Ushauri: Mwajiri anataka vyeti pamoja na leseni (original) ili anisajili kwenye kituo chake, hii ni sahihi? Nitaweza kuajiriwa serikalini?

Nimeorewa
 

Una uhakika hivyo vyeti ni vyako? Maana akili huna kabisa.
 
Kwann umpatie original certificate na sio copy? Vip na hao wenzako uliowakuta pia wametumia utaratibu huo huo kusajiliwa ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…