Ushauri Mdogo wangu Amepata Disco chuo mwaka huu namsaidiaje?

Ushauri Mdogo wangu Amepata Disco chuo mwaka huu namsaidiaje?

UDSM hizo kozi za BAED huwa wanakipata cha moto. Kozi kibao mpk mtu anachanganyikiwa. Mtu anasoma vitu vingi ambavyo hata haji kuvitumia awapo katika maisha ya kazini ila hapo chuoni anafosiwa kukariri tu.

Miaka hiyo kuna wanangu hapo COET walikuwa wakisoma kozi zaidi ya 13 per semister ndani ya miezi 4....imagine jinsi hiyo kitu inavyotesa.

Walichokuwa wakifanya ni kuwa ikikaribia UE huwa wanachagua masomo ya kufanya kama ni 9...huku hayo manne wanaingia kuandika majina tu siku za mitihani then wanatembea wakijua kabisa kuwa wataenda kupiga SUP september.
 
Kuna mwanangu hapo coet,alikua anapiga electrical engineering,mwaka wa pili wakamla kichwa vizuri tu.akaenda hapo DIT kuanza upya akaanza kusoma Mechanical engineering, akapiga fresh akatoka na GPA nzuri tu ,sasa hivi yuko zake Acacia huko anakula mema ya nchi yake tu.
Mzee sikuwahi kuona maticha wakuda kama hapo UDSM. Wanaweza kukufanya ujione inferior kweli kweli kutokana na uduwanzi wao!! Utakuta lecturer labda alisoma hapo na kuhitimu hapo, sasa anakuja kupewa afundishe kozi ambayo yeye alifaulu vizuri.Basi atahakikisha kuwa hakuna mwanafunzi atakae faulu kuivunja rekodi yake.

Wakati ukienda Udom, Sauti,St john, St joseph ,Tumaini,Mzumbe n.k ni jambo la kwaida kuona watu wakipata GPA za 4 kwenda juu.
 
UDSM hizo kozi za BAED huwa wanakipata cha moto. Kozi kibao mpk mtu anachanganyikiwa. Mtu anasoma vitu vingi ambavyo hata haji kuvitumia awapo katika maisha ya kazini ila hapo chuoni anafosiwa kukariri tu.

Miaka hiyo kuna wanangu hapo COET walikuwa wakisoma kozi zaidi ya 13 per semister ndani ya miezi 4....imagine jinsi hiyo kitu inavyotesa.

Walichokuwa wakifanya ni kuwa ikikaribia UE huwa wanachagua masomo ya kufanya kama ni 9...huku hayo manne wanaingia kuandika majina tu siku za mitihani then wanatembea wakijua kabisa kuwa wataenda kupiga SUP september.

Umenikumbusha mbali kaka. Truth is huwez kusoma masomo mengi at once, kuna ambayo utalegeza kamba tu.. strategy tumeitumia sana japokuwa ni risky but it worked
 
Asee, pole yake.

Akaze tu na muamue akihusishwa yeye kama anarudi chuo au anafanya maisha mengine, pengine kwa sababu muda wa udahili umekwisha ajipange mpaka mwakani atakuwa ameona kozi gani inamfaa na vp afanye ili atoke vizuri.

Muda mwingine tunafeli kwa sababu ya kozi zenyewe at first huwa tunasoma tu mradi kwenda chuo ila ukiwa huko ndo unapata uhalisia kwamba kozi uliyopo binafsi haikukai na huoni umuhimu wake.

Akipata nafasi nyingine baada ya kujichunguza vizuri atafanya poa, kama sisi wengine tulivyofanya, tushadisko na tukaendelea...
 
Mtu kadisco unamshauri akaombe tena SUA? Huwezi kuwa na akili
😀😀😀😀

Mkuu, jamaa yupo sawa.

Huyo mtu kama kweli atapenda kozi hiyo ya AEA, SUA ni mahali pazuri patamfaa sana na atafanya vizuri zaidi.

Kwa waliosoma vyuo hivi viwili UDSM na SUA, watakuwa wanaelewa utofauti mkubwa uliopo katika ufundishaji.
 
Nawashukuru kwa ushauri wakuu Kweli JF Kuna watu mpo vizuri
 
Umenikumbusha mbali kaka. Truth is huwez kusoma masomo mengi at once, kuna ambayo utalegeza kamba tu.. strategy tumeitumia sana japokuwa ni risky but it worked
Miaka hiyo washkaji wanapambana tu wavuke hiyo 1.8 GPA ,hawawazi kuhusu first, upper second wala lower second dadeki
 
Kwenye ajira hawaangalii GPA maana unapoomba kazi unatuma cheti kikichoandikwa tu eithe Upper Second Lower au vinginevyo unless iwe kazi specifically inataka 1st Class...ambazo kimataifa hakunaga maswala hayo...
True
 
Mzee sikuwahi kuona maticha wakuda kama hapo UDSM. Wanaweza kukufanya ujione inferior kweli kweli kutokana na uduwanzi wao!! Utakuta lecturer labda alisoma hapo na kuhitimu hapo, sasa anakuja kupewa afundishe kozi ambayo yeye alifaulu vizuri.Basi atahakikisha kuwa hakuna mwanafunzi atakae faulu kuivunja rekodi yake.

Wakati ukienda Udom, Sauti,St john, St joseph ,Tumaini,Mzumbe n.k ni jambo la kwaida kuona watu wakipata GPA za 4 kwenda juu.
Lakini hata UD hizo GPA za 4+ mbona zipo za kutosha?
 
Back
Top Bottom