Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

Hayo malipo ya kumbambikia mumeo watoto wasio wake. Achana na hizo mali ndio sio tena riziki yako. Mwisho wa siku hata ndoa nayo utaikosa
 
Kwa hiyo ukajua utamaliza umaskini wako na wa ukoo wenu Kwa kutegesha mimba na mume wa mtu Kwa kulenga mali zake?
 
Wa moja ni wa moja tu hata akijitahidi vipi kuvaa ya pili Kwa kuipandisha juu ikifika magotini inashika chini puuu Na kubaki moja ile ile [emoji108][emoji108]
 
Kupata majaliwa !

Mwenyewe ukafanya hila kujizalisha ufanye watoto vitega uchumi [emoji3][emoji3]

Kumbe wapi?!

Ukute umemroga sana yule Mwanaume na mkewe ndio maana yeye Kazaa mtoto mmoja tu!

Moyo wako umejaa hila na uovu mkubwa sana!
 
Huko mjini wanawaendekeza sana sie huku kijijini hatunaga masihara!

Tunafanya kweli!
 
......Tamaa inaleta mauti, tamaa inaua, tamaa inaponza,........ Mtu unawezaje kumbambikiza mtoto mwanaume..... Nyie wanawake wenzangu acheni UMALAYA hii inatudhalilisha na kutushusha thamani, kila mtu atafute pesa yake[emoji34]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Wanaume tuna mitihani aisee..unazaa na hawara kisa tu ana pesa..so kwa wakati mmoja ulikuwa unatombwa na wanaume wawili??

Ila wanaume tunalaumiwa sana lkn wanawake ni noma aise

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama alikuwa anajitomba sawaa unaweza kumlaumu mwanamke peke yake,,,, ila kama umejua alikuwa anatombwa basi jibu utakuwa nalo tayari """ nami japo ni me lakin mzigo usilalie kwa wanawake pekee
 
Hakika wewe ni mama wa shetani-naona unatafuta mauti ya kihisia kwa kizazi chako.
 
Hivi siku hizi mbona mahadithi ya idd makengo wa insta yamejaa huu.... [emoji57][emoji57][emoji57]
 
Dear men,!kwa ushauri , mwanamke akikwambia ana mtoto wako hata kama ni mkeo..Kafanye tu DNA kwanza. Bei ni 300k ya vipimo(100k @ mama,baba na mtoto)

Case kama hizi ni nyingi sana, kuna mdada alitoa mimba ya mumewe akambebea mchepuko..Just Imagine
We got you!
 
Nakuombea ufe kifo kibaya mwanamke nyoka mkubwa sana, tena ufe mapema.
Maana uliyomtendea mumeo ni zaid ya ushetani
 
Jichagulie tusi..

Ndio niendeleee kukushauri
 
Wanaume tuna kazi kweli Mungu atusaidie yani mwika yote unalea watoto ukijua ni wako kumbe unalea mbegu ya mtu dah! inauma sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kwahiyo kuna njemba anajisifu anawatoto wanne kumbe kaambulia mmoja,hahah nacheka kama mazuri ulipenda pesa na ndoa sasa vyote utavikosa
 
Aisee..! Wanawake ni mafala sana.
Kuna umuhimu wa kuhakikisha uhalali wa hawa watoto watatu niliyozaa na huyu mwanamke kwa kupima DNA ya kila mtoto kimyakimya.
Bora nilee yatima kuliko mtoto/watoto wa wasaliti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…