Ushauri: Mwanamke kutoa ujauzito kwa vidonge vya Misoprostol na kutokwa damu mfululizo

Ushauri: Mwanamke kutoa ujauzito kwa vidonge vya Misoprostol na kutokwa damu mfululizo

Nenda polisi kupata pf3 ndo umpeleke hospitali, wote nyie ni wahalifu!
 
Nenda polisi kupata pf3 ndo umpeleke hospitali, wote nyie ni wahalifu!
 
Habari za majukumu wana jf. Nina ndugu yangu alitoa mimba ya mwezi 1 kwa kutumia vidonge vya misoprostol tatizo ni ana bleed Leo siku ya NNE. Atumie nn kukata hiyo kitu?
Hahaha Sema mpenzi wako
 
Si arudi alipovitoa hivyo vidonge?, na hiyo damu ya mwezi mzima inatoka tuu basi ana reserve ya 10,000ltrs
 
wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).

Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.

Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.

NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.

Nawasilisha
Huo ndo upuuzi hii jf ungeiona wapi wangekuabort
 
wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).

Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.

Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.

NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.

Nawasilisha
Angalia inbox
 
wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).

Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.

Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.

NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.

Nawasilisha
unaitwa polisi kwa kosa la kuua kwa kukusudia kwani hujui KUTOA mimba ni jinai?
 
Mi nilimwacha msichana kwa sababu ya kutoa mimba, kiongozi una moyo mpaka leo upo nae. sababu ya kutoa mimba alisema ni nini? Mara nyingi wanakuwaga wamechanganya madesa.

Kwa uelewa wangu hata siku moja binti huwa haombi wala kulazimisha kutoa mimba. Ila atakulazimisha uende kwao ukakamilishe taratibu, kaa chonjo unaibiwa mkuu A.K.A.47
itakuwa ni mwanaume ndo alimshawishi atoe unauliza sababu?
wanaume wakati mna do na kusema tamu tamu wala hamkumbuki mimba zikitokea ama mkane ama mumuache mwanamke kisha mnakuja hapa jf kuwaita singo mamaz sijui vifua vimelegea sijui ndala
 
wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).

Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.

Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.

NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.

Nawasilisha
KWAHIYO KUMBE HIZO DAWA NI ZA KUTOLEA MIMBA?

ZINAUZWA WAPI MKUU?
 
Sisi Watanaznia wanafki sana, wanafki wa kutupwa. Ukisoma comments hapa utafkiri kila mtu ni msafi. Kawaida ya watanzania ni kunyoosheana vidole..."yule mzinzi sana", utafkiri yeye bikra...aaaargh! Ukweli ni kwamba, pamoja na uhatari wa jambo lenyewe lakini mimba zinachoropolewa kila siku.
 
Kweli maisha hayafanani wanawake wengine watoa mimba na wengine wanatafuta ingekuwa kuna kuazima kizazi watoa mimba mngewazima wenye kuhitaji watoto.
 
wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).

Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.

Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.

NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.

Nawasilisha
Hilo sio tatizo kubwa sana mkuu lisikutishe japo ni hatali kwani mgonjwa anaweza poteza maisha kama akichelewa . hapo anatakiwa akasafishwe tu inaonyesha hiyo mimba haikutoka vizuri bado kuna uchafu umebaki ndani ya mfuko wa kizazi ukimpeleka kwa daktari atamsafisha vizuri atatoa hizo damu zilizobaki kwa vifaa maalum.
 
Dhambi ya kuua inamla..itawala wote kama mlidhamilia..!
 
Back
Top Bottom