona nisilolijua mimi? Tafadhali lilete hapa au unipe rejea ya bandiko hilo.

2. Ninakazia hakuna popote nilipojadili mtu au watu kama wao; kila siku ninajadili ninayoamini yanastahili kujadiliwa tena kwa uwazi na uaminifu wote.

3. Dhana ya kuwaingiza CCM kwenye nani wangetaka kuondoka au kubaki bila shaka ni tamu sana kwa chawa na labda hata CCM yenyewe.

"Hudhani kuwa CCM kumbe wakitaka mtu aondoke wanaweza kusema 'abaki,'' ili watu kama wewe waseme, atoke?"

4. Kwa mawazo kama yako ya kuendekeza kujadili watu badala ya hoja; bila shaka CCM wataendelea kutamalaki kwa muda mrefu sana!

5. Hata hivyo nielewe vyema, "tutabanana hapa hapa."

Jifunzeni kusoma hoja za watu kuelewa; acheni uvivu wa kusoma, kama mnadhani muingie kwenye mijadala. Acheni kukurupuka; msipoelewa ulizeni kupewa ufafanuzi kwa wahusika badala ya kuja na yenu yasiyokuwa kuwapo kuwahusu wao.

6. Ramli chonganishi hazilipi, hakuna aliye supernatural; kudhani unayajua ya mtu bila yeye kuyasema ni ujinga uliopitiliza.

"Kama ni kushukiana kiboya boya tu, kwa nini wewe usiwe hayo ma CCM? Kwa usiwe kuwa ndiyo uko kwenye agenda yao au yenu ki rasmi kabisa hapa sasa?"

Kushukiana shukiana huku ni mfano halisi wa mtu kujidhania yeye ni mwanachama zaidi kuliko wengine.

7. Tumeshauri mara kadhaa ni makosa ya msingi kwa CHADEMA, John Mnyika kuwaachia watu wasiokuwa na uelewa wa kutosha kukisemea chama na bila ridhaa yake.

8. Hapo #7, ni muhimu Chadema kama chama tena kwa dharura mno kuyafanya haya mapema iwezekanavyo:

CHADEMA wakaneni hadharani chawa hawa wa mitandaoni

9. Wakisemee chama watu rasmi wenye weledi unaostahili. Wengine wote ni kujadili mambo "at the same level."

10. Tushindane hoja, si mahaba!

11. Proved, JokaKuu, Economist ikiwapendeza fundeni vijana hawa kama waheshimiwa hawa wanatingwa na yaliyo nyeti zaidi:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama
 
Habari Wana JF.

Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia

Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.

Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.

Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.

Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:

1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.

2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.

3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.

4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.

5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Naomba kuwasilisha.
Bado huoni kuwa amejustify alternative plan unayoipigia kelele!?
Ukumbuke vile vile kwenye maridhiano hakuanzisha yeye ila Samia na sasa anaongea fucken 4Rs!
Ukumbuke alikamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi wakati wanapanga huo mbadala kule Moshi?
Ameshamaliza zile njia zote za kidiplomasia na sasa ana haki ya kutangaza njia mbadala "maandamano"
Nadhani ungeweka msisitizo kwenye maandamano hayo badala ya kuja na mambo ya utumbo mpana ya kujiuzulu ambayo yatapoteza/yatachelewesha dira yote ya kisiasa.
Umeona Kuhaha kwa CCM hasa kupitia vyama vijikombi sasa eti wanapinga maandamano. Vimefadhiliwa na CCM. AU wewe ni mmojawao!!??
 
Habari Wana JF.

Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia

Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.

Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.

Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.

Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:

1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.

2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.

3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.

4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.

5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Naomba kuwasilisha.
Umesahau ule msemo usemao "Mwonja Asali Huchonga Mzinga".

Je, twazifahamu "terms" za maridhiano?

Upinzani Tanzania haupo hili nimelisema mara nyingi huhu JF.

Wapo wasindikizaji na si wapinzani, na hiyo ni tokea mwaka 1992 siasa zinoitwa za upinzani na vyama vingi vilipoanzishwa.
 
Uchambuzi wako ni dhaifu sana. Uamuzi wa kumchukuwa Lowassa ilikuwa ni siasa za matukio ambao kwa mtu yoyote mwenye weledi ktk siasa angeufanya. Jifunze hata kwa wenzetu pale Kenya, Ruto, Kenyatta na Odinga hawajawai kuwa na vyama vya kudumu lakini wao wamedumu ktk siasa muda wote.

Kwa wagombea Urais ndani ya Ukawa kwa wakati huo (Dr. Slaa na na prof. Limpumba) waliokuwa wakipigana vikumbo vya kuwania uteuzi wa kupeperusha bendera, kati yao hawa hakukuwa na mtu potential kumzidi Lowassa kwa wakati huo. CCM yenyewe ilimuogopa na iliofia sana alipohamia Chadema. Pamoja na kuhujumiwa kwenye zoezi la kupiga na kuhesabu kura lakini wote ni mashahidi wa idadi ya wabunge walioingia bungeni kutokana na ujio wa Lowassa ndani ya Chadema.
Iko hiv, Kwa namna watu tukivyokua tumechoka na utawala wa sisiemu, ufusadi Kila Kona, ushikaji Kila Kona, ilikua ni yeyote kati ya wale vinara wa UKAWA kushika kijiti Cha urais. Wananchi hasa vijana wangeunga mkono Kwa nguvu zote. Kumleta Lowasa Kwa kua et atakuja na watu wengine, atakuja na pesa na blaa blaa zingine iliwagawa watu. UKAWA walipoteza mvuto Hadi hiv Leo.

CHADEMA ya enzi za 2007 Hadi 2014 huwez ilinganisha na CHADEMA hii ya Sasa. CCM hutumia akili kubwa katika ku execute plan zake. Ninyi mnaweza ona mmeokota dodo kumbe deep in, mejipiga wenyewe bila kujua.

Saiz Mbowe anaitisha maandamano, watu hawana mzuka na hayo maandamano. Trust me, mwaka 2015 immediately baada ya uchaguz, na CCM wasingemsimamisha ngosha wangempa mtu kma Maembe, then UKAWA Kwa pamoja wangeitisga maandamano, hayo maandamano yangekua na nguvu kubwa sana. CCM walikiona Hilo ambalo mtu kama wewe huwez liona. Ni simple but you need to go deepdown ndio utaelewa karata za CCM.
 
Habari Wana JF.

Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samia

Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samia. Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.

Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.

Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.

Sasa Kutokana na kauli ya Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:

1. Kwakuwa Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.

2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.

3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.

4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.

5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Naomba kuwasilisha.

Nisaidie kumwambia pia kuna chama ambacho Mwenyekiti alikuwa Raisi wa nchi.
Mke wake yuko bungeni.[Mbunge]
Mtoto wake yuko bungeni. [Mbunge]

Je, CCM ni chama cha ukoo?
_________________________________________
Na chama hicho hicho CCM Kuna aliyekuwa Raisi wa nchi hapo zamani kule Zanzibar na badae JMT.[]
Mtoto wake nae ni rais wa Zanzibar.
Mtoto mwengine NI Balozi.
Mtoto mwingine ni mbunge.

Je, CCM ni chama cha u-koo?

Ila pia MWAMBIE mwenyekiti wa CCM taifa ambae kwasasa ni Raisi wa JMT ana mtoto ambae kule zanzibar ni mbunge

Je, CCM ni chama cha ukoo ?
 
Back
Top Bottom