Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
DaaaahhhKwenye uchumba kuna uongo mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaaahhhKwenye uchumba kuna uongo mwingi
Una hela?Nimegundua kwamba mke wangu wanawasiliana na ex wake. Niligundua baada ya kuchunguza nikamkataza, Ila nikachunguza nikagundua bado wana mawasiliano mana meseg zinaonekana ni za kimapenzi, isitoshe mke wangu ana mimba ya miezi miwili.
Ushauri wenu wadau, niko juu ya mawe.
Hivi wanaume siku hizi tumekuwaje au tunerogwa?
Yaani na hili ni la kuja kuomba ushauri kweli?
Kabisa, hiyo si Iko wazi kabisa jamaa ameoa mke wa mtu?Hivi wanaume siku hizi tumekuwaje au tunerogwa?
Yaani na hili ni la kuja kuomba ushauri kweli?
Hivi mwanamke asiye weza kutii amri yangu ni wa nn kwenye maisha yangu.Kama Ni wewe ungechukua uamuzi gani?
Hata Kama una watoto nae bro?Hivi mwanamke asiye weza kutii amri yangu ni wa nn kwenye maisha yangu.
Sasa broo tukushauri nini, subiri ulee watoto wa mwanaume mwezio, au umbukizwe ukimwi.Nimegundua kwamba mke wangu wanawasiliana na ex wake. Niligundua baada ya kuchunguza nikamkataza, Ila nikachunguza nikagundua bado wana mawasiliano mana meseg zinaonekana ni za kimapenzi, isitoshe mke wangu ana mimba ya miezi miwili.
Ushauri wenu wadau, niko juu ya mawe.
Unaropokaa maana hajakukutaaHivi wanaume siku hizi tumekuwaje au tunerogwa?
Yaani na hili ni la kuja kuomba ushauri kweli?