mkosa shingo
Member
- Jan 26, 2021
- 93
- 127
Mbona mimi nimeumizwa zaidi ya mara moja nakosea wapi?That's the stage.. one time utakuja mwenyewe kwenye equilibrium..
Muda huo Mapenzi hayatakutesa sana..
Kinachokutesa ni Attachment uliyofanya..
Muda utafika.. hautofanya Attachment na mtu wala kitu wala idea.. muda huo ndio muda utaokuwa huru.
Usijilaumu hiyo ni stage.. lazima wanadamu tuipitie.. that's where experience comes from.
Kata attachment zote na hayo mapenzi BrotherMbona mimi nimeumizwa zaidi ya mara moja nakosea wapi?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
unatuvuruga, mara kaenda kuishi mara kaolewa.Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.
Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.
Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.
copy sirAlpha A one man down do you copy I repeat one down o request back up alpha A do copy marinetive
ipo sehemu unakosea sema hujaijuaMbona mimi nimeumizwa zaidi ya mara moja nakosea wapi?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mroge tuuu!! Kwa nini akuumize moyo??Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.
Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.
Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.
Kunguru tumekukosea Nini mkuuNashukuru sana kwa pole uliyonipa ila naweza kukuambia kuwa huyo kunguru uliyempata ni wa Manzese kama siyo paka la migahawa ya Msamvu.
Jirani kaona loophole basi kakamatia hapohapo asee.Kamsogezea fisi windo [emoji23][emoji23][emoji23]
basi ulikuwa humpelekei moto vizuri acha jirani yako akusaidie[emoji23]SINA PESA WAKATI ALIKUWA ANAENDA SALOON KILA WEEK
Chipx kuku almost kila siku
Na mengine huyajua sasa kwa taarifa yako
AhsanetMkuu inauma ila mwache aende.
Hujatuambia kwanini ameondoka ?Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.
Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.
Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.
NYIE MMEISHIA LA NGAPHujatuambia kwanini ameondoka ?
Hivi kwanini msiwe mnaamishi pamoja baada ya kuoana ?
Sasa kama kila kitu ulikuwa una mpa na ameondoka,na hujui sababu wewe ni mjinga uliyepindukia. Huwezi ukawa timamu ukashindwa kujua sababu iliyo mfanya akaondoka. Kama hujui,huenda kutokujua kwako ndiyo sababu ya yeye kuondoka ameona huja kidhi vigezo.NYIE MMEISHIA LA NGAP
NI HV
KAMA PESA NILIKUWA NA MPA
MAPENZI NILIKUWA PIA NA MPA
SALOON KILA BAADA YA WIKI NILIKUWA NAMPATIA PESA
SASA SABABU GANI UNAYOITAKA WEWE NIKWAMBIE ILOMFANYA AONDOKE
U
To every action there's equal and opposite reaction. Mambo ya kani hayoNilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.
Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.
Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.
Hawa watu sio wakuwachukulia seriously kwenye maisha haya, mtu ambaye jina lake la mwisho linabadilika mda wowote sio wakuwaamini ata kidogo.Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.
Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.
Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.
Kadai nauli yako kwa mume mwenzaNilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.
Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena jirani. Wakati mimi ndio niliemtumia nauli kutoka Mwanza Kirumba mapaka Dar.
Hapa nina homa ya mapenzi juu yake, mawazo hayaniishi juu yake, nikimuwazia arudi. Kiukweli hali yangu sio nzuri juu ya upendo kwa huyo mchumba wangu. Kwa kifupi naumwa na sifanyi mambo namuwaza tu yeye.
Hamtulii mna tabia mbaya sana hamna tofauti na paka pori.Kunguru tumekukosea Nini mkuu