Ushauri: Mdahalo wa Wagombea Uwenyekiti Chadema Taifa

Wewe ni timu mbo-we unataka kutuaminisha kuwa lisu sio raia ni mkimbizi πŸ˜€πŸ˜€ pia unataka kutuambia kuwa lisu ni maskini hawezi kuongoza chama.
 
Wakati nyarere akiwa madarakani ulisikiwa wapi kuwa kabinafsisha chochote je alikuwa tajiri?
 
Lissu anasema hajawahi kumuona Odero kwenye uongozi 😹😹😹

Anashangaa anavyosema atashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…