Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Vipi kuhusu Mambo mengine Kama kupika,kukufulia....siku ya Kwanza unakula mzigo ulimpigaje sound?
 
Nilikuwaga na dem miezi 3 lakini hata jina langu alikuwa halifahamu, da! kuna watu wa ajabu kweli.
 
Kuna uzi uliletwa humu kwamba wanawake hawana content! Sasa sipati picha ukishamuoa, siku akianza kununa humo ndani itakuwaje!
 
Na akiwa muongeaji utalalamika anaupepeta mnoo
 
Badilika style ya maisha yako , ila me nnae kama huyo lakin saiv anaongea normal 2 , just ni jambo la mda uscheke cheke sana usiongee sana afu kua straight yan mchane nigga hufagilii vyenye alivyo , mood swings ,
 
Nikajua nipo peke yangu.....

Mpaka mawifi zake kulalamika ......
Nikawaambia mumzoee tu.....yupo hivyo Toka nakutana nae mpk mnavyomuona.....
 
Dah ungenipata mimi nadhani ungejuta tena yaani hata ukiwa kazini napiga simu nakupa umbea
 
Muache,ila mtengenezee mazingira yakukuzoea zaidi hakuna haja yakumuacha kisa mkimya,utakutana na mwenye makelele utaanza kulia tena kama king’ora cha ambulance,huyo ndio mke sasa
 
Sio atakua ni reality kamzidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…