Ushauri: Miaka 6 kazini, mishahara haikutani

Mbona mshahara mkubwa sana huo mkuu, mimi nina 1.2 na Mishahara hukutana.. Ningekuwa na huo wako nazani nisengekuwa naendesha Crown Athlete bali Mercedes Benz au BMW
 
Hii coment naiscreenshot isiije kunipotea. Nilipoona huu uzi nilidhani nimeandika mimi kwa uwezo wa roho mtakatifu.
 
Mleta mada mkeo ni jobless? unaishi kwa sifa na kujitutumua kwa watu wakuone boss?
Kama huwezi fanya saving kwa salary hiyo hata ukilipwa 100M kwa mwezi bado utakuja kuomba ushauri humu ndani.
Hiyo consultation firm yako inajihusisha na nini?
Ukijibu hayo nakupa way forward!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…