Ushauri: Nahisi mchumba wangu ana mahusiano na wanaume wengine

Ushauri: Nahisi mchumba wangu ana mahusiano na wanaume wengine

Ndugu yangu najaribu kuvaa uhusika wako.
Pole sana.
Hebu kama anakudai mlipe, kama unamdai msamehe tu.
Then chukua simu yako mwambie kuwa nimefanya uchunguzi wa kutosha na kugundua kuwa mimi sitaweza kuishi na wewe kama mke na mume hivyo. Najitoa rasmi kwenye penzi.
Baada ya hapo usipokee simu yako na sms zake uzifute bila kuzisoma.
Kisha tafuta binti mzuri mwoe utafuruhia maisha.
Usipoushika ushauri hii ipo siku utakuja kuandika uzi hapa huku umepandisha mapepo
Asantee mkuu
 
Umesema unatarajia kumtambulisha na mfunge ndoa hapo baadae.
Kaka kuna maeneo yafuatayo yanakupa majibu wazi kabisa;
1. Hataki ushike simu yake.
Unatuuliza sisi wakati muhusika unakuwa nae. Wewe ni dhaifu Kaka, huyo mpz wako anakusaliti. Amka Kaka.

2. Hajakuambia kuhus hiyo simu ndogo. Ni wazi pia ana line ambayo wewe huijui. Amekuzidi akili asbh, amka kaka.

3. Amekulaumu kumpigia dokta. Badala ya kukuomba msamaha ndo kwanza anakulaumu na kebehi kibao.

Muache huyo dada, hafai kuwa hata mpz. Simama imara wewe ni mwanaume!
 
Dogo, utaishi maisha ya amani saana sana na ndoa yako itakua na amani for the rest of your life. Hope una maanisha hiki ulichoandika! Nimefurahi sana! Uoe sasa usichelewe, shenzi kabisa oa kijaana ushajua "art" ya ndoa! Unipe na card ya mchango dadeeeki
pamojaa saaa
 
Ndugu yangu najaribu kuvaa uhusika wako.
Pole sana.
Hebu kama anakudai mlipe, kama unamdai msamehe tu.
Then chukua simu yako mwambie kuwa nimefanya uchunguzi wa kutosha na kugundua kuwa mimi sitaweza kuishi na wewe kama mke na mume hivyo. Najitoa rasmi kwenye penzi.
Baada ya hapo usipokee simu yako na sms zake uzifute bila kuzisoma.
Kisha tafuta binti mzuri mwoe utafuruhia maisha.
Usipoushika ushauri hii ipo siku utakuja kuandika uzi hapa huku umepandisha mapepo
Nimekuelewaa mkuu wanguu
 
Tuanze, ulimuingiaje daktari?

Unajua kuna ile kumchana mwanaume mwenzako mpaka mwenyewe anakuambia ukweli kama anamla au la!. Kama ulienda kiupole au kiukali basi jibu lazima liwe silalani naye.

Ila ungeingia kiakili namna hii:
Mambo vipi bro? Asee huyu manzi X unamuonaje? Mimi ni demu wangu, najua na wewe unatafuna. Ila kama una malengo naye mpoteze. Kuna njemba nyingine ya pembeni inamkandamiza.. Hata mimi nilikuwa na mpango wa kuitambulisha home lakini Hapana. Tuendelee tu kuitumia kama chakula.

Au we bro unasemaje?

Angekuambia ukweli mtupu.
Nitaitumiaa hii
 
Kitendo cha demu kugoma wewe kushika simu yake wakati yako anaishika inatosha kabisa kutemana naye mapema sana...sasa maamuzi ya kutumia akili kidogo tu kama haya unayashindwa ndoa utaiweza?
 
Mkuu Ulitaka kumla bata hutakiwi kumchunguza sana.
Ninamaanisha nini, kuna vitu unatakiwa umuweke wazi kuwa unapenda na nini haukipendi kama anakuheshimu na anakuhitaji basi atabadilika ataonesha tabia njema.

1. Mimi iliwahi kutokea hivyo kwa Huyu mpenzi wangu nilie naye. Nilikaa nikamweleza aina ya mke ninayemtaka hivyo nikamtaka kwa lugha ya chini huku nikimbembeleza kwa hisia kuwa abadilike, ni kweli alibadilika na akaongeza na tabia nyingine nzuri.

2. Kitu kingine ambacho unatakiwa kufahamu kuna wanawake huwa hawataki kushauriwa vitu hivyo kuwa makini sana. Unatakiwa ucontrol akili yako iamini kuwa hana mpenzi mwingine zaidi yako (Mind manipulation) hii iko psychological zaidi ukiweza itakusaidia.

3. Achana kabisa na kuwaza kushika simu yake. Mkuu ukifanikiwa kuizuwia akili yako kuwaza kuhusu simu yake basi utakuwa umejiondolea mzigo wa panic, stress, na matatizo ya moyo.

4. Kama hamuishi wote mwambie akija nyumbani kwako au sehemu yoyote mnayokutana basi asiwe busy na simu hata kidogo.

Yangu ni hayo tu naomba kuwasilisha.

KIJISTORI KUNIHUSU MIMI.
Mimi nilibahatika kusoma mambo kidogo ya hacking huko mitandaoni, hivyo niliwahi kumhack mpenzi wangu lakini nilijuta, kadri siku zilivyozidi nilianza kupata mahasira hadi kazini, mtaani hadi kwenye daladala.
Nakumbuka siku moja nipo kwenye daladala konda aliuliza kituo
Konda: Nyegezi Kona wakushuka
Mimi: Konda acha u-s-e-n-g-e nipitilize gone(KWA SAUTI YA UKALI SANA).
Kwanza sijui kutumia maneno makali kama u-s-e-n-g-e, lakini niliyatumia ndani ya mwezi mzima.
Pili nilikuwa na hasira kwa sababu konda sikuwa nimemwambia awali kuwa ninashuka kituo alichokitaja konda.
Tatu wakati konda anauliza kituo kinachofuata nilikuwa bado hatujafika kwa wao uifahamu geographia ya jiji la Mwanza tulikuwa Bohari konda aliuliza Isenyi(hakuna aliyekuwa anashuka) kisha akauliza Nyegezi kona.

Kwa leo niishie hapo Lakini, usijaribu kujihusisha na simu ya mpenzi wako kabisa kama unampenda itakuumiza na kuvunja mahusiano yenu.
Ushauri wa hovyo huu..sorry for saying that mkuu
 
Habari za Jumapili.... Poleni kwa majukumu na pole kwa Mashabiki wenzangu wa SIMBA ila safarii bado.

Nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa miaka 5 sasa (2016-2021) ila shida inakuja kwenye Simu yakee, hataki niishike na nikiishika nakuwa natumia nguvu sana, na anasema hataki nimkague ila Simu yangu akija lazma aishike na aikague kila sehemu.

Juzi alikuja wakati yupo nje ananisaidia kufua, niliingia ndani nikashika mkoba wake nikakuta kuna simu ndogo mpya ila hajawahi kuniambia kuwa ana simu ndogo niliiwasha, nikakuta haina laini ila ina sms za mapenz mfano Bby, wife, mke wangu kwa namba 3 tofauti.

Nikaizima nikairudisha kwenye mkoba na sikumwambia kama nimeona simu hiyo ndogo, baada ya muda nikatumia akili binafsi kumuuliza kuhusu sms kwa sababu sikutaka ajue kuwa nimeona simu ndogo, akaniambia kuwa hao watu wanamtongoza tu ila hajawah kulala nao na hana mpango nao.

Nikachukua zile namba alivyoondoka nikazipiga ili nijue ukweli moja ya zile namba ilikua ni namba ya Daktari ambaye wanafanya wote kazi katika hospitali moja hapo Dar, akaniambia hana yeye hana lolote linaloendelea na huyo mpenzi wangu, japo huyu mpenzi wangu alishawahi kunielezea kuhusu huyo Dkt kuwa anamtongoza.

Sasa nawaza kwanini huyu mwanamke alinificha kuhusu hiyo simu ndogo?? Na mpaka leo hajaniambia.

Je hizo chating kwenye simu nizieleweje ni kweli wanamtongoza tu au kuna namnaa hapoo??

Na kwanini hataki nishike simu yake ili hali yangu anashika muda wowote?

NB; Baada ya kumpigia yule Dkt baada ya muda mpenzi wangu alinipigia na kuanza kunilaumu kwanini nimefanya vile na kuanza kunikejeli kuwa najidhalilisha na sijiamini, na kuongezea kuwa kama mimi ni rijali kwanini nafanya vilee??

Na tumepanga kutambulishana mwez wa 8 mwaka huu.

Ingekuwa wewe ungefanyajee??
Mkuu sio daktari Carlos kweli ebu muulize vizuri
 
Mkuu Ulitaka kumla bata hutakiwi kumchunguza sana.
Ninamaanisha nini, kuna vitu unatakiwa umuweke wazi kuwa unapenda na nini haukipendi kama anakuheshimu na anakuhitaji basi atabadilika ataonesha tabia njema.

1. Mimi iliwahi kutokea hivyo kwa Huyu mpenzi wangu nilie naye. Nilikaa nikamweleza aina ya mke ninayemtaka hivyo nikamtaka kwa lugha ya chini huku nikimbembeleza kwa hisia kuwa abadilike, ni kweli alibadilika na akaongeza na tabia nyingine nzuri.

2. Kitu kingine ambacho unatakiwa kufahamu kuna wanawake huwa hawataki kushauriwa vitu hivyo kuwa makini sana. Unatakiwa ucontrol akili yako iamini kuwa hana mpenzi mwingine zaidi yako (Mind manipulation) hii iko psychological zaidi ukiweza itakusaidia.

3. Achana kabisa na kuwaza kushika simu yake. Mkuu ukifanikiwa kuizuwia akili yako kuwaza kuhusu simu yake basi utakuwa umejiondolea mzigo wa panic, stress, na matatizo ya moyo.

4. Kama hamuishi wote mwambie akija nyumbani kwako au sehemu yoyote mnayokutana basi asiwe busy na simu hata kidogo.

Yangu ni hayo tu naomba kuwasilisha.

KIJISTORI KUNIHUSU MIMI.
Mimi nilibahatika kusoma mambo kidogo ya hacking huko mitandaoni, hivyo niliwahi kumhack mpenzi wangu lakini nilijuta, kadri siku zilivyozidi nilianza kupata mahasira hadi kazini, mtaani hadi kwenye daladala.
Nakumbuka siku moja nipo kwenye daladala konda aliuliza kituo
Konda: Nyegezi Kona wakushuka
Mimi: Konda acha u-s-e-n-g-e nipitilize gone(KWA SAUTI YA UKALI SANA).
Kwanza sijui kutumia maneno makali kama u-s-e-n-g-e, lakini niliyatumia ndani ya mwezi mzima.
Pili nilikuwa na hasira kwa sababu konda sikuwa nimemwambia awali kuwa ninashuka kituo alichokitaja konda.
Tatu wakati konda anauliza kituo kinachofuata nilikuwa bado hatujafika kwa wao uifahamu geographia ya jiji la Mwanza tulikuwa Bohari konda aliuliza Isenyi(hakuna aliyekuwa anashuka) kisha akauliza Nyegezi kona.

Kwa leo niishie hapo Lakini, usijaribu kujihusisha na simu ya mpenzi wako kabisa kama unampenda itakuumiza na kuvunja mahusiano yenu.
Nipe tips za kuhack mzee sisi ndo tunapendaga hivi vitu
 
Mimi ishatokea demu fulani hiv alikuwa anakataa nisishike simu yake nlichofanya nikumzalisha watoto wawili saiz mm ndio mfalme kashika adabu!
 
Simba 0= Kaizer 4 ndo unachofanyiwa wewe

Ni ujinga wa hali ya juu cha PhD mwanamke kushika sim yako alafu akukataze kushika yake
Endelea kujifunika shuka, utazinduka kwenye ndoa
 
Ukimchunguza Sana Bata Uwezi Kumla Mkuu...No Body Is Perfect
 
Habari za Jumapili.... Poleni kwa majukumu na pole kwa Mashabiki wenzangu wa SIMBA ila safarii bado.

Nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa miaka 5 sasa (2016-2021) ila shida inakuja kwenye Simu yakee, hataki niishike na nikiishika nakuwa natumia nguvu sana, na anasema hataki nimkague ila Simu yangu akija lazma aishike na aikague kila sehemu.

Juzi alikuja wakati yupo nje ananisaidia kufua, niliingia ndani nikashika mkoba wake nikakuta kuna simu ndogo mpya ila hajawahi kuniambia kuwa ana simu ndogo niliiwasha, nikakuta haina laini ila ina sms za mapenz mfano Bby, wife, mke wangu kwa namba 3 tofauti.

Nikaizima nikairudisha kwenye mkoba na sikumwambia kama nimeona simu hiyo ndogo, baada ya muda nikatumia akili binafsi kumuuliza kuhusu sms kwa sababu sikutaka ajue kuwa nimeona simu ndogo, akaniambia kuwa hao watu wanamtongoza tu ila hajawah kulala nao na hana mpango nao.

Nikachukua zile namba alivyoondoka nikazipiga ili nijue ukweli moja ya zile namba ilikua ni namba ya Daktari ambaye wanafanya wote kazi katika hospitali moja hapo Dar, akaniambia hana yeye hana lolote linaloendelea na huyo mpenzi wangu, japo huyu mpenzi wangu alishawahi kunielezea kuhusu huyo Dkt kuwa anamtongoza.

Sasa nawaza kwanini huyu mwanamke alinificha kuhusu hiyo simu ndogo?? Na mpaka leo hajaniambia.

Je hizo chating kwenye simu nizieleweje ni kweli wanamtongoza tu au kuna namnaa hapoo??

Na kwanini hataki nishike simu yake ili hali yangu anashika muda wowote?

NB; Baada ya kumpigia yule Dkt baada ya muda mpenzi wangu alinipigia na kuanza kunilaumu kwanini nimefanya vile na kuanza kunikejeli kuwa najidhalilisha na sijiamini, na kuongezea kuwa kama mimi ni rijali kwanini nafanya vilee??

Na tumepanga kutambulishana mwez wa 8 mwaka huu.

Ingekuwa wewe ungefanyajee??
Oi, wanawake ni binadamu wenzetu ila ukweli ni kwamba huwa na mambo mengi tofauti na sisi, unachotakiwa kufanya ni kuonesha uhalisia wako na kuelewa kuwa kitu fulani hutaki na kitu fulani unataka, ili mtakapoingia kwenye ndoa iwe kila mmoja anamjua mwenzake.

Vinginevyo utaingia kwenye ndoa kama umeingia kwenye tanuru la moto, kama sasa hivi hujamuoa na matimbwili ndo hayo, je akishakua ndani ya ndoa tayari matimbwili utayaweza?? Au ndo itakua kila siku unapokea maombi ya ruhusa mtu anaenda kubinjuliwa huko??
ONESHA UHALISIA NA FANYA UCHUNGUZI WA KINA, KWA MAELEZO YAKO INAONEKANA UPO NA WENZAKO MNAKULA MBUSUSU MOJA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na wewe ulikua kolo unampigiaje mhuni sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo dawa ilikua ni kuiiba hyo simu then usubiri reaction.

Wewe bado haujakomaaa mindcally kuhandle mwanamke.

Wanaume tunavifua vya kutunzia siri.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Halafu unamueashia moto, kwani ulikuwa na simu ndogo? Kwanini hukuniambia?eeeh....usinitanie...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom