Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu hapo taa nyekundu imewaka cha msingi pia nowadays DNA TEST NAFUUNmegundua kwamba mke wangu wanawasiliana na ex wake nligundua baada yakuchunguza nkamkataza Ila nkachunguza nkagundua bado Wana mawasiliano mana meseg zinaonekana ni za kimapenzi isitoshe mke wangu ana mimba ya Miezi miwili ushauri wenu wadau nko juu ya mawe
Kama Ni wewe ungechukua uamuzi gani?Hivi wanaume siku hizi tumekuwaje au tunerogwa?
Yaani na hili ni la kuja kuomba ushauri kweli?
Najua jinsi unavyoumia kwa hayo ayafanyao mke wako. Lakini utapata faraja kubwa kwa kumuomba Mungu wako akuondolea madhila yote yanaiyokabili ndoa yako.Nimegundua kwamba mke wangu wanawasiliana na ex wake. Niligundua baada ya kuchunguza nikamkataza, Ila nikachunguza nikagundua bado wana mawasiliano mana meseg zinaonekana ni za kimapenzi, isitoshe mke wangu ana mimba ya miezi miwili.
Ushauri wenu wadau, niko juu ya mawe.
Wanakuwaga na akili baada ya kuachwa ukosa vyote ex na mume pia.Ameshaipata ndoa hana wasiwasi,na huo ni mwanzo tu wa mapichapicha,utashuhudia mengi sana,ila akishajikuta yuko nje katemwa ndio akili itamrudia,ataanza kukujia akiomba misamaha na machozi juu akidai ilikuwa ni shetani...
umekwisha boss yani mkeo ana mahusiano ya kimapenz ya ex wake...Nimegundua kwamba mke wangu wanawasiliana na ex wake. Niligundua baada ya kuchunguza nikamkataza, Ila nikachunguza nikagundua bado wana mawasiliano mana meseg zinaonekana ni za kimapenzi, isitoshe mke wangu ana mimba ya miezi miwili.
Ushauri wenu wadau, niko juu ya mawe.
This is why I will not get marriedNimegundua kwamba mke wangu wanawasiliana na ex wake. Niligundua baada ya kuchunguza nikamkataza, Ila nikachunguza nikagundua bado wana mawasiliano mana meseg zinaonekana ni za kimapenzi, isitoshe mke wangu ana mimba ya miezi miwili.
Ushauri wenu wadau, niko juu ya mawe.
I feel your pain brother, pole sanaNimegundua kwamba mke wangu wanawasiliana na ex wake. Niligundua baada ya kuchunguza nikamkataza, Ila nikachunguza nikagundua bado wana mawasiliano mana meseg zinaonekana ni za kimapenzi, isitoshe mke wangu ana mimba ya miezi miwili.
Ushauri wenu wadau, niko juu ya mawe.
Kwenye uchumba kuna uongo mwingiR.i.p
Mimba ni ya huyo anayewasiliana naye mara kwa mara.
Wewe ulimpenda lakini yeye hajakupenda.
Chagua mke akupendaye sio umpendaye