Ushauri Muhimu kwa kina dada unapoalikwa na mwanaume

Ushauri Muhimu kwa kina dada unapoalikwa na mwanaume

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Dada Zangu ma besti zangu na rafiki zangu, ukialikwa na mwanaume kwenda kwake ndio mara ya kwanza hakikisha ana kupa na nauli ya kurudi iweke mfukoni kabisa au akuhakikishie tu ukifika anakupa nauli ya kurudi unaweka kwenye pochi yako basi. Hivyo tu. 😉🙁
 
Na utaendaje kwa mwanaume mikono mitupu kwani we ombaomba???aarrghh
Hawa viumbe yeye akiwaza hivi wewe waza mara 2 yake ndio mtaendana sawa,.mtu unafunga safari zaidi ya km 1000 huna hata hela ya aiskirimu kwelii???

Me hata buguruni siendi kama sina hela yangu ya uhakika ya kunipeleka na kunirudisha,sipendi nyanyaso mimi...
 
Na utaendaje kwa mwanaume mikono mitupu kwani we ombaomba???aarrghh
Hawa viumbe yeye akiwaza hivi wewe waza mara 2 yake ndio mtaendana sawa,.mtu unafunga safari zaidi ya km 1000 huna hata hela ya aiskirimu kwelii???

Me hata buguruni siendi kama sina hela yangu ya uhakika ya kunipeleka na kunirudisha,sipendi nyanyaso mimi...
Mtu hataki hata kufanya biashara anafikiria kudanga hayo unayo waza wewe hawezi kufikiria kichwani.
 
Na utaendaje kwa mwanaume mikono mitupu kwani we ombaomba???aarrghh
Hawa viumbe yeye akiwaza hivi wewe waza mara 2 yake ndio mtaendana sawa,.mtu unafunga safari zaidi ya km 1000 huna hata hela ya aiskirimu kwelii???
Me hata buguruni siendi kama sina hela yangu ya uhakika ya kunipeleka na kunirudisha,sipendi nyanyaso mimi...
we utakuwa wife materia kabisa unaonekana huna garama kabisa
 
Na utaendaje kwa mwanaume mikono mitupu kwani we ombaomba???aarrghh
Hawa viumbe yeye akiwaza hivi wewe waza mara 2 yake ndio mtaendana sawa,.mtu unafunga safari zaidi ya km 1000 huna hata hela ya aiskirimu kwelii???

Me hata buguruni siendi kama sina hela yangu ya uhakika ya kunipeleka na kunirudisha,sipendi nyanyaso mimi...
Nakazia apa
 
Dada Zangu ma besti zangu na rafiki zangu, ukialikwa na mwanaume kwenda kwake ndio mara ya kwanza hakikisha ana kupa na nauli ya kurudi iweke mfukoni kabisa au akuhakikishie tu ukifika anakupa nauli ya kurudi unaweka kwenye pochi yako basi. Hivyo tu. 😉🙁

Halafu wakipewa kinywaji basi wasinywe kama wako mashindanoni
 
Back
Top Bottom