WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Wakuu nina miaka 6 kazini, lakini naona hata nikiacha kazi leo sina future wala hela ya kula mwezi mmoja.
Nilianza na mshahara wa laki 6 leo nina mshahara wa 2.9M lakini hadi leo sina project wala uwekezaji wowote.
Nimeishia kujenga nyumba mbili tu moja kijijini nyingine mjini na zote hazijakamilika yaani zimepauliwa tu zikaishia hapo hapo.
Sijui nakosea wapi mshahara ukitoka haumalizi siku moja unakatika...madeni, bills na changamoto za ndugu.
Nilianzisha kibiashara ya consultation niliishia kupata mteja mmoja tu hadi leo hamna.
Wakuu nifanyaje maana sioni mbele na familia inazidi kukua...
Sina gari, sinywi pombe na sina uraibu wa aina yoyote hata mademu pia...ila pesa ndo hamna muda wote
Nilianza na mshahara wa laki 6 leo nina mshahara wa 2.9M lakini hadi leo sina project wala uwekezaji wowote.
Nimeishia kujenga nyumba mbili tu moja kijijini nyingine mjini na zote hazijakamilika yaani zimepauliwa tu zikaishia hapo hapo.
Sijui nakosea wapi mshahara ukitoka haumalizi siku moja unakatika...madeni, bills na changamoto za ndugu.
Nilianzisha kibiashara ya consultation niliishia kupata mteja mmoja tu hadi leo hamna.
Wakuu nifanyaje maana sioni mbele na familia inazidi kukua...
Sina gari, sinywi pombe na sina uraibu wa aina yoyote hata mademu pia...ila pesa ndo hamna muda wote