Hata kama ndiyo aondoke bila kuaga?Saikologia inasema hivi km mtu amekuchoka.
1.anamipango mingine nje ya alipo
2.amejiandaa kimaisha na anauhakika hata usipokuwepo ataidshi tu...
Asingeweza au kamchoka mkewe labda.Ila we jamaa unaondokaje kwako unasafiri na unalala huko huko unarudi kesho yake usiku alafu unataka maisha yaendelee tu kama kawaida tu yaani...
Tumia busara kuziweza akili za mkeo.Mimi nimeoa na naishi ya familia yangu, wote tumeajiriwa ila wife ndiye aliyenifuata mahali ninafanyia kazi...
Wewe kwanini hukumuaga. Halafu shida yako ni matumizi yake makubwa au kutaka kwake kuondok kwa sababu hujamuaga?Mimi nimeoa na naishi ya familia yangu, wote tumeajiriwa ila wife ndiye aliyenifuata mahali ninafanyia kazi. Tumegombana na huwa tunagombana mara Kwa mara shida kubwa mwenzangu Huwa anamatumizi makubwa kuzidi kipato chetu.
Na mara nyingi nimekuwa nikimwelewesha anakuwa mbishi mpaka anakopa halafu mwisho wa siku mlipaji ni mimi, juzi aliniudhi nilikuwa na safari yangu nikiondoka home bila ya kumweleza napokwenda, ila kesho yake usiku nikawa nimerudi.
Sasa mwenzangu naona amefura anataka kuomba kuhama kmya kmya nibaki peke yangu, Wala haongei na mimi chochote tokea juzi, Sasa kwenye mazingira ya namna hii nifanyeje?
Mimi nimeoa na naishi ya familia yangu, wote tumeajiriwa ila wife ndiye aliyenifuata mahali ninafanyia kazi. Tumegombana na huwa tunagombana mara Kwa mara shida kubwa mwenzangu Huwa anamatumizi makubwa kuzidi kipato chetu.
Na mara nyingi nimekuwa nikimwelewesha anakuwa mbishi mpaka anakopa halafu mwisho wa siku mlipaji ni mimi, juzi aliniudhi nilikuwa na safari yangu nikiondoka home bila ya kumweleza napokwenda, ila kesho yake usiku nikawa nimerudi.
Sasa mwenzangu naona amefura anataka kuomba kuhama kmya kmya nibaki peke yangu, Wala haongei na mimi chochote tokea juzi, Sasa kwenye mazingira ya namna hii nifanyeje?
Percentage ya chakula ina kila kitu ndani? Bora saving ingekua 25% chakula 40% kodi pia Inategemea ukubwa wa familiaNjia nzuri ya kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima ni kuwa na Bajeti yenu ya Mwezi mzima as umesema wote nyinyi ni Waajiriwa.
Mfano mna mshahara wa 1,500,000 kwa pamoja then mnaweka mpangilio wa Bajeti yenu kwa kutenga hela za;
Binafsi natumia njia hiyo, nawe ukipenda unaweza kutumia pia. Kingine namkabidhi hela yote ya matumizi ya mwezi mzima, kwahiyo hatoweza kufanya tofauti.
- Chakula 25%
- Kodi 5%
- Mavazi 10%
- Akiba 35%
- Ving'amuzi, vocha
- .......n.k
Nilikuwa namtolea mfano wa Bajeti tu, anaweza kuboresha tu kwenye uhalisia.Percentage ya chakula ina kila kitu ndani? Bora saving ingekua 25% chakula 40% kodi pia Inategemea ukubwa wa familia
NAKAZIAkataa ndoa