Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Ukiwa na mwanamke , akawa ana kucheat we jua mapenzi yao yanaenda kwa ajili wewe upo, hata Leo hii mwanaume ukaanza gonga mke wa mtu we jua unamla sababu Kuna mtu yupo anaempa mahitaji yote yule mwanamke akiachwa hata wewe huwezi kaa nae atakosa mahitaji yake mtaanza gombana