Ushauri: Mdudu kidoleni

mwibi

Senior Member
Joined
Jul 28, 2016
Posts
131
Reaction score
79
Habarini wakuu,
Nimeingiwa na mdudu kidoleni, nifanyeje?
Ushauri please
 
Kiingize kidole chenye mdudu kwenye K usiku mzima wakati mmelala bila kukitoa asubuh ukiamka utakuta keshatoka. Sitanii.
naona unahamu...!!!
haaa haaaaa
 
Hujafafanua huyo mdudu yupo ndani ya kidole ama vipi..nyoosha maelezo wataalamu wakupe ushauri.
 
Kiingize kidole chenye mdudu kwenye K usiku mzima wakati mmelala bila kukitoa asubuh ukiamka utakuta keshatoka. Sitanii.
Ni kwa muda tu usiku mzima si kitaoza?
 
Kiingize kidole chenye mdudu kwenye K usiku mzima wakati mmelala bila kukitoa asubuh ukiamka utakuta keshatoka. Sitanii.
Hii dawa nimeona kwa usipojipanga insta mtu katoa mrejesho kuwa kapona kabisa kidole
 
Reactions: THT
tunaita Paronchyia yaweza kuwa fungus au bacteria dalili zake kidole kuvimba na kuwa na usaha/mauvimu makali/kidole kuwa chekendu...tiba kubwa ni incision and drainage/kutumbua kama limeiva/dawa za maumivu/antibiotic/antifungal
 
kumbe wewe ndo mke wangu???? nshakujua id yako, umelalamika asubuhi kuwa huwezi kufua mdudu kakuingia kidoleni saizi unaamua ufungue uzi huku.
 
kumbe wewe ndo mke wangu???? nshakujua id yako, umelalamika asubuhi kuwa huwezi kufua mdudu kakuingia kidoleni saizi unaamua ufungue uzi huku.
Yamekuwa hayo tena mara hii
 
tunaita Paronchyia yaweza kuwa fungus au bacteria dalili zake kidole kuvimba na kuwa na usaha/mauvimu makali/kidole kuwa chekendu...tiba kubwa ni incision and drainage/kutumbua kama limeiva/dawa za maumivu/antibiotic/antifungal
Sasa kama ndio kinaanza na kuiva bado ninakifanyaje maana kinauma sana
 
Kumbe kuuuuummmmm ni dawa!!! Hivi nikiumwa kichwa inaweza saidia pia????
 
Sasa kama ndio kinaanza na kuiva bado ninakifanyaje maana kinauma sana
Tafuta dawa za maumivu /pcm/diclopar/brufen kati ya izo,Anti Ampiclox na metronidazole/flaggly kwa siku 5 kenaweza kwsha chenyewe bila kutumbuliwa...poole sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…