Ushauri: Mpenzi wangu nilietaka kumuoa ameondoka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine

Ushauri: Mpenzi wangu nilietaka kumuoa ameondoka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine

ktroshaban

Member
Joined
Nov 6, 2015
Posts
42
Reaction score
95
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.

Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.

Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.

1620633125257.png

 
Blaza una sh ngapi kwenye acc yako? Tafuta pesa mze ukichanganya wivu na umaskini utateseka sana, nilichoelewa hapo inayokuuma ni nauli uliyotuma.
Sio kila kitu ni kuhusu "pesa" Aladeen04. Kuna wakati sio hata pesa inaweza kuokoa mahusiano yako.

Mimi nimwelewa OP. Haumii kwa ajili ya pesa ila anaumia kwa sababu amemsogeza karibu ili aishi nae lakini mnufaikaji ni mwingine. Lakini kikubwa bado anampenda huyo mpenzi wake.
 
KINACHONIUMA SIO PESA JAMN
NI HAYA MAWAZO NILONAYO JUU YAKEE JMN
SIFANYI MAMBO YANGU
NAMUWAZA YEYE KILA WAKATII
MPKA NAUMWA HV ˢᴬˢᴬ

ᴷʷᵃ ᵃˡⁱʸᵉʷᵃʰⁱ ᵏᵘᵗᵉⁿᵈʷᵃ ⁿᵃ ᵏᵘᵖⁱᵗⁱᵃ ʰᵃˡⁱ ᵏᵃᵐ ʸᵃⁿᵍᵘ ⁿᵃᵈʰᵃⁿⁱ ᵏᵃⁿⁱᵉˡᵉʷᵃ
ᴺᵈᵒ ⁿᵃᵒᵐᵇᵃ anishauri[emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
 
Sio kila kitu ni kuhusu "pesa" Aladeen04. Kuna wakati sio hata pesa inaweza kuokoa mahusiano yako.

Mimi nimwelewa OP. Haumii kwa ajili ya pesa ila anaumia kwa sababu amemsogeza karibu ili aishi nae lakini mnufaikaji ni mwingine. Lakini kikubwa bado anampenda huyo mpenzi wake.
Uko sahihi Paula Paul unadhani huyo binti angeenda kwa huyo jamaa mwingine kama jamaa angeweza kumuaccomodate?
 
Sio kila kitu ni kuhusu "pesa" Aladeen04. Kuna wakati sio hata pesa inaweza kuokoa mahusiano yako.

Mimi nimwelewa OP. Haumii kwa ajili ya pesa ila anaumia kwa sababu amemsogeza karibu ili aishi nae lakini mnufaikaji ni mwingine. Lakini kikubwa bado anampenda huyo mpenzi wake.
Kamsogezea fisi windo 😂😂😂
 
KINACHONIUMA SIO PESA JAMN
NI HAYA MAWAZO NILONAYO JUU YAKEE JMN
SIFANYI MAMBO YANGU
NAMUWAZA YEYE KILA WAKATII
MPKA NAUMWA HV ˢᴬˢᴬ

ᴷʷᵃ ᵃˡⁱʸᵉʷᵃʰⁱ ᵏᵘᵗᵉⁿᵈʷᵃ ⁿᵃ ᵏᵘᵖⁱᵗⁱᵃ ʰᵃˡⁱ ᵏᵃᵐ ʸᵃⁿᵍᵘ ⁿᵃᵈʰᵃⁿⁱ ᵏᵃⁿⁱᵉˡᵉʷᵃ
ᴺᵈᵒ ⁿᵃᵒᵐᵇᵃ anishauri[emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Mkuu pole sana kwa unachokipitia lakini naomba nikueleze vitu vichache Sana, moja njia ya kwanza ya kutatua tatizo ni kulikubali, Ninachoamini kama huyo mwanamke angekuwa na upendo wa dhati kwako asingeondoka kwako, hivyo kwa tafsiri sahihi ameku underrate wewe sio type yake na kuendelee kumfikiria whether arudi ni kujitengenezea maumivu baadae makubwa, kubali utulize akili, Mungu akuvushe utapata wa kwako
 
Sio kila kitu ni kuhusu "pesa" Aladeen04. Kuna wakati sio hata pesa inaweza kuokoa mahusiano yako.

Mimi nimwelewa OP. Haumii kwa ajili ya pesa ila anaumia kwa sababu amemsogeza karibu ili aishi nae lakini mnufaikaji ni mwingine. Lakini kikubwa bado anampenda huyo mpenzi wake.
You are a always on point big up [emoji108]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kila kitu ni kuhusu "pesa" Aladeen04. Kuna wakati sio hata pesa inaweza kuokoa mahusiano yako.

Mimi nimwelewa OP. Haumii kwa ajili ya pesa ila anaumia kwa sababu amemsogeza karibu ili aishi nae lakini mnufaikaji ni mwingine. Lakini kikubwa bado anampenda huyo mpenzi wake.
Huyo uliyemjibu ndiyo wale Migomba yaani hawezi kutumia ubongo wake
 
Never trust a woman bro,they are scam,wachache Sana wanaojielewa,Yupo Mungu bro yeye atafanya we tulia,majuto mjukuu,na usitafakari vyote ulivyomtendea kwamba ulikosea hapana,wewe ulitimiza wajibu wako awake,be at peace bro then acha Mungu atafanya kazi yake
 
NILIKUWA NA MPENZI WANGU
NIMEDUMU NAE MIAKA MIWILI
HATUKUJAALIWA KUPATA MTOTO
WAZAZI WANGU WALIMTAMBUA KAMA MKWE
NILIINGIA MIGUU YOTE MIWILI KATIKA PENZI LAKE NIKIDHANI NDO TAYARI CHAGUO LANGU
NILIMPENDA 𝘒𝘜𝘗𝘐𝘛𝘐𝘓𝘐𝘡𝘈
𝘏𝘐𝘝𝘐 𝘯𝘪𝘯𝘢𝘷𝘰𝘰𝘸𝘢𝘵𝘢𝘢𝘳𝘪𝘧𝘶 𝘬𝘢𝘦𝘯𝘥𝘢 𝘬𝘶𝘪𝘴𝘩𝘪 𝘯𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘢𝘶𝘮𝘦 𝘮𝘸𝘪𝘯𝘨𝘪𝘯𝘦 𝘵𝘦𝘯𝘢 𝘫𝘪𝘢𝘳𝘢𝘯𝘪
𝘞𝘢𝘬𝘢𝘵 𝘮𝘪𝘮𝘪 𝘯𝘥𝘰 𝘯𝘪𝘭𝘰𝘮𝘵𝘶𝘮𝘪𝘢 𝘯𝘢𝘶𝘭𝘪 𝘬𝘶𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘮𝘸𝘢𝘯𝘻𝘢 𝘬𝘪𝘳𝘶𝘮𝘣𝘢 𝘮𝘱𝘬 𝘥𝘢𝘳
𝘏𝘢𝘱𝘢 𝘯𝘪𝘯𝘢 𝘩𝘰𝘮𝘢 𝘺𝘢 𝘮𝘢𝘱𝘦𝘯𝘻𝘪
𝘔𝘢𝘸𝘢𝘻𝘰 𝘩𝘢𝘪𝘯𝘪𝘪𝘴𝘩𝘪 𝘫𝘶𝘶 𝘺𝘢𝘬𝘦, 𝘯𝘪𝘬𝘪𝘮𝘶𝘸𝘢𝘻𝘪𝘢 𝘢𝘳𝘶𝘥𝘪
𝘒𝘪𝘶𝘬𝘸𝘦𝘭𝘪 𝘩𝘢𝘭𝘪 𝘺𝘢𝘯𝘨𝘶 𝘴𝘪𝘰 𝘯𝘻𝘶𝘳𝘪 𝘫𝘶𝘶 𝘺𝘢 𝘶𝘱𝘦𝘯𝘥𝘰 𝘸𝘢 𝘩𝘶𝘺𝘰 𝘮𝘤𝘩𝘶𝘮𝘣𝘢 𝘸𝘢𝘯𝘨𝘶
𝘒𝘸𝘢 𝘬𝘪𝘧𝘶𝘱𝘪 𝘯𝘢𝘶𝘮𝘸𝘢 𝘯𝘢 𝘴𝘪𝘧𝘢𝘯𝘺𝘪 𝘮𝘢𝘮𝘣𝘰 𝘺𝘢𝘯𝘨𝘶𝘶 𝘯𝘢 𝘮𝘶𝘸𝘢𝘻𝘢𝘢 𝘵𝘶𝘶 𝘺𝘦𝘺𝘦
ᴺᴬᴼᴹᴮᴱᴺ ᵁˢᴴᴬᵁᴿᴵ ᴺᴰᵁᴳᵁ ᶻᴬᴺᴳᵁ
Fanya masturbate... Utabishukuru baadae...
 
Back
Top Bottom