Ushauri: Mpenzi wangu ataniua!

Ushauri: Mpenzi wangu ataniua!

Ndivyo wanawake tulivyo. Lile swali lake lilikua linauliza kinyume. Alimaanisha natamani nisafiri nije huko ila ndo akaandika vile akitegemea utamwambia njoo huku mpnz ila ulivyojibu vile tayari kichwa chake kimebeba picha nyingine. Kweli mlipoambiwa muishi na sisi kwa akili, including these shits. We are not always straight
Ameen! Haleluyaaaa
 
Hakuna cha kukufanya ufe apo labda tu kama una kiherehere cha kutaka kufa, kakutext anatamani kusafiri ila hana pa kwenda! Alimaanisha wewe umruhusu aje huko ulipo badala yake we ukajibu mafyongoo😏

😝
Walahi labda awe na sababu nyingine hili si la kumuua
 
Hakuna cha kukufanya ufe apo labda tu kama una kiherehere cha kutaka kufa, kakutext anatamani kusafiri ila hana pa kwenda! Alimaanisha wewe umruhusu aje huko ulipo badala yake we ukajibu mafyongoo[emoji57]
Maana ake alimaanisha ana nyege anahitaji kutombwer.

Sasa mtoa mada Sijui kichwa Maji?

Kushindwa Kabisa kung'amua Hilo.
 
Ukitaka kumuweza kaa kimya acha ahangaike yeye.

Wanawake tuna tabia mbovu ya kuwapa stress wenzetu na hasa tukijua tunapendwa na wana mipango na sisi.

Jikaze kabisa usimtext wala usimpigie uone atanyooka mwenyewe. The last thing you need right now ni stress na manipulation wakati hawezi kukuacha miaka 3 ni mingi na ndoa anaitaka sana.
 
Maana ake alimaanisha ana nyege anahitaji kutombwer.

Sasa mtoa mada Sijui kichwa Maji?

Kushindwa Kabisa kung'amua Hilo.
Wala sio kichwa maji.

Sisi wanawake tunaweza kukupa hint tu ya tunachokitaka wakati wanaume wanapenda straightforwardness

Black is black and white is white sasa sisi tunapenda kutembelea gray.
 
Mtoa mada,
Unatakiwa ukapitie ule Uzi wa jamaa was saikolojia ya wanawake.

Mwanamke anapenda Sana umuelewe automatic anataka Nini, na usipomuelewa ndo lawama kama hizi.

Anahisi unamfanyia kusudi.

Nilivomuelewa,
Ni kwamba mwenzio amekumiss Sana (ana nyege), Sema kusema straight Ndo Changamoto.

Ndo maana kajizungusha kua anataka kusafiri, alitegemea ukamwambia aje uliko.

Kwaiyo kwa Akili yake,
akajua straight, hujamiss na hutaki aje coz huenda una mwanamke uko ulipo unamsasambua usiku na mchana bila stress.

Kwaiyo,
Apo alpokwambia atajua Cha kufanya na hatakusumbua Tena.

Maana ake na yeye atatafuta afanyeje amalize nyege zake hizo uku alipo, wee uendelee na mambo yako.

Na probably, mwanamke mpweke alikupa majibu hayo. Jua anamaanisha na Yuko serious.

Ukizembea,
Wahuni kibao Wana nyege mtaani, na yeye Atatafta shababi wake mmoja awe anamkaza uko alipo ili ngoma iwe droo.

My take: Hawa wanawake TUISHI NAO KWA AKILI
 
Wala sio kichwa maji.

Sisi wanawake tunaweza kukupa hint tu ya tunachokitaka wakati wanaume wanapenda straightforwardness

Black is black and white is white sasa sisi tunapenda kutembelea gray.
Gray, means not white and not black[emoji2].

Uko sahii Kabisa mkuu Karucee
 
poovuuu imekuuma jipe dok
Pole yako dear...kama unahisi imeniuma...ukipiga hatua flani mwenzio hajapiga sio kumnanga naye ni binadamu na ukute kakuzidi vingi tu na degree yako or whatever....sio kama sina elimu unayofikiria we unayo na ukute hata kusoma kwako umebebwa na vyuo vya private wenye kuchukuaga ata three za 17....
 
Ukitaka kumuweza kaa kimya acha ahangaike yeye.

Wanawake tuna tabia mbovu ya kuwapa stress wenzetu na hasa tukijua tunapendwa na wana mipango na sisi.

Jikaze kabisa usimtext wala usimpigie uone atanyooka mwenyewe. The last thing you need right now ni stress na manipulation wakati hawezi kukuacha miaka 3 ni mingi na ndoa anaitaka sana.
Mkuu,
Uyu mwanamke ana nyege.

Mshkaji akizembea kuchapiwa Ni nje nje.

Mwanamke akiwa na stress anaweza kuchukua maamuz yake anayoyajua mwenyewe afu baadae akaja kuregret kwa maamuz yake Ayo Ayo.

Jamaa anapaswa kutumia Akili kuresolve hili suala.
 
Mjibu hivi

"Sawa naendelea kupambana na sitachoka kupambana"
 
Mkuu,
Uyu mwanamke ana nyege.

Mshkaji akizembea kuchapiwa Ni nje nje.

Mwanamke akiwa na stress anaweza kuchukua maamuz yake anayoyajua mwenyewe afu baadae akaja kuregret kwa maamuz yake Ayo Ayo.

Jamaa anapaswa kutumia Akili kuresolve hili suala.
Sisi ni binaadamu na wala sio mbuzi ama kuku kwamba nyege zikitupanda hapo hapo tunapandwa na yeyote.

Alishindwa kuongea na mwenzie kwa utaratibu na kumwambia shida yake?

Miaka 3 yote uishie kupigwa miti ovyo kisa nini?
 
Back
Top Bottom