Ushauri muhimu kwa uongozi wa Yanga na mashabiki wa Yanga, hatutaki hadithi ya Simba na Jwaneng Galaxy

Ushauri muhimu kwa uongozi wa Yanga na mashabiki wa Yanga, hatutaki hadithi ya Simba na Jwaneng Galaxy

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Ni wazi mashabiki wengi wa Yanga wanaamini kazi imeisha, kilichobaki ni kumaliza kazi Dar.

Mimi niko kinyume, kazi ndio imeanza, mpaka sasa hatuna deni na wachezaji wetu na benchi la ufundi kwa sababu wameshavuka malengo yaliyowekwa kuingia kwenye makundi, wanachotupa kwa sasa ni bonus tu.

Sasa kwakuwa wachezaji wametimiza majukumu yao kwa zaidi ya asilimia 100, huu ni wakati sasa wa mashabiki kuwapa nguvu wachezaji.

Tujaze uwanja full house kwa Mkapa mechi ya marudiano na Rivers, tuwaheshimu na tuingie kama sisi ndio tulipoteza mchezo Nigeria.

Ni wazi wengi mnakumbuka Simba ilishinda ugenini bao 2 kwa bila dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Namibia lakini walipokuja uwanja wa Mkapa Simba ikatolewa on aggregate.

Haya makosa yasijirudie kwa Yanga, wananchi wana kiu ya mafanikio, lakini pamoja na Kiu hiyo naomba tujifunze kwa Morocco, mechi yao na Simba tiketi zote zimeisha ni full house.

Tunahitaji full house mechi ya marudiano na Rivers, hamasa ianze sasa, full house tayari ni goli kabla ya mechi.

Nimemaliza.
 
Yanga haiwezi kufanya madudu kama yale ya Makolo! Hiyo Jumapili, wachezaji wanatakiwa wacheze Jihad mwanzo mwisho, ili kuingia hatua inayofuata.

Na uzuri wadogo zao watakuwa wameshatolewa tayari! Hivyo watapambana ili kulipoza Taifa na aibu ya Jumamosi.
 
Beki zetu ziko naziaminia ziko vizuri, walijifunza pakubwa kwenye ile mechi ya simba, mipira ya kushtukiza pamoja na kona, kwenye mechi ya juzi, nimeona hawakutaka kabisa kosa lijirudie, beki zikikaza haswa, tusiruhusu goli, mbele hata tukipata moja tu linatosha.
 
Yanga haiwezi kufanya madudu kama yale ya Makolo! Hiyo Jumapili, wachezaji wanatakiwa wacheze Jihad, ili kuingia hatua inayofuata.
Hili kombe nalo mmelifanya kuwa kuuuuuubwaaaa!!!. Hili ni kombe la loser. Ni kombe la walioshindwa klabu bingwa. Hebu thibitisha au kanusha hii kauli ya Manara.
 
Kolo namuombea akaze pale Mohamed V atoboe nusu final na wanachi dar wakaze watoboe nusu fainali. What a weekend for the country.

All in all ile mechi ya Simba vs Jwaneng Galaxy naikumbuka na nitaikumbuka hata nikiwa na 120 years. Ni mechi katili sana ambayo hakuna mwanasimba yyte anataka hata kuiskia.

Iwe ni alert kwa wachezaji wa yanga. Football ina maajabu yake na mojawapo linaweza kujirudia tena palepale lupaso. Wawe makini.
 
Ni wazi mashabiki wengi wa Yanga wanaamini kazi imeisha, kilichobaki ni kumaliza kazi Dar.

Mimi niko kinyume, kazi ndio imeanza, mpaka sasa hatuna deni na wachezaji wetu na benchi la ufundi kwa sababu wameshavuka malengo yaliyowekwa kuingia kwenye makundi, wanachotupa kwa sasa ni bonus tu.

Sasa kwakuwa wachezaji wametimiza majukumu yao kwa zaidi ya asilimia 100, huu ni wakati sasa wa mashabiki kuwapa nguvu wachezaji.

Tujaze uwanja full house kwa Mkapa mechi ya marudiano na Rivers, tuwaheshimu na tuingie kama sisi ndio tulipoteza mchezo Nigeria.

Ni wazi wengi mnakumbuka Simba ilishinda ugenini bao 2 kwa bila dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Namibia lakini walipokuja uwanja wa Mkapa Simba ikatolewa on aggregate.

Haya makosa yasijirudie kwa Yanga, wananchi wana kiu ya mafanikio, lakini pamoja na Kiu hiyo naomba tujifunze kwa Morocco, mechi yao na Simba tiketi zote zimeisha ni full house.

Tunahitaji full house mechi ya marudiano na Rivers, hamasa ianze sasa, full house tayari ni goli kabla ya mechi.

Nimemaliza.
uzuri viongozi,makocha na wachezaji wa yanga hilo wanalijua na wapo na morali ya juu sana kushinda
 
Hili kombe nalo mmelifanya kuwa kuuuuuubwaaaa!!!. Hili ni kombe la loser. Ni kombe la walioshindwa klabu bingwa. Hebu thibitisha au kanusha hii kauli ya Manara.
Kama ni kombe la looser mlichoma moto uwanja wa watu kwanini? Uchawi wenu muupeleke na moroco tuone kama utawasaidia chochote kolo wahed!
 
Hili kombe nalo mmelifanya kuwa kuuuuuubwaaaa!!!. Hili ni kombe la loser. Ni kombe la walioshindwa klabu bingwa. Hebu thibitisha au kanusha hii kauli ya Manara.
Acha wachukue hilo la loser nyie hata la mapinduzi limewashinda
 
Ni wazi mashabiki wengi wa Yanga wanaamini kazi imeisha, kilichobaki ni kumaliza kazi Dar.

Mimi niko kinyume, kazi ndio imeanza, mpaka sasa hatuna deni na wachezaji wetu na benchi la ufundi kwa sababu wameshavuka malengo yaliyowekwa kuingia kwenye makundi, wanachotupa kwa sasa ni bonus tu.

Sasa kwakuwa wachezaji wametimiza majukumu yao kwa zaidi ya asilimia 100, huu ni wakati sasa wa mashabiki kuwapa nguvu wachezaji.

Tujaze uwanja full house kwa Mkapa mechi ya marudiano na Rivers, tuwaheshimu na tuingie kama sisi ndio tulipoteza mchezo Nigeria.

Ni wazi wengi mnakumbuka Simba ilishinda ugenini bao 2 kwa bila dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Namibia lakini walipokuja uwanja wa Mkapa Simba ikatolewa on aggregate.

Haya makosa yasijirudie kwa Yanga, wananchi wana kiu ya mafanikio, lakini pamoja na Kiu hiyo naomba tujifunze kwa Morocco, mechi yao na Simba tiketi zote zimeisha ni full house.

Tunahitaji full house mechi ya marudiano na Rivers, hamasa ianze sasa, full house tayari ni goli kabla ya mechi.

Nimemaliza.
akina O.B.O wanafungwa nje ndani..amini nakwambia
 
Yanga haiwezi kufanya madudu kama yale ya Makolo! Hiyo Jumapili, wachezaji wanatakiwa wacheze Jihad mwanzo mwisho, ili kuingia hatua inayofuata.

Na uzuri wadogo zao watakuwa wameshatolewa tayari! Hivyo watapambana ili kulipoza Taifa na aibu ya Jumamosi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkitepeteshwaga huwa unakuwa mpoleee mnooo, mweeeeh
 
Yanga haiwezi kufanya madudu kama yale ya Makolo! Hiyo Jumapili, wachezaji wanatakiwa wacheze Jihad mwanzo mwisho, ili kuingia hatua inayofuata.

Na uzuri wadogo zao watakuwa wameshatolewa tayari! Hivyo watapambana ili kulipoza Taifa na aibu ya Jumamosi.
Una maoni, na ndicho kilichotokea.
 
Back
Top Bottom