Amemchoka tu huyu. Analeta visingizio vya kitoto sana. Kwa wasifu wake alioutoaHuyo jamaa miyeyusho sana
DahAmemchoka tu huyu. Analeta visingizio vya kitoto sana. Kwa wasifu wake alioutoa
Kuna uwezekano mkubwa hapo kichwani umejaza mavi matupu. Mimi nakushauri chagua dada yako mmoja aliyefungasha mzigo umuoe kama hutaki kumuoa huyo msichana anayekupenda.Kuna mwanamke nilikuwa naye kwenye mahusiano, ni mtu ambae alinipenda na mimi nilimpenda sana, kuna kipindi niliumwa sana kama miezi mitatu, alipambania uhai wangu hadi dakika ya mwisho maana ilikuwa nusu nife...
Kwa kweliNiliona hata kuendelea kumjibu ni makosa
EwaaaaaMfukuze ule chuma. Machoni pa Mungu hazionekani dini zetu, panaonekana matendo yetu mema kwa mabaya.
Kosa lako ni kushindwa kufanya maamuzi yako binafsiKosa langu nn
We jamaa ,mbona unatuangusha alpha male!!?Kuna mwanamke nilikuwa naye kwenye mahusiano, ni mtu ambae alinipenda na mimi nilimpenda sana, kuna kipindi niliumwa sana kama miezi mitatu, alipambania uhai wangu hadi dakika ya mwisho maana ilikuwa nusu nife!
Ila Dini zikaja kututenganisha, hatuwezi kuoana, familia yangu ikaleta vita kali niachane naye sababu muda unaenda, kwa maamuzi ya busara tukatengana ila yeye hakutaka na hilo suala, lilimuumiza ila hakuwa na namna.
Japokuwa kwenye suala la maisha mimi ndio nilikuwa nampambania, maana kwenye moja ya ofisi zangu anafanya kazi na ndugu zangu wanataka nimfukuze ili nikate ile line ya uhusiano.
Sasa nimejiuliza sana ile ni Rizki na ni mtu aliyepigania misha yangu sana, nawezaje kumfukuza pale? Je, ni sawa.
Waulize ifuatavyo:'Kuna mwanamke nilikuwa naye kwenye mahusiano, ni mtu ambae alinipenda na mimi nilimpenda sana, kuna kipindi niliumwa sana kama miezi mitatu, alipambania uhai wangu hadi dakika ya mwisho maana ilikuwa nusu nife!
Ila Dini zikaja kututenganisha, hatuwezi kuoana, familia yangu ikaleta vita kali niachane naye sababu muda unaenda, kwa maamuzi ya busara tukatengana ila yeye hakutaka na hilo suala, lilimuumiza ila hakuwa na namna.
Japokuwa kwenye suala la maisha mimi ndio nilikuwa nampambania, maana kwenye moja ya ofisi zangu anafanya kazi na ndugu zangu wanataka nimfukuze ili nikate ile line ya uhusiano.
Sasa nimejiuliza sana ile ni Rizki na ni mtu aliyepigania misha yangu sana, nawezaje kumfukuza pale? Je, ni sawa.
Uanaume wako unatia mashaka kwa kweliKuna mwanamke nilikuwa naye kwenye mahusiano, ni mtu ambae alinipenda na mimi nilimpenda sana, kuna kipindi niliumwa sana kama miezi mitatu, alipambania uhai wangu hadi dakika ya mwisho maana ilikuwa nusu nife!
Ila Dini zikaja kututenganisha, hatuwezi kuoana, familia yangu ikaleta vita kali niachane naye sababu muda unaenda, kwa maamuzi ya busara tukatengana ila yeye hakutaka na hilo suala, lilimuumiza ila hakuwa na namna.
Japokuwa kwenye suala la maisha mimi ndio nilikuwa nampambania, maana kwenye moja ya ofisi zangu anafanya kazi na ndugu zangu wanataka nimfukuze ili nikate ile line ya uhusiano.
Sasa nimejiuliza sana ile ni Rizki na ni mtu aliyepigania misha yangu sana, nawezaje kumfukuza pale? Je, ni sawa.