Ushauri: Naacha chuo nijikite biashara ya sarafu mtandaoni FOREX

Ushauri: Naacha chuo nijikite biashara ya sarafu mtandaoni FOREX

Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
USIACHE CHUO KIHOLELAHOLELA
Umenkumbusha mbali nili quit Health college juu ya forex, for consequtive 2 years nilikuwa nalia nikaona nibora ningeendelea kusoma tu,
Nilichojifunza inabidi umalize vitu vyako vyoote, pia usiwe na mtaji wangama ndipo uingie forex utakuja kufa kwa stress.. (yaani una laki 2 tu nautrade yote..)

Mambo ya kuzingatia..

1.Tafuta maarifa/elimu juu ya forex ya kutosha

2.Utilize maarifa yako ipasavyo(through demo)

3.Tafuta mtaji kuanzia 100$ (kwa beginner) & below kama upo consistent

3.Do not be motivated my IG fx_traders utapotea focus na your own dream & stratergies

4.Punguza tamaa, huwez kuanza fx then within few months/years ukawa successful hii ni kama biashara nyingne zote don't be fooled mambo ya kudouble account within a week hii inatake time sana adi uwe na uwezo huu.

5.Tengeneza strategies, kuwa mtu wa documentary, Kuwa mtu unaependa kusoma sana.

6.Tengeneza kipato pembeni ndipo uingine


NOTE
"UKIWEZA KUCONTROL PROFIT UKIWA NA BIASHARA MDOGO UTAWEZA ATAUKIWA NA BIASHARA KUBWA PIA"
 
USIACHE CHUO KIHOLELAHOLELA
Umenkumbusha mbali nili quit Health college juu ya forex, for consequtive 2 years nilikuwa nalia nikaona nibora ningeendelea kusoma tu,
Nilichojifunza inabidi umalize vitu vyako vyoote, pia usiwe na mtaji wangama ndipo uingie forex utakuja kufa kwa stress.. (yaani una laki 2 tu nautrade yote..)

Mambo ya kuzingatia..

1.Tafuta maarifa/elimu juu ya forex ya kutosha

2.Utilize maarifa yako ipasavyo(through demo)

3.Tafuta mtaji kuanzia 100$ (kwa beginner) & below kama upo consistent

3.Do not be motivated my IG fx_traders utapotea focus na your own dream & stratergies

4.Punguza tamaa, huwez kuanza fx then within few months/years ukawa successful hii ni kama biashara nyingne zote don't be fooled mambo ya kudouble account within a week hii inatake time sana adi uwe na uwezo huu.

5.Tengeneza strategies, kuwa mtu wa documentary, Kuwa mtu unaependa kusoma sana.

6.Tengeneza kipato pembeni ndipo uingine


NOTE
"UKIWEZA KUCONTROL PROFIT UKIWA NA BIASHARA MDOGO UTAWEZA ATAUKIWA NA BIASHARA KUBWA PIA"
Point noted mkuu
 
Kwan hio forex huwez iendeleza huku unasoma au unajikuta we ndo uliigundua fanya uendelee na masomo huku unafanya hio forex unles otherwise sema shule huitaki
 
Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Elimu haina mwisho hata hela hazina mwisho kumbuka taifa la Tanania linaangamia kwa kukumbatia unyumbu jamii inayoendekeza kujitoa ufahamu huko ni kukosa maarifa. To have money is a good feeling the more you have money the more you will need more money.
 
[emoji848]hiyo elimu yako ndo ilikupa connection ya forex ,yamkini ungeishia la tatu B kama mimi dada yako , usingeelewa hata hizo charts .....kwahiyo soma,Usichezee hiyo nafasi .
Hongera though
 
Cha kukushauri fuata roho yako inasemaje ila ukweli ni kwamba kabla hauha quit chochote hakikisha umetengeneza fedha za kutosha ktk trading hata job mfano upo consistency kumake 100usd per day mwaka mzima so kazi yenyewe inajiisolate

Trading ni ngumu kama unatamaa ya kufanikiwa haraka, all in all welcome to financial freedom journey cry now laugh later
 
Point 5 ndiyo nzito lakin usiache chuo badili kozi
 
Kama ya kufanya hayo maamuzi ushaingiza faida Bei gani kupitia hiyo forex
 
Ungekuwa tayari na profession yoyote, ungeweza kuachana na shule na kwenda kujikita kwenye hiyo kazi unayotaka kufanya. Michezo ya kubahatisha (ikiwemo forex), sio ya kuitegemea kuendesha maisha yako. Hiyo ina siku na siku; unaweza kupitisha hata mwezi hujapata kitu. Nakushauri endelea kupiga book, wala usidanganyike ku-drop out, utakuja kujilaumu baadaye kwa uzembe unaotaka kuufanya. Wapo walio-drop out of college/university, na stil wakafanya vyema mtaani. Watu kama akina Bil Gate, Elon Musk, nk, hawa wali-drop out, lakini tayari walikuwa na ujuzi wao, na ndio maana hawakuyumba kwenye ujasiliamali wao!
 
Cha kukushauri fuata roho yako inasemaje ila ukweli ni kwamba kabla hauha quit chochote hakikisha umetengeneza fedha za kutosha ktk trading hata job mfano upo consistency kumake 100usd per day mwaka mzima so kazi yenyewe inajiisolate

Trading ni ngumu kama unatamaa ya kufanikiwa haraka, all in all welcome to financial freedom journey cry now laugh later
Asante sana mwalimu Mungu akubariki
 
Dogo simamia unachokiamini achana na chuo fanya forex ukihitaji mentor kakaako nipo
 
Kwan hio forex huwez iendeleza huku unasoma au unajikuta we ndo uliigundua fanya uendelee na masomo huku unafanya hio forex unles otherwise sema shule huitaki
Kuchanganya forex na shule lazima uwe na IQ kubwa la sivyo utadisco au utaondoka na G.P.A ya 2.
Hii kitu inahitaji akili na muda.
 
Soma huku unatrade vyote kwa pamoja, ukisema uache chuo af uwe unatrade 24hrs, utakuja kulia na kusaga meno. Mark my words
 
Habar wakuu

Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs

Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo

1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?

2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!

3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?

4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex

Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.

Unaacha Shule unakuja Shule kwa experience yang na forex naweza Kusema forex ni Shule it's worth it but sio rahisi and it takes a lot of time ili update faida baking chuo trading ni kusubiri sanaaaa unawez kusoma chuo na kusoma forex at the same time chakukusaidia tu soma SMC smart money concept plan uielewe utatoboa tu forex is real kun more than 1trillion dollars ww tu kuchukua
 
Wewe bado unaakili za kitoto. Soma dogo hatusomi kupata hela ila tunasoma kuondoa ujinga. Ingekuwa kusoma ni kupata hela kuna jamaa ana phd 11 hana kitu. Soma huku ukifanya forex
Ushauri mzuri
 
Kama umetumia miaka mitano kufanya research na ukaona unaweza ukafanya jambo bas kila la kheri ila kwa ushauri wangu jikite kwenye kutafuta kazi ambayo inakupa pesa na una uhakika wa maisha then ndo ujikite humo!
 
Back
Top Bottom