USHAURI: Mke wangu anamatumizi makubwa ya fedha yanayosababisha tuwe tunagombana sana

USHAURI: Mke wangu anamatumizi makubwa ya fedha yanayosababisha tuwe tunagombana sana

Ila we jamaa unaondokaje kwako unasafiri na unalala huko huko unarudi kesho yake usiku alafu unataka maisha yaendelee tu kama kawaida tu yaani, kama hakuna kilichotokea yaani

We angekufanyia hivyo ungeweza kuendelea tu kucheka nae na ishu zingine tu kama kawaida?
 
Kuna uzi hapa unaelezea kuhusu hii changamoto ngoja nikautafute nilete hapa link.
 
 
Mimi nimeoa na naishi ya familia yangu, wote tumeajiriwa ila wife ndiye aliyenifuata mahali ninafanyia kazi. Tumegombana na huwa tunagombana mara Kwa mara shida kubwa mwenzangu Huwa anamatumizi makubwa kuzidi kipato chetu.

Na mara nyingi nimekuwa nikimwelewesha anakuwa mbishi mpaka anakopa halafu mwisho wa siku mlipaji ni mimi, juzi aliniudhi nilikuwa na safari yangu nikiondoka home bila ya kumweleza napokwenda, ila kesho yake usiku nikawa nimerudi.

Sasa mwenzangu naona amefura anataka kuomba kuhama kmya kmya nibaki peke yangu, Wala haongei na mimi chochote tokea juzi, Sasa kwenye mazingira ya namna hii nifanyeje?
Wewe kwanini hukumuaga. Halafu shida yako ni matumizi yake makubwa au kutaka kwake kuondok kwa sababu hujamuaga?
 
Hujaeleza hayo matumizi mabaya ya fedha ni yapi. Inakuwa ngumu kukushauri
 
Mimi nimeoa na naishi ya familia yangu, wote tumeajiriwa ila wife ndiye aliyenifuata mahali ninafanyia kazi. Tumegombana na huwa tunagombana mara Kwa mara shida kubwa mwenzangu Huwa anamatumizi makubwa kuzidi kipato chetu.

Na mara nyingi nimekuwa nikimwelewesha anakuwa mbishi mpaka anakopa halafu mwisho wa siku mlipaji ni mimi, juzi aliniudhi nilikuwa na safari yangu nikiondoka home bila ya kumweleza napokwenda, ila kesho yake usiku nikawa nimerudi.

Sasa mwenzangu naona amefura anataka kuomba kuhama kmya kmya nibaki peke yangu, Wala haongei na mimi chochote tokea juzi, Sasa kwenye mazingira ya namna hii nifanyeje?

Wahusishe washauri wenu walioshuhudia ndoa yenu ikifungwa
 
Njia nzuri ya kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima ni kuwa na Bajeti yenu ya Mwezi mzima as umesema wote nyinyi ni Waajiriwa.

Mfano mna mshahara wa 1,500,000 kwa pamoja then mnaweka mpangilio wa Bajeti yenu kwa kutenga hela za;
  1. Chakula 25%
  2. Kodi 5%
  3. Mavazi 10%
  4. Akiba 35%
  5. Ving'amuzi, vocha
  6. .......n.k
Binafsi natumia njia hiyo, nawe ukipenda unaweza kutumia pia. Kingine namkabidhi hela yote ya matumizi ya mwezi mzima, kwahiyo hatoweza kufanya tofauti.
 
Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu.

Mithali 9:13
 
Njia nzuri ya kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima ni kuwa na Bajeti yenu ya Mwezi mzima as umesema wote nyinyi ni Waajiriwa.

Mfano mna mshahara wa 1,500,000 kwa pamoja then mnaweka mpangilio wa Bajeti yenu kwa kutenga hela za;
  1. Chakula 25%
  2. Kodi 5%
  3. Mavazi 10%
  4. Akiba 35%
  5. Ving'amuzi, vocha
  6. .......n.k
Binafsi natumia njia hiyo, nawe ukipenda unaweza kutumia pia. Kingine namkabidhi hela yote ya matumizi ya mwezi mzima, kwahiyo hatoweza kufanya tofauti.
Percentage ya chakula ina kila kitu ndani? Bora saving ingekua 25% chakula 40% kodi pia Inategemea ukubwa wa familia
 
Back
Top Bottom