Mtoa mada,
Unatakiwa ukapitie ule Uzi wa jamaa was saikolojia ya wanawake.
Mwanamke anapenda Sana umuelewe automatic anataka Nini, na usipomuelewa ndo lawama kama hizi.
Anahisi unamfanyia kusudi.
Nilivomuelewa,
Ni kwamba mwenzio amekumiss Sana (ana nyege), Sema kusema straight Ndo Changamoto.
Ndo maana kajizungusha kua anataka kusafiri, alitegemea ukamwambia aje uliko.
Kwaiyo kwa Akili yake,
akajua straight, hujamiss na hutaki aje coz huenda una mwanamke uko ulipo unamsasambua usiku na mchana bila stress.
Kwaiyo,
Apo alpokwambia atajua Cha kufanya na hatakusumbua Tena.
Maana ake na yeye atatafuta afanyeje amalize nyege zake hizo uku alipo, wee uendelee na mambo yako.
Na probably, mwanamke mpweke alikupa majibu hayo. Jua anamaanisha na Yuko serious.
Ukizembea,
Wahuni kibao Wana nyege mtaani, na yeye Atatafta shababi wake mmoja awe anamkaza uko alipo ili ngoma iwe droo.
My take: Hawa wanawake TUISHI NAO KWA AKILI