Ushauri: Mdahalo wa Wagombea Uwenyekiti Chadema Taifa

Ushauri: Mdahalo wa Wagombea Uwenyekiti Chadema Taifa

Wewe ni timu mbo-we unataka kutuaminisha kuwa lisu sio raia ni mkimbizi 😀😀 pia unataka kutuambia kuwa lisu ni maskini hawezi kuongoza chama.
 
Tanganyika,Kwa Sasa unaambia
1. Bandari imeondoka
2. Ngorongoro imeondoka
3. KIA imeondoka
4. Misitu imeondoka
5. Madini yameondoka,leseni za uchimbaji nchi zima zimechukuliwa
6. Gasi imeondoka

Next generation,itakuja kukuta Nini!
Hili ni tatizo la kuibua viongoz... Maskin...
Wakati nyarere akiwa madarakani ulisikiwa wapi kuwa kabinafsisha chochote je alikuwa tajiri?
 
Lissu anasema hajawahi kumuona Odero kwenye uongozi 😹😹😹

Anashangaa anavyosema atashinda
 
Back
Top Bottom