cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,570
- 5,508
Wadau nimepata kafursa ka kuvuta kama milioni 20 hivi kipindi kigumu hiki cha magu hadi wanaume tumeona sifa kujiita "wanaume suruali" ili tusinyoyolewe.
Nilikua naomba michango yenu ya mawazo proper investment ambayo naweza wekeza ili nitakapoanza kukatwa mlolongo wa makato kama mwanafunzi wa marekani..kuanzia loan board,paye,nssf,hako kamkopo .. nibaki na stress kwa mawazo kipindi kinachobaki.
Natanguliza shukrani za dhati maana katika miaka yangu mitano ya uanachama JamiiForums haijawahi niangusha.
Nilikua naomba michango yenu ya mawazo proper investment ambayo naweza wekeza ili nitakapoanza kukatwa mlolongo wa makato kama mwanafunzi wa marekani..kuanzia loan board,paye,nssf,hako kamkopo .. nibaki na stress kwa mawazo kipindi kinachobaki.
Natanguliza shukrani za dhati maana katika miaka yangu mitano ya uanachama JamiiForums haijawahi niangusha.