Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
=======
Kwa ushauri zaidi soma: Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
=======
Kwa ushauri zaidi soma: Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute