Ushauri: Naacha chuo nijikite biashara ya sarafu mtandaoni FOREX

Ushauri: Naacha chuo nijikite biashara ya sarafu mtandaoni FOREX

Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Follow your heart km hapo hapo ndipo hazina yako ilipo ifuate kwa nguvu, akili na Maarifa Ila ungeielezea hio FOR REX inakua kuaje na wengine wajue hio fursa waweze kukita miguu yao huko jobless ni wengi kuliko unavyofikiri, kingine km una Godfathers kwenye kitengo somewhere sikushauri kuacha Chuo ukamkata pumzi uko mbele ukikwama utajilaumu kwanini uliacha Chuo
 
Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Acha usenge soma open university kidogokidogo ukuze ufahamu,akaunti za forex Zina scammer wa kutosha
 
Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
😄😄😄 Hatari sana mkuu.
 
Usiache MBACHAO KWA MSALA UPITAO, waliosema hivyo hawakua wajinga yaan umelitumia boom kuwekeza kwenye FOR REX alafu unataka kuacha Chuo baada ya kukamata coin kiasi are you serious bro ?!
 
Soon utaelewa tuu
 

Attachments

  • Screenshot_20230609_092817_Facebook.jpg
    Screenshot_20230609_092817_Facebook.jpg
    100.6 KB · Views: 24
Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs
  • Soma kwanza.
  • Forex ilikuwepo, Forex ipo, na Forex itaendelea kuwepo.
  • Ila muda wa kusoma ukiisha upoteza, kamwe nafasi (muda) uliyoichezea huto ipata tena.
=
 
Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Ukiacha chuo utakuwa taira.
 
Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Kwa miaka hiyo mitano how much you've accumulated so far?
 
Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Usiache pata cheti, kama forex itakulipa unaweza kupata mtaji na kufanya kitu
 
We leta usenge tu! Utakuja kujua nini kilimnyima Kuku kukojoa 😊

Vijana wa kiafrika mkiambiwa msome mnaleta ujuaji... kazi kung'ang'ana na USENGEUSENGE TU! eti likijana kama hili na lenyewe mnalipa Ushauri... acha tu baadae likaungane na wale vijana wenzie kariakoo wakawe madalali wa simu za wizi kutoka Dubai na hapahapa bongo, yakishakushinda huko mitandaoni.
 
Mkuu kama umebahatika kupata wenye uwezo wa kukusomesha hata huo ujuzi usiuache nakushauri mimi kama hustler ambae nilitangulia maisha muda wa kusoma kutokana na changamoto fulani ya kiuchumi... Kwa sasa nina maisha yangu ya uhakika wa kujitegemea 100% ila huwa nawish kama ningekuwaga na professional yoyote nahisi ningejiamini zaidi
 
Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Wewe bado unaakili za kitoto. Soma dogo hatusomi kupata hela ila tunasoma kuondoa ujinga. Ingekuwa kusoma ni kupata hela kuna jamaa ana phd 11 hana kitu. Soma huku ukifanya forex
 
Back
Top Bottom