Ushauri: Miaka 6 kazini, mishahara haikutani

Ushauri: Miaka 6 kazini, mishahara haikutani

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,433
Reaction score
1,442
Wakuu nina miaka 6 kazini, lakini naona hata nikiacha kazi leo sina future wala hela ya kula mwezi mmoja.

Nilianza na mshahara wa laki 6 leo nina mshahara wa 2.9M lakini hadi leo sina project wala uwekezaji wowote.
Nimeishia kujenga nyumba mbili tu moja kijijini nyingine mjini na zote hazijakamilika yaani zimepauliwa tu zikaishia hapo hapo.

Sijui nakosea wapi mshahara ukitoka haumalizi siku moja unakatika...madeni, bills na changamoto za ndugu.
Nilianzisha kibiashara ya consultation niliishia kupata mteja mmoja tu hadi leo hamna.

Wakuu nifanyaje maana sioni mbele na familia inazidi kukua...
Sina gari, sinywi pombe na sina uraibu wa aina yoyote hata mademu pia...ila pesa ndo hamna muda wote
 
Bonge LA mshaharaaaa ningelipata Mimi hilo aiseee! Daaaah
Pole sana... We endekeza tu changamoto za ndugu cjanye mwemaaaa!!!! Utakuja lia
Mshahara wote huo madeni ya nini babaa punguza matumizi!
 
Duh!! Kupanga ni Kuchagua bro weka malengo na Pangilia mambo yako kwa usahihi, na mambo mengine yasiyo ya msingi unaeza kuyapunguza.
 
Pole sana ni changamoto tu ambayo unaweza itatua. Kwa chini pangilia pesa yako! Pesa hyo ni nyingi sana na inaweza kukusaidia kusogea pahala. Weka utaratibu mzuri wa kuhudumia ndugu km uko na mke, mshahara ukitoka mkabidhi mil.

Moja ya kuhudumia chakula cha hapo nyumbani ,bills za maji na umeme kwa mwez mmoja kisha ndugu zako wawekee budget km ulikuwa una spend more than 500,000 kwa ndugu ipunguze tu half of it na uwe mkali kidogo ili isaidie pia ndugu kujishughulisha.

Kwa maana hyo anzia leo save laki tano tano kila mwez,assume unapokea mshahara wa pungufu ya laki tano kisha save. Easy sana mbona halafu hyo pesa mingi mnooo
 
Kuna watu wana miaka 25 hawajafika hata milioni katika mshahara wao lakini wamejenga, kusomesha na hata kununua usafiri.
 
Wakuu nina miaka 6 kazini, lakini naona hata nikiacha kazi leo sina future wala hela ya kula mwezi mmoja.

Nilianza na mshahara wa laki 6 leo nina mshahara wa 2.9M lakini hadi leo sina project wala uwekezaji wowote.
Nimeishia kujenga nyumba mbili tu moja kijijini nyingine mjini na zote hazijakamilika yaani zimepauliwa tu zikaishia hapo hapo.

Sijui nakosea wapi mshahara ukitoka haumalizi siku moja unakatika...madeni, bills na changamoto za ndugu.
Nilianzisha kibiashara ya consultation niliishia kupata mteja mmoja tu hadi leo hamna.

Wakuu nifanyaje maana sioni mbele na familia inazidi kukua...
Sina gari, sinywi pombe na sina uraibu wa aina yoyote hata mademu pia...ila pesa ndo hamna muda wote

Mkuu 2.9Ml ni basic au take home
Ebu fafanua ili ushauriwe vizuri
Watu wasijeanza kuipigia hesabu 2.9M kukushauri kumne hiyo ni basic
Ebu fafanua kidogo,baada ya makato unabakiwa na kiasi gani?
 
Mali bila daftari utumika bila habari, mkuu kaa chini uanze kupanga unataka kufanya nn na kiasi gani nitakuwa na save.

Tatizo una matumizi madogo madogo ya hovyo ndio maana hata huwezi kumuambia mtu hela umefanyia nn ,hauwezi kuwa na kumbukumbu hiyo.

Hakuna haja yakupaniki bado ujachelewa unatakiwa uishi kulingana na mashahara wako pangilia vitu vya kufanya kabla mshahara aujatoka ukitoka unaenda kufanya bila hivyo itakuwa “wewe ni mchumia tumbo”

Hakuna anaefanikiwa bila kuwa na mpangilio wa matumizi yake.
 
Take home yako kwa sasa baada ya makato ndio mshahara wako.Hiyo inabidi uufanyie mahesabu makali ili mwezi uweze kuisha.By the way nyumba mbili si haba,naamini watoto watakuwa katika hatua mbali mbali za masomo.
Jaribu kwa makusudi kujivua kwenye madeni madogomadogo,uhamie kwenye hiyo nyumba yako ambayo hujakamilisha ili uokoe fedha za kodi zitumike kukamilisha nyumba yako.Nyumba ya kijijini achana nayo kwa sasa.
Anza na uwekezaji mdogo kabisa kama ufugaji wa kuku hapo nyumbani (mayai/nyama).Nunua bodaboda upambame na changamoto zake,utasogea taratibu kwenye uwekezaji mkubwa zaidi.
 
Utakua umerogwa wanakuharibu mkono then pesa inakua inapita tu haikai mkononi, hatua ya pili wanakusukumia kwenye mnyonyoro wa madeni yasiyoisha, kwa asieelewa lazima atapinga tu, binafsi hilo tatizo lilinisumbua kwa muda mrefu pesa haikai madeni mengi mipango mizuri lakini ukianza utekelezaji inafeli huku lawana kibao kwa ndugu na marafiki kwamba pesa unapeleka wapi? Tafuta Fundi mzuri amalize tatizo vinginezo hata ulipwe milion kumi kwa mwez hutafanya lolote la maana"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
 
Mkuu 2.9Ml ni basic au take home
Ebu fafanua ili ushauriwe vizuri
Watu wasijeanza kuipigia hesabu 2.9M kukushauri kumne hiyo ni basic
Ebu fafanua kidogo,baada ya makato unabakiwa na kiasi gani?
Mkuu hii ni basi, take home inakuja karibia 1 point something milioni
 
Tatizo ni changamoto za ndugu..
Wakuu nina miaka 6 kazini, lakini naona hata nikiacha kazi leo sina future wala hela ya kula mwezi mmoja.

Nilianza na mshahara wa laki 6 leo nina mshahara wa 2.9M lakini hadi leo sina project wala uwekezaji wowote.
Nimeishia kujenga nyumba mbili tu moja kijijini nyingine mjini na zote hazijakamilika yaani zimepauliwa tu zikaishia hapo hapo.

Sijui nakosea wapi mshahara ukitoka haumalizi siku moja unakatika...madeni, bills na changamoto za ndugu.
Nilianzisha kibiashara ya consultation niliishia kupata mteja mmoja tu hadi leo hamna.

Wakuu nifanyaje maana sioni mbele na familia inazidi kukua...
Sina gari, sinywi pombe na sina uraibu wa aina yoyote hata mademu pia...ila pesa ndo hamna muda wote
 
Mnatukosea sana asee tunaolipwa laki mbili. Yaan mtu unalipwa 2.9M afu unakuja kuomba ushauri kweli? Ebu kuweni serious kidogo.
 
Wakuu nina miaka 6 kazini, lakini naona hata nikiacha kazi leo sina future wala hela ya kula mwezi mmoja.

Nilianza na mshahara wa laki 6 leo nina mshahara wa 2.9M lakini hadi leo sina project wala uwekezaji wowote.
Nimeishia kujenga nyumba mbili tu moja kijijini nyingine mjini na zote hazijakamilika yaani zimepauliwa tu zikaishia hapo hapo.

Sijui nakosea wapi mshahara ukitoka haumalizi siku moja unakatika...madeni, bills na changamoto za ndugu.
Nilianzisha kibiashara ya consultation niliishia kupata mteja mmoja tu hadi leo hamna.

Wakuu nifanyaje maana sioni mbele na familia inazidi kukua...
Sina gari, sinywi pombe na sina uraibu wa aina yoyote hata mademu pia...ila pesa ndo hamna muda wote
Swali langu la kwanza mkuu, una mkopo katika taasisi yoyote?

Kama huna, basi angalia matumizi yako maana take home yako ni nzuri sana. Unaweza save hata laki nane kama huna matumizi mengi. Kama ni kuanzisha biashara jitahidi uanzishe biashara hata ya duka la rejareja la milioni 5 (japokuwa hii inategemea na eneo ulilopo na mzunguko wake) lakini ni bora uwe na chanzo cha mapato kingine tofauti na mshahara ndipo utaweza kuwasukuma hata ndugu zako. Lakini pia ni vema uwe na mipaka ya kuwasaidia ndugu maana ukweli utabaki kwamba huwezi kuyamaliza matatizo yao
 
Huu sasa ni ujinga hii mijadala imekuwa mingi kwann?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] malalamiko ya.mishahara imekuwa mingi sana mkuu.
Pole sana kwa unalopitia na nikuhakikishie kabisa hauko peke yako ni mtego ambao waajiriwa wengi wamenasa.
Hapo namba 1 ni kwamba una matumizi makubwa kuliko pesa uipatayo na kadri upatavyo pesa nyingi basi unakuta inakulazimisha kufanya matumizi makubwa pia.
Mengine unakuwa hata huna umuhimu nayo ila tu kwa kuwa pesa ipo basi wakuta umefanya.
Ku solve.
Hakikisha unapanga kabla matumizi ya mwezi.
Tenga kiasi kwa ajili ya dharura(kukopesha kutoa kwa rafiki na ndugu). Kiwe fixed hapa mtu atakayekuja baada ya hiyo hela kuishi hapati kitu.
Then jizoeshe kufanya matumizi ya kawaida ndipo utaona pesa yako inabaki.
Hakikisha wewe ndio una i control pesa na si pesa ina ku control wewe.
Pesa ni kama mpira wa miguu ule.Vile unaona mtu anauchezea na ku u control vile atakavyo wakati mwingine anashindwa hata dana dana moja unakuwa umemtoka mguuni.Tatizo linakuwa ni mchezaji na si mpira kwakuwa mpira hauna akili bali mchezaji ambaye anaweza tumia akili yake akaufanya anavyotaka ukatii.
Nb: Nidhamu ya pesa ni muhimu mno hapo
 
Utakua umerogwa wanakuharibu mkono then pesa inakua inapita tu haikai mkononi, hatua ya pili wanakusukumia kwenye mnyonyoro wa madeni yasiyoisha, kwa asieelewa lazima atapinga tu, binafsi hilo tatizo lilinisumbua kwa muda mrefu pesa haikai madeni mengi mipango mizuri lakini ukianza utekelezaji inafeli huku lawana kibao kwa ndugu na marafiki kwamba pesa unapeleka wapi? Tafuta Fundi mzuri amalize tatizo vinginezo hata ulipwe milion kumi kwa mwez hutafanya lolote la maana"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Mkuu nakuja PM
 
Back
Top Bottom