Ushauri muhimu: Serikali izime kabisa mtandao wa twitter, unatumika vibaya kipindi hiki tunapopambana na Covid 19

Ushauri muhimu: Serikali izime kabisa mtandao wa twitter, unatumika vibaya kipindi hiki tunapopambana na Covid 19

Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.

Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.

Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.

Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.

Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.

My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Hii inaonyesha jinsi ulivyo na akili ya kuku. You simply need to die of Newcastle!
 
Hizi ndio akili za muwindaji aliyechoma msitu mzima ili ampate sungura.
 
Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.

Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.

Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.

Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.

Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.

My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Unsijua Twitter gulio? Unajua watu wangapi wanafanya Bishara Twitter.

Wewe ni mpumbavu mkubwA.

Anayetukana si munkamate?
 
Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.

Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.

Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.

Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.

Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.

My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Fool
 
Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.

Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.

Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.

Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.

Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.

My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Wafungie hata na JF ili na wewe ukose pa kuchangia.

Wakifungia Twitter tu watu watahamia JF.

Hapo unaonaje?
 
Ilishafungwa tangu October ila bado inapeta ! Shimo la panya lilizibwa kwa mkate wenye jibini! Ijue kweli na hiyo kweli itakuweka huru
 
Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.

Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.

Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.

Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.

Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.

My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.
Kwani, mnapambana na korona au mnapambana na wanaoweka wazi kwamba korona ipo na inauwa?
 
Back
Top Bottom