Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
TufafanulieEndeleeni kunipa sababu za kusubiri zaidi na kutafakari kuhusu ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TufafanulieEndeleeni kunipa sababu za kusubiri zaidi na kutafakari kuhusu ndoa.
Piga chini ana mtu anaempa jeuri hata hayo matumiziMimi nimeoa na naishi ya familia yangu, wote tumeajiriwa ila wife ndiye aliyenifuata mahali ninafanyia kazi. Tumegombana na huwa tunagombana mara Kwa mara shida kubwa mwenzangu Huwa anamatumizi makubwa kuzidi kipato chetu.
Na mara nyingi nimekuwa nikimwelewesha anakuwa mbishi mpaka anakopa halafu mwisho wa siku mlipaji ni mimi, juzi aliniudhi nilikuwa na safari yangu nikiondoka home bila ya kumweleza napokwenda, ila kesho yake usiku nikawa nimerudi.
Sasa mwenzangu naona amefura anataka kuomba kuhama kmya kmya nibaki peke yangu, Wala haongei na mimi chochote tokea juzi, Sasa kwenye mazingira ya namna hii nifanyeje?
Ataenda kugawa urodaMimi nina kawaida yangu, ukiharibu kitu wewe ndo utalipa
Ukitumia nje ya makubaliano utajua utavyolipa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mwanamke akishakuwa na matumizi makubwa,simply ni kwamba anatamaa,na mwanamke mwenye tamaa huwa haoni kazi kufanya uovu kuitimiza tamaa yake ,huo ni mtihani,huyo sio mwanamke ni kibaraka wa ndoa,"" Tunaishi na wake za watu ambao wapo katika sura nafiki ya wake zetu,akikuzingua mzingue,akikusumbua mpumzishe"Mimi nimeoa na naishi ya familia yangu, wote tumeajiriwa ila wife ndiye aliyenifuata mahali ninafanyia kazi. Tumegombana na huwa tunagombana mara Kwa mara shida kubwa mwenzangu Huwa anamatumizi makubwa kuzidi kipato chetu.
Na mara nyingi nimekuwa nikimwelewesha anakuwa mbishi mpaka anakopa halafu mwisho wa siku mlipaji ni mimi, juzi aliniudhi nilikuwa na safari yangu nikiondoka home bila ya kumweleza napokwenda, ila kesho yake usiku nikawa nimerudi.
Sasa mwenzangu naona amefura anataka kuomba kuhama kmya kmya nibaki peke yangu, Wala haongei na mimi chochote tokea juzi, Sasa kwenye mazingira ya namna hii nifanyeje?
Afukuze kama alivyofanya mfalme Ahasuero kwa mrembo Vashti na kuopoa mrembo mpya Ester. Hakuna jipya chini ya jua, kumbe yale yaliyokuwepo ndio yaliyopo.Hakuna kubembeleza mwanamke
Fukuza huyo akajifunze adabu kwanza.