Ushauri - mtaji wa laki moja

Kama unazifaham timu za ushindi mf. Ac milan, rb salzburg, lask linz, bodo, molde na timu za kufungwa tu basi kila wk utapiga hela. Ukiweka tamaa utachana tu mikeka.
Mkuu juzi sulzburg angemchkulia 50 yake saiv angekuwa anachekea chooni
 
Ulishawahi Fanya biashara gani dogo tuangalie namna ya kukushauri
 
Chukua nondo hapa kwa mkurugenzi.
 
Kama unajua kuchoma mishkak..nenda vituo vya daladala vikubwa ongea na wale wanaochoma mishkak wale madogo...wale kwa siku wanatengeneza faida ya elf 10 kwa mtaj wa elf 40....

Usiulize maswal meng...kipind nafungua chips point mda kidogo...nilikua natafta madogo wazoefu wa hzo kaz.bas nkawafata wale vijana wanachoma choma mishkak vituon niwahoj kama tunaweza fanya kaz..wale madogo nkawambia ntawalipa elf 8 kwa siku..walinambia bro hapa sis umekosa kabisa biashara mbovu tunapata elf10 kwa siku..yaan hapo biashara mbovu...so waligoma

Nkasema hiiii kwel usiwachkulie poa watu barabaran huko
 
Achana nayo ww utalipuka mapema. Nilikuwa nina milioni 2 kwa account ya bet saivi nina laki sababu ya betting
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nacheka Kama mazuri. Pole mkuu
 
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nacheka Kama mazuri. Pole mkuu
Umeona huruma luv, nashangaa anamshauri eti abetie iishe yote abaki matako tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…