Ushauri: Mgombea wa CCM aongezewe ulinzi!

Ushauri: Mgombea wa CCM aongezewe ulinzi!

Umesahau huyu ndiye mfuasi wa safari iliyoishia dodoma?safari feki ya matumaini hola.

Lowasa hoyeeeeeeeee
Ccm chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Makomeo nenda kavue satooooooooooo
 
ha


Hivi nyie CCM midomo yeni haichoki kuibua vitu vya uongo uongo tu?
hivi bado hamjagundua kuwa tumewachoka? mnadhani ni lowassa ndo msababisha yote haya niwaambie UKWELI maneno na maombi ya watanzania kuwa Mungu tubadilishie huu uongozi uliojaa RUSHWA NA UFISADI na kuthibitisha haya ni jinsi mnavyotumia MABILIONI YA PESA ILI MBAKI IKULU...


JAMANI CCM TUMEWACHOKA HATUWATAKI KABISA
 
Gar lake hubadilishwa kila mara, kurugenzi yaa ulinz nahis wamepata mapendekezo yako na watayafanyia kaz mara moja
 
mods leo mtakuwa mmelewa jinsi mnavyoacha nyuzi za kijingajinga humu
 
Wengi tunafahamu mgombea wa CCM ameweza kuwafikia watanzania wengi kwa kutumia usafiri wa gari.

Ni ukweli usiopingika kuwa kuna changamoto kubwa kutumia gari kupita katika vijiji na miji yote.

Ni ukweli usio na shaka kuwa kuna wanaoombea apate ajali iwe ya kimazingira au kimazingara.

Ukweli huo usipuuzwe na CCM ichukue hatua kwa kuongeza ulinzi kwa rais mtarajiwa ikiwa ni pamoja na timu ya mafundi watakaokuwa wanalikaguwa gari la mgombea kila mara.

All in All Jembe la vita lisiwe na wasiwasi na liendelee na kazi tu!

Ulinzi gani tena wakati kapewa nyenzo zote zilizochini ya Mkulu.
Acha POROJO! Labda wajidhuru wenyewe kwa wenyewe!
 
Lowasa hawezi shiriki maana mgombea urais akifa, kutamchelewesha kuwatumikia watanzania. labda chunguzeni sheik yahaya
 
Wengi tunafahamu mgombea wa CCM ameweza kuwafikia watanzania wengi kwa kutumia usafiri wa gari.

Ni ukweli usiopingika kuwa kuna changamoto kubwa kutumia gari kupita katika vijiji na miji yote.

Ni ukweli usio na shaka kuwa kuna wanaoombea apate ajali iwe ya kimazingira au kimazingara.

Ukweli huo usipuuzwe na CCM ichukue hatua kwa kuongeza ulinzi kwa rais mtarajiwa ikiwa ni pamoja na timu ya mafundi watakaokuwa wanalikaguwa gari la mgombea kila mara.

All in All Jembe la vita lisiwe na wasiwasi na liendelee na kazi tu!

Mungu akikuita, hata uweke walinzi wenye vifaru atakuchukua katikati ya vifaru na hao askari wakishuhudia. Hata uzungukwe na tunguli za waganga wote, atakuchukua ukiwa katikati ya tunguli na tunguli zisifanye chochote. Ni Mungu wa miungu, watu wanatembelea gari ambazo risasi haipenyi lakini Mungu akisema njoo hata uwe kwenye gari ambayo haipenyi risasi, unalala kwenye nyumba ambayo haipenyi risasi, akikuita, utaondoka tu. Hakuna mwanadamu anayeweza kuzuia kifo cha mwanadamu mwenzie isipokuwa Mungu tu. Na ulinzi mkuu wa mwanadamu unatoka kwa Mungu tu lakini si kwa wanadamu hawa wenye bunduki.
 
Wengi tunafahamu mgombea wa CCM ameweza kuwafikia watanzania wengi kwa kutumia usafiri wa gari.

Ni ukweli usiopingika kuwa kuna changamoto kubwa kutumia gari kupita katika vijiji na miji yote.

Ni ukweli usio na shaka kuwa kuna wanaoombea apate ajali iwe ya kimazingira au kimazingara.

Ukweli huo usipuuzwe na CCM ichukue hatua kwa kuongeza ulinzi kwa rais mtarajiwa ikiwa ni pamoja na timu ya mafundi watakaokuwa wanalikaguwa gari la mgombea kila mara.

All in All Jembe la vita lisiwe na wasiwasi na liendelee na kazi tu!
hivi wewe ndiye jingalao kweli?
 
Last edited by a moderator:
Sasa wamuongezee kwanini wakati hata akipita sehemu kimya hakuna anaeshtuka
 
Unazani sielewi nilichomanisha,? Nendeni hako na kazi yenu ya kuwatoa duniani wapinzani wenu eti wanawaita wagojwa,kama ingekuwa hivyo sijui waliomsema kikwete alipoanguka wageisha duniani

Kwani Mtikila nae alikuwa anagombea urais kumbeee........
Akili.za kuambiwa......(jk,20..)
 
Mungu akikuita, hata uweke walinzi wenye vifaru atakuchukua katikati ya vifaru na hao askari wakishuhudia. Hata uzungukwe na tunguli za waganga wote, atakuchukua ukiwa katikati ya tunguli na tunguli zisifanye chochote. Ni Mungu wa miungu, watu wanatembelea gari ambazo risasi haipenyi lakini Mungu akisema njoo hata uwe kwenye gari ambayo haipenyi risasi, unalala kwenye nyumba ambayo haipenyi risasi, akikuita, utaondoka tu. Hakuna mwanadamu anayeweza kuzuia kifo cha mwanadamu mwenzie isipokuwa Mungu tu. Na ulinzi mkuu wa mwanadamu unatoka kwa Mungu tu lakini si kwa wanadamu hawa wenye bunduki.

Sio kila kifo ni kwampango wa mungu zingine ni hila za binadamu wakishilikiana na shetani
 
Ni kweli kuna watu suala la kuingia ikulu ni la kufa na kupona .
 
Wengi tunafahamu mgombea wa CCM ameweza kuwafikia watanzania wengi kwa kutumia usafiri wa gari.

Ni ukweli usiopingika kuwa kuna changamoto kubwa kutumia gari kupita katika vijiji na miji yote.

Ni ukweli usio na shaka kuwa kuna wanaoombea apate ajali iwe ya kimazingira au kimazingara.

Ukweli huo usipuuzwe na CCM ichukue hatua kwa kuongeza ulinzi kwa rais mtarajiwa ikiwa ni pamoja na timu ya mafundi watakaokuwa wanalikaguwa gari la mgombea kila mara.

All in All Jembe la vita lisiwe na wasiwasi na liendelee na kazi tu!


we kilaza unaomba ulinzi wa magufuli humu JF?
 
Mabadiliko yaliyo bora yataletwa na Magufuli kwa kuchapa kazi tu.

chini ya chama kipi ccm au chama magufuri? hivi magufuri anao ubavu wa kuyakemea mafisadi yaliyojificha ndani ya ccm?
 
Ha ha ha. kila nafsi itaonja mauti muda ukifika! basi mtumie Mungu ki memo mwambie magu anagombea uraisi hasipatwe na dhahama yoyote ata homa! ! Ccm mna uelewa mdgo saaana! ! Elimu elimu elimu.
 
Back
Top Bottom