kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
masikini ndio wenye kutesa masikini wenziwao....Shida gani eti kab..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
masikini ndio wenye kutesa masikini wenziwao....Shida gani eti kab..??
Shunie mama.Nakazia apa
AbeehShunie mama.
Nauli si jero tu au buku..Dada Zangu ma besti zangu na rafiki zangu, ukialikwa na mwanaume kwenda kwake ndio mara ya kwanza hakikisha ana kupa na nauli ya kurudi iweke mfukoni kabisa au akuhakikishie tu ukifika anakupa nauli ya kurudi unaweka kwenye pochi yako basi. Hivyo tu. 😉🙁
Abebe hata zile alizodanga janaMtu hataki hata kufanya biashara anafikiria kudanga hayo unayo waza wewe hawezi kufikiria kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23] anataka adangewe nae umejiongeza fasta unamlia timing Dada wa watu umchune. [emoji23][emoji23]
Kujifanya kumsifia ni wife material nilikuwa nakuchora tu.*****.
Na hachuniki ng'oooooo.
Abeeh