Ni mara kwa mara tunagombana kwani kuna mtu nawasiliana nae kwenye simu anahisi namahusiano nae ingawa si kweli. Ila hii kutoka ni mara ya kwanzaSababu ya ugomvi nini?
Je ni ugomvi wa mara ya Kwanza au mnazinguagana sana?
Ila kama kaondoka mwwnyewe mwache aende tu atarudi mwwnyewe
Ova
We muache akimbilie Jf soon atakuwa majivu na usiku huuKakufungia ndan kaondoka na funguo? Sasa unajuaje labda kaenda kununua petrol aje akuchomee ndani?
We ni mwanaume toka hapo ndan katafute pakulala kukikucha mrudishe kwao akapumzike maana kachoka kuish na wewe
Kachoka kuishi na weweNi mara kwa mara tunagombana kwani kuna mtu nawasiliana nae kwenye simu anahisi namahusiano nae ingawa si kweli. Ila hii kutoka ni mara ya kwanza
Sana kwahiyo nivumilie tu maana kuvunja mlango usiku huu ni vigumuDah ukiwaona wanavyonyenyekea siku ya harusi, hasa wanavyopeleka keki kuwalisha wakwe goti mpaka chini, sasa subiri akusome madhaifu yako apate na waalimu kutoka kwenye vikundi vya hisa [emoji3][emoji3][emoji3]
Simama hapo sebuleni juu ya meza jipige kifua mara 3 huku ukisema "mimi mi kenge"Sana kwahiyo nivumilie tu maana kuvunja mlango usiku huu ni vigumu
Uzi wa rickboy wa kula ki masikharaKuna mwamba kule kwenye Uzi wa Rikiboy alikula demu hivi hivi, wamegombana na mumewe mke akatoka nje kwa hasira akamwacha mume ndani Sasa huyo jamaa mwingine alikuwa anarud kwenye mishe zake akamkuta demu anamawazo hajui hata aende wapi usiku mkubwa jirani akamvuta geto akamtafuna mpaka asbhi Kisha demu akarud kwa mumewe maisha yakaendelea, hatar sana hizi ndoa.
Duh ndo unanizidisha mawazo kakaKuna mwamba kule kwenye Uzi wa Rikiboy alikula demu hivi hivi, wamegombana na mumewe mke akatoka nje kwa hasira akamwacha mume ndani Sasa huyo jamaa mwingine alikuwa anarud kwenye mishe zake akamkuta demu anamawazo hajui hata aende wapi usiku mkubwa jirani akamvuta geto akamtafuna mpaka asbhi Kisha demu akarud kwa mumewe maisha yakaendelea, hatar sana hizi ndoa.
Ndio hivyo jiandae kisaikolojia, demu akiwa na stress hasa za mapenz ukiwa smart ni rahisi sana kumu win.Duh ndo unanizidisha mawazo kaka