Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Madaktari hawaandiki Covid-19, wanaandika "Pneuomonia"Aisee..... kwahiyo Serikali isipotangaza na wewe ukaumwa au familia yako ikaondokewa na Ndugu na Madr wakasema ni Covid utakataa kwakuwa Serikali haijasema?
Mungu hawezi kuwa nanyi ambao ni:Utatupia sana makatuni. Lakini Mungu yupo na sisi.
Ukifungia Twitter ndio Corona itaisha? Kama maombi yaneshindwa kuondoa Corona, kutokuwepo kwa Twitter itaondoa Corona?Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.
Kama ni sababu hiyo; basi wafunge social media yote ikiwemo na JF unayotumia kutoa maoni yako.Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.
[emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
Wengi wangapi? 100? Mbona wewe unakenua meno?
Trump: shithole countries....Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.
Kwa nini wasikate umeme nchi nzima watu washindwe ku charge computer na simu!Kwa nini wasiwazuie mitandao ya simu kuuza bundles!
Mkuu dunia ya leo sio ya kuwafunga watu midomo na viganja vya mikono yao. Nevertheless you are entitled to your opinion.Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.
Ajabu utakuta ni msomi wa chuo kikuu.Ndugu hii ni haki yako KIKATIBA !!
Sema uwezo wako ni mdogo sana kufikiria
Msamehe bure hajui awazalo.Kwa nini wasikate umeme nchi nzima watu washindwe ku charge computer na simu!